[emoji12] ....kuhama nyumba ya serikali mpaka ulete polisi, miongoni mwa wasomi wa mwanzo wa kibondei ni Steven Muhando, Erasto Mang'enya na Fred Jimm Mdoe !Ni moja ya makabila ya kwanza kupata elimu. Baada ya uhuru wengi walikuwa serikalini. Ni waaminifu mno wakistaafu hata kalamu aliyotumia ataiacha mezani.
....wacha ujinga wewe ! Mtoto wa kidigo hata barazani haruhusiwi kukaa !Hawachekani na wadigo kwa umalaya hawajambo, wanasema FIFA moja haliivishi mboga. Be care
.....mlango wa nane !N wazuri mkuu na wako pale muheza Tanga
Mapenzi hao ndo mafundi ila shule n ndogo kwao na pia n wa2 ambao hubagua sana kazi yan hawafanyi kazi zote hasa zle dhaifu n bora kama n manzi aamke asugue kucha kuliko kuwa na genge
Wanaipenda Dar mpaka huko bonde kuna kijiji kinaitwa 'Daisalama'Hiyo nimeisikia hata Mimi. Wabondei sifa nyingi nje, maisha yao hayana tofauti na wasomali.
Unaweza kukuta, amevaa vizuri lakini anapolala ni balaa.
...Mahija !Mkuu hayo ni majina yao wabondei Mayasa, Tabu
Oooh shukrani mkuu... ila hapo kwenye kuongea sana hatariiWanapatikana mkoa Wa tanga,,wilaya ya muheza,,ni Wa watu wazuri,,wanapenda sn ELIMU,,wengi walikibali kubadilisha DINI sababu ya KUSOMA SHULE ZA missionary hapo zamani,,,pia wanashabihiana sana LAFUDHI ,,,na baadhi ya MILA ZA WAZIGUWA NA WASAMBAA,,,MIAKA ya zamani ilikuwa WADIGO MARUFUKU KUOA MWANAMKE WA KIBONDEI,,,,ila WANAWAKE wao ni WAONGEAJI SANA,,
Sio wote,,wengi wao wapo hivyo....Oooh shukrani mkuu... ila hapo kwenye kuongea sana hatarii
TehtehtehNi moja ya makabila ya kwanza kupata elimu. Baada ya uhuru wengi walikuwa serikalini. Ni waaminifu mno wakistaafu hata kalamu aliyotumia ataiacha mezani.
Niko makini mkuu...Kwa hizi comments nashani muuliza swali ameshajua kilichopo mbele yake.
Nashukuru baadhi ya mazuri pia wanayo.
Kuweni makini maana Sky Eclat ni mtu wa Bondewabondei ni kabila linalopenda umbea na pia wanaongea mno... kwenye upande wa gharama hawajari kukupa hasara.. na mwisho wanapenda sana ushirikina..
Mahija nilisoma nae primary kumbe ni wabondei hao...Mahija !
Hapo kwenye kuongea loooh!... Yaan mpaka namwambiaga naomba uniache kichwa changu kipate mawazo mapya!...mtoto anaongea yule kama kameza betriWanapatikana mkoa Wa tanga,,wilaya ya muheza,,ni Wa watu wazuri,,wanapenda sn ELIMU,,wengi walikibali kubadilisha DINI sababu ya KUSOMA SHULE ZA missionary hapo zamani,,,pia wanashabihiana sana LAFUDHI ,,,na baadhi ya MILA ZA WAZIGUWA NA WASAMBAA,,,MIAKA ya zamani ilikuwa WADIGO MARUFUKU KUOA MWANAMKE WA KIBONDEI,,,,ila WANAWAKE wao ni WAONGEAJI SANA,,
Mkuu unawajua vyema!wabondei ni kabila linalopenda umbea na pia wanaongea mno... kwenye upande wa gharama hawajari kukupa hasara.. na mwisho wanapenda sana ushirikina..