Napenda kujua zaidi kuhusu kabila la Wabondei

Napenda kujua zaidi kuhusu kabila la Wabondei

Wanapatikana mkoa Wa tanga,,wilaya ya muheza,,ni Wa watu wazuri,,wanapenda sn ELIMU,,wengi walikibali kubadilisha DINI sababu ya KUSOMA SHULE ZA missionary hapo zamani,,,pia wanashabihiana sana LAFUDHI ,,,na baadhi ya MILA ZA WAZIGUWA NA WASAMBAA,,,MIAKA ya zamani ilikuwa WADIGO MARUFUKU KUOA MWANAMKE WA KIBONDEI,,,,ila WANAWAKE wao ni WAONGEAJI SANA,,
...Wadigo kwao ni ukoo mmoja tu ndo ulikubali kubadilisha dini kwa ajili ya Shule. Ukoo wa mzee Pera, ndiko walikotokea akina Pro. Jengo (Udsm) akina Eng. William Boko (aliwahi kuwa kiongozi wa Yanga). Watoto wao wote wanawaita majina ya kidigo ya ndani ndani kabisa ku save identinty. Kanisa lao lipo pale Kana, karibu na Tangamano Hall. Wadigo hawakuwapenda Wabondei kwa ajili ya kuchezea dini (kubadilisha badilisha) pia ndio walikuwa wauza Bar (barmaid) wa kwanza kabisa 'wenyeji' kuingia katika fani hiyo. Hivyo Wadigo wapo 'sensitive' sana na dini.
 
Hakuna kabila au mkoa usio na Malaya Me/Fe kama lipo hilo kabila naomba mnitajie


Watu mnasahau majukumu ya Mwanamke, Mwanamke kazi yake kubwa ni kulea na kuisimamia familia kwenye malezi na kuzaa hana kazi nyingine,

Naona hapa wachangiaje wengi wanasema wanawake wa Tanga ni
-Malaya
-Wavivu

Unataka kuoa mwanamke kwaajili ya kwenda kukupasulia kokoto/mawe? Au kumlimisha shamba????
 
At a Mimi naombeni kufahamishwa a-b za Hilo kabila nimepata girlfrnd 19 but Naona Chenga kidogo ananizungusha tu eti Mpaka nkajitambulishe kwao na nitangaze ndoa
 
At a Mimi naombeni kufahamishwa a-b za Hilo kabila nimepata girlfrnd 19 but Naona Chenga kidogo ananizungusha tu eti Mpaka nkajitambulishe kwao na nitangaze ndoa
Mapenzi magumu kushauriila hili kabila halitoi wake ,Tanga kwa ujumla ni shida sana
 
Good morning
Hakuna kabila au mkoa usio na Malaya Me/Fe kama lipo hilo kabila naomba mnitajie


Watu mnasahau majukumu ya Mwanamke, Mwanamke kazi yake kubwa ni kulea na kuisimamia familia kwenye malezi na kuzaa hana kazi nyingine,

Naona hapa wachangiaje wengi wanasema wanawake wa Tanga ni
-Malaya
-Wavivu

Unataka kuoa mwanamke kwaajili ya kwenda kukupasulia kokote? Au kumlimisha shamba????
 
Ninae mmoja mchepuko wang yan ni headache. Bora hata ningebak njia kuu. Mchepuko wa kibondei
Wanaomba sana hela yan vizinga jata vinne ndan ya siku moja. Halaf mbaya zaid hela anazotaka ni akasherehekee na mashosti zake.
 
Back
Top Bottom