witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kwa kuongea jamani wamebarikiwa mweeh!....kuna siku huyo huyo bidada ofisini masisitaduu wakampekua kwenye pochi yake akakutwa na mahirizi....usoni sasa ana chale hizoo doooh!Waongeaji sana na ushirikina hapo ndio kwao