Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Drink 🍷 save waterMungu akupiganie dear,konyagi siyo nzuri kiafya inaunguza ini Moja Kwa Moja....kusikia joto huenda ni dalili ya kuanza kuathiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Drink 🍷 save waterMungu akupiganie dear,konyagi siyo nzuri kiafya inaunguza ini Moja Kwa Moja....kusikia joto huenda ni dalili ya kuanza kuathiriwa
Sawa mkuuDrink 🍷 save water
Nimeacha michanganyo nilikuwa nachanganya mpaka na valuer na dompo au safari.. Hiyo mixer lazima usiku u sweat sanaKuna kitu unaunguza mwilini cute....Kuna maradhi yanataka kuibuka daa....plz upunguze au uache mama
Asante sana Mzee Mzima Dr. Mshana JrKunywa maji mengi na punguza idadi ya vichupa na infact kuvuja jasho ni jambo jema ili isizidi sana
Sijui hata mie najishangaa....Em niusikie ushauri wako bibiye?
Alafu siku hizi umekuwa mpole siri ya yako nn?
Linda figo zako, mchuja nataka wako huyo.Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
😂 Hata mimi nakushangaa et nisinywe pombe kaliSijui hata mie najishangaa....
Ndo ivo usinywe pombe Kali sana
Ndo siyo vizuri sasa mkuuNimeacha michanganyo nilikuwa nachanganya mpaka na valuer na dompo au safari.. Hiyo mixer lazima usiku u sweat sana
Lipia tangazoI'm good, sexy, romantic and creative
Umesema nikupe ushauri nikajua wanywa pia😂 Hata mimi nakushangaa et nisinywe pombe kali
Mimi sio mleta mada jmn
Au sioHongera dogo kwa kukaanga figo na maini au unayoyaspea, unajikuta mrusi wa buza sio.
Ukorofi huoHongera dogo kwa kukaanga figo na maini au unayoyaspea, unajikuta mrusi wa buza sio.
Yeah,sureHana kosa JF ni nyumbani kwa wapumbavu na werevu pia. Tunachuja tu mawaidha
Mtu akishakuwa mkubwa anajua kabisa madhara ya pombe unamushauri nn sasaKuna kitu unaunguza mwilini cute....Kuna maradhi yanataka kuibuka daa....plz upunguze au uache mama
Haya sawaMtu akishakuwa mkubwa anajua kabisa madhara ya pombe unamushauri nn sasa