Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
.. Double kick uliwahi jaribu kwenye mixer ?Nimeacha michanganyo nilikuwa nachanganya mpaka na valuer na dompo au safari.. Hiyo mixer lazima usiku u sweat sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.. Double kick uliwahi jaribu kwenye mixer ?Nimeacha michanganyo nilikuwa nachanganya mpaka na valuer na dompo au safari.. Hiyo mixer lazima usiku u sweat sana
Unakunywa pombe pia?.. Double kick uliwahi jaribu kwenye mixer ?
Huu udokta nimeingia darasani Harvard class of 2017 cost ilikuwa ni $52,456 kwa mwaka huo, hata nilichoelezea hapo ni utafiti wa kidaktari kabisa ila unaweza usiamini.Watu wenye majina matakatifu ya dini ya Islamic huwa wanakuwa na busara na hekima sana. Imekuwaje wewe uko tofauti? Huo u Dr. Wako ni wa kusomea au ndio ule wa USD 1,500?
😅😅😅😅Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Asante dear🙏You are very wise and caring woman. I think JF inainah
Nilishaacha kitamboUnakunywa pombe pia?
Konyagi haina hangover ,haina njaa nkSure. Konyagi inaburudisha hasa
Udaktari wa Magonjwa Mtambuka eti ehh, au na wewe ni Daktari wa Meno?Huu udokta nimeingia darasani Harvard class of 2017 cost ilikuwa ni $52,456 kwa mwaka huo, hata nilichoelezea hapo ni utafiti wa kidaktari kabisa ila unaweza usiamini.
Wewe unamkaribia manka wangu. Ndio zake hizo. Usingesema nachamganya na image na unasweat ningesema ni wewe😂😂Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Hapana, mimi ni dokta wa riprodaktivu helthi.Udaktari wa Magonjwa Mtambuka eti ehh, au na wewe ni Daktari wa Meno?
Kuna watu kama ni hivyo wangekuwa washaungu mitambo sanaMungu akupiganie dear,konyagi siyo nzuri kiafya inaunguza ini Moja Kwa Moja....kusikia joto huenda ni dalili ya kuanza kuathiriwa