Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine 🍷, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16°C

Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine 🍷, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16°C

Watu wenye majina matakatifu ya dini ya Islamic huwa wanakuwa na busara na hekima sana. Imekuwaje wewe uko tofauti? Huo u Dr. Wako ni wa kusomea au ndio ule wa USD 1,500?
Huu udokta nimeingia darasani Harvard class of 2017 cost ilikuwa ni $52,456 kwa mwaka huo, hata nilichoelezea hapo ni utafiti wa kidaktari kabisa ila unaweza usiamini.
 
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
😅😅😅😅

Hakikisha na maji unabugia ya kutosha.... konyagi tamu sana
 
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Wewe unamkaribia manka wangu. Ndio zake hizo. Usingesema nachamganya na image na unasweat ningesema ni wewe😂😂
 
Kuna mshkaji wangu alikufa kwa ugonjwa wa figo...dalili iliyokua inamsumbua ni joto na kutoka sana jasho...mi nakula kali sana hasa konyagi ila jasho likikutoka au joto sana ni warning signal...Naz usimix hizo mambo,imagi inatengenezwa na hao hao konyagi,na ina konyagi ndani yake ndio maana imeandikwa fortified wine ...unajioverdose...bora unywe konyagi na zanzi...kama unataka stimu
 
Back
Top Bottom