Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duh.Udaktari wa Magonjwa Mtambuka eti ehh, au na wewe ni Daktari wa Meno?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.Udaktari wa Magonjwa Mtambuka eti ehh, au na wewe ni Daktari wa Meno?
Umejaribi kuchanganya na migegedo? Inaweza shusha joto la mwiliReally? Nitajitahidi kupunguza, ila bia sitaki kabisa nanenepa haraka
Tangazo gani wakati ameulizwaLipia tangazo
Muongo huyo konyagi haiunguzi ini. Ni pombe zenye kemikali nyingi kama boss ndio hatari.Asante sana kwa advice
Watu wanaojifanya hawanywi pimbe ogopa sanaYou are very wise and caring woman. I think JF inahitaji sana watu wa aina ya wewe
Hapana zinauzwa bei kidogo 18000 kwa 35000TzsThe Boss ndio pombe gani? Au zile za buku 2?
Yeah hapo unaipa figo fatique hasa unapochanganya na mvinyo wenye rangi kama DompoMetabolism nadhani inakuwa complex somehow, au siyo bro?
Nimeacha siku hizi nakula kamoja tu na bitter lemonNdo siyo vizuri sasa mkuu
Bia zitakufanya uwe lishangazi[emoji16][emoji16]yani kitambi kileeReally? Nitajitahidi kupunguza, ila bia sitaki kabisa nanenepa haraka
Umekuwa mkweli mno [emoji1752][emoji1545][emoji173]Nimeshawahi kukupenda sana, the way back, zile feeling zikafa. Umebaki kuwa my role model
Unasweat ya kuloanisha mashuka au Ni Ile unahisi joto Kali mwilini.....???Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine [emoji485] kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.