herio
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,245
- 4,320
Inawekana mkuuHongera sana mkuu Mimi nikipiga Soda tuu natoka jasho hadi shati linaloa...
Na UTI juu...
Nataka niache soda asee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawekana mkuuHongera sana mkuu Mimi nikipiga Soda tuu natoka jasho hadi shati linaloa...
Na UTI juu...
Nataka niache soda asee.
Why?
Uachane na hizo mapombe makali usije haribika sauti na vilivyomo huko ndani.Aisee mbili una maana gani?
Sijaona ushauri labda uchafuUmeshauriwa huko chini, bidhaa ya kuuza yenye wateja ufuate ushauri
Mimi sio Mungu ila kwa dalili hizo mwendo umemaliza upumzike kwa amaniWewe ni Mungu?
Dah,hii comment imenitishaMungu akupiganie dear,konyagi siyo nzuri kiafya inaunguza ini Moja Kwa Moja....kusikia joto huenda ni dalili ya kuanza kuathiriwa
Ndo ukweliDah,hii comment imenitisha
Huyo virgin mkuuKwenye gemu unakuaje heb tupe experience... Maana mim nikinywaga kinywaj chenye zaid ya 35+ alcohol.. shugul yake huwa si yakitoto
Acha uongo na vitisho. Zamani ilikuwa 300k but noe dialysis sehemu nyingi ni 70 k hadi 150k inategemea na your method of paymentSimply because NI DALILI ZA FIGO KUANZA KUFELI nenda hospital... Ukichelewa yatakukuta makubwa, kwa wiki kusafishwa figo ni million 2-4
ENDELEENI KUNYWA POMBE KALI tutawazika bila figo na ini