Swadaktaa!, shukran kwa ukumbusho.mQuran (neno) la MUNGU , ndilo linasema hivyo anaambiwa NABII WETU , WAAMBIE WATU WA NYUMBANI KWAKO WATEREMSHE SHUNGI ZAO, WAJISTIRI. tafuta watu wakusaidie kuliona andiko hilo kwenye kitabu kitukufu cha QURAN, sio utamadubi bali ni agizo la M/MUNGU kupitia kwa mjumbe wake.
Hapana, waarabu wa kabla ya uislamu walivaa tu mavazi ya kawaida mpaka alipofunuliwa Nabii Muhammad kuwa wanawake wavae vipi katika Qur'an 33:59,24:31.Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Sio waarabu bali uislam ndo unaamrisha wanawake wavae vile wajitande....so nashauri ungeuliza wanaojua kwanza ndo useme nduguUle ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Kumbe hata wanawake wa kikristo wanatakiwa kufunika vichwa vyao.WAKORINTHO 11:5-7
PAULO ANASEMA:
5. Bali kila mwanamke asalipo au anapohutubu bila kufunika kichwa, yuaaaibisha kichwa chake kwamaana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
6. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele, lakini ikiwa ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa basi afunikwe.
7. Kwa maana kweli haimpasi Mwanaume kufunikwa kichwa kwasababu yeye ni mfano wa utukufu wa Mungu, bali Mwanamke ni utukufu kwa mumewe.
Heshimu uheshimiwe.View attachment 354866
View attachment 354867
Habari wadau..
Kiukweli mimi ni mkristo..
Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii
Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..
Unamkuta mdada kashuka kwenye range lake na hijab yake...
na hata akivaa suti au formal dress la ofisini.. akipiga na ushungi wake anapendeza sana..
yaani unaona tofauti kubwa sana kati ya mke wa mtu wa kiislam na wa kikristo..
Mtu baba ana oil com, lake oil, home shopping na mabiashara mengine makubwa makubwa lakini ana staha.. hana dharau.. dress code ya heshima tele hadi unatamani awe wako..
Ila ukute mambo safi wa dini yetu..
Hicho kiminii.. kikuku na nyodo ofisini..
Hayo mavazi ni kama anashiriki umiss
Waislamu japo mna mapungufu yenu ila kwenye dress code ya wanawake mpo juu sana..
Kuna tofauti kubwa ya mavazi ya mwanamke aliyeolewa wa kiislam na kikristo..
Hata kumtongoza kipuuzi puuzi mtu unaogopa mavazi yake tu yalivyo mpa heshima kubwa...
Ndio mkuu, yaani kujisitiri kwa ujumla.Kumbe hata wanawake wa kikristo wanatakiwa kufunika vichwa vyao.
Dini zimeleta na tamaduni za hao walioleta dini hiyo.Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.