Tabia ni kama ngozi kaka yangu , na pesa nipesa tu hiyo tabia alikuwa nayo bali wewe hukumjua tu, pole ila ndiyo kujifunzaKama alivyosema Single Phase, ni kweli tunakurupuka tu. Huyo mdada nilimpa kila alichotaka, na shule nikamweka. Pete, familia yake, pocket money ya kutosha. Bado hakuridhika akanisaliti hata wiki 2 hazikuisha baada ya kusafiri. Utanilaumu hapo? Kweli nilikurupuka kumfanya mchumba. Hakustahili kabisa
Asante sana Ndugu Ulweso. Mchango wako katika mada hii nimeufurahia sana. 🙏🙏🙏Tabia ni kama ngozi kaka yangu , na pesa nipesa tu hiyi tabia alikuwa nayo bali wewe hukumjua tu, pole ila ndiyo kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa haaa utakuta anayesema mbaya, mkimlinganjsha wakwake na huyo malikia [emoji23][emoji23][emoji23]Alafu wanaume mnasema huyo dada mbaya;nyie wanawake zenu wazuri?
Sasa hawa wanawake walojaa huku mitaani wengi wa kawaida tu wanaume zao walikufa?
Mtoa mada weka na picha yako,huenda ukawa hata mbili kimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ndugu yako amfuatilie ajue uongo au ukweli, ila kuna ndugu wana vihelehele unaweza juta kuwashirikishaHakuwa karibu sana na ndugu zangu. Il sasa nitawapa maelekezo na kazi itafanyika
Usijali hayo yanatokea sana simama kwa nguvu utapata ukweliAsante sana Ndugu Ulweso. Mchango wako katika mada hii nimeufurahia sana. [emoji120][emoji120][emoji120]
sawaNdio ndio mkuu.
Kauli za upande mmoja mara nyingi huwa zimejaa uongo mwingi
watajuana wenyeweMaoni asilimia 90 yanaonyesha mmemwamini mtoa mada moja kwa moja!
Maoni yenu yameegemea upande mmoja.
What if anamchafua tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu,
Asante sana sana. Ushauri mzuri kabisa. Kwao ni moshi vijijini. Ila sikupenda kutuma mtu sababu walishanidanganya hio familia yake ili nisimwache mtoto wao. Kwa hio nao sio watu wa kuamini sana. Suala ni kwamba nimeshatumia resources nyingi na hadi inaudhi. Inabidi nitakalofanya sasa hivi litatue tatizo moja kwa moja. Nitatumia private investigator ampate halafu ukweli wote upatikane. Ila kumpa hela hapana. Ameshanitapeli mamilioni aisee. Nitawaletea updates hapa.
Njia nne to makbeHapo sawa
Investigation ya muhimu.
Hayo mamilioni ulitumia ya nini?
Sisi huku mtoto analelewa haizidi laki kwa mwezi labda Kama Ni mwanafunzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilibidi ninunue tiketi ya kurudi tena tanzania halafu na ya kurudi tena abroad kwa shughuli zangu (Air return ticket). Hio ni 3 million, bado gharama nyingine za matumizi tz nk. Nilikuwa nimeondoka tu Tz hata mwezi haujaisha, ndio matatizo yakaanza ikabidi nirudi kusawazisha. Tatizo nilikuwa nimeshamchumbia na akawa anakaa kwangu. Akakataa kuondoka huku anasema ana mimba yangu na pia anasema atajiua kwa nyumba yangu nikimwacha nk. Yalikuwa matatizo ikabidi nirudi na ilinigharimu sana sababu ilikuwa ni safari ambayo sikuipanga.Hapo sawa
Investigation ya muhimu.
Hayo mamilioni ulitumia ya nini?
Sisi huku mtoto analelewa haizidi laki kwa mwezi labda Kama Ni mwanafunzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo pia kuna wanaojifanya ni wacha Mungu wako kanisani kumbe ni masimba kwa ngozi ya kondoo. Siku hizi imekuwa ngumu sana kumjua mtu. Najua watu wengi ndoa zao ni za kanisani na hata kwa mwaka mmoja hazikudumu.Ni kweli mkuu,
Ndio nikakwambia pale mwanzo muombe Mungu kwa imani yako atakuonyesha palipp pema, bado Mungu hajaishiwa watu. Usimwamini MTU kwa kigezo cha kanisa " waitwao ni wengi lakini wateule ni wachache" Neno linasalinasema wazi.Japo pia kuna wanaojifanya ni wacha Mungu wako kanisani kumbe ni masimba kwa ngozi ya kondoo. Siku hizi imekuwa ngumu sana kumjua mtu. Najua watu wengi ndoa zao ni za kanisani na hata kwa mwaka mmoja hazikudumu.
Tulipima mkojo mara ya kwanza akakutwa hana mimba. Akalalamika kwamba jamani mbona juzi tu nilikuwa na mimba nimepimwa, Basi wakarudia. Ndio ikaonekana ana mimba. Basi nikaenda laboratory ya uhakika kabisa arusha. Wakasema kabla ya damu, tufanye mkojo, ndio akawa anazingua hataki kutoa sample. Baada ya kuzingua sana nikamsachi nikakuta ameficha hicho kichupa. Na yeye kipindi hicho alikubali kwamba amedanganya na kuomba msamaha. Baada ya muda ndio akaja na hio gear nyingine. Damu ilikuwa tupime lakini baada ya kumwona ana kichupa nikaona hakuna sababu.
Daah nimechelewa Hata picha ya huyo manzi sijaiona
Ila mkuu ukipima DNA tz usithubutu wanagushi majibu kwa maslahi ya mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
DAHInaonekana alikuwa anapigana juu chini ili ionekane ana ujauzito wako. Pole mkuu kwa hilo maana uliingia sehemu sio
Hii story yako imenikumbusha mbali, unajua wadada tumekuwa na shahuku ya ndoa sasa inakera sana,hayo yote analazimisha ndoa. Kuna Shoga yangu alimbambikizia mwanaume mtoto nikambembeleza hatopata amani akagoma, akalazimisha huyo Mme akamuoa, ukawa ni mwendo wa kunitumia picha za harusi kama vile ananiringishia kaolewa.ikabidi nipunguze urafiki maana kweli yule mtoto sio wa Mme wa ndoa.Kuna laboratory zipi arusha wanafanya DNA? Kama una information nitashukuru sana. Naamini Lancet laboratories wanafanya, ila ningependa kuwa na options kadha wa kadha.