Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu matokeo yalikuwa negative kwa mimba mara positive ndio mtu akasema nimsachi. Sasa anatuma picha kwa ndugu zangu anasema nimemtekeza mtoto. Mimi kwa sasa sipo Tanzania niko abroad kwa hio hata DNA siwezi fanya.

Ila amekuwa ghasia sana. Kuna picha amenitumia NAOMBA KAMA KUNA ANYEJUA HUYO NI MTOTO WA NANI ANIAMBIE SABABU MIMI NAJUA HUYO mdada amechukua tu mtoto wa mtu anapiga picha naye. Muda aliosema amezaa mahesabu yanakataa. Na kama nilivyosema, nilipima mwezi mmoja baada ya kuwa naye mara ya mwisho akakutwa hana, akalalamika akaomba warudie vipimo, akakutwa ana mimba. Basi ndio nilivyomsachi, nikakuta ana hicho kichupa amekificha kilichokua na mkojo. Ni mdada mrembo, lakini urembo bila roho ni kazi bure.

Picha zake na ya mtoto hizi hapa. Najua huyu ni mtoto wa mtu Fulani. Naomba mnisaidie sababu ghasia zake zimezidi kwa kweli na mimi mwaka jana niliacha kazi zangu USA nikanunua tiketi ya mamilioni nikaacha shughuli zangu nikarudi Tz kushughulikia ghasia zake za mimba za uongo, na sasa sitaki KUFANYA HIVYO tena. Naomba msaada wenu wadau.

PS: Napenda sana mtoto. Ila sijajaliwa bado sababu sijapata mke bado. Ndio wadada nakutana nao kama huyu ni utapeli mtupu. Ila hata sasa hivi nasomesha Watoto watatu wa marafiki tu, kwa hio sio kwamba sina uwezo wa kumsaidia. Lakini sitaki kumsaidia mtu tapeli. Na kama nilivyosema najua hata huyo mtoto sio wake. Namba hazikubali kabisa.

View attachment 1341634

VIDEO HII HAPA
View attachment 1341657




View attachment 1341631

View attachment 1341632View attachment 1341633
Kama kweli upo abroad fanya kilichokupeleka huko hizi shobo za kibongo tuachie wenyewe. Kuwa na mtoto au kutokuwa naye utashughulika nazo ukirudi
Stay focused my friend.
Huyu mdada hana uzuri wowote kama unavyodai
 
Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu matokeo yalikuwa negative kwa mimba mara positive ndio mtu akasema nimsachi. Sasa anatuma picha kwa ndugu zangu anasema nimemtekeza mtoto. Mimi kwa sasa sipo Tanzania niko abroad kwa hio hata DNA siwezi fanya.

Ila amekuwa ghasia sana. Kuna picha amenitumia NAOMBA KAMA KUNA ANYEJUA HUYO NI MTOTO WA NANI ANIAMBIE SABABU MIMI NAJUA HUYO mdada amechukua tu mtoto wa mtu anapiga picha naye. Muda aliosema amezaa mahesabu yanakataa. Na kama nilivyosema, nilipima mwezi mmoja baada ya kuwa naye mara ya mwisho akakutwa hana, akalalamika akaomba warudie vipimo, akakutwa ana mimba. Basi ndio nilivyomsachi, nikakuta ana hicho kichupa amekificha kilichokua na mkojo. Ni mdada mrembo, lakini urembo bila roho ni kazi bure.

Picha zake na ya mtoto hizi hapa. Najua huyu ni mtoto wa mtu Fulani. Naomba mnisaidie sababu ghasia zake zimezidi kwa kweli na mimi mwaka jana niliacha kazi zangu USA nikanunua tiketi ya mamilioni nikaacha shughuli zangu nikarudi Tz kushughulikia ghasia zake za mimba za uongo, na sasa sitaki KUFANYA HIVYO tena. Naomba msaada wenu wadau.

PS: Napenda sana mtoto. Ila sijajaliwa bado sababu sijapata mke bado. Ndio wadada nakutana nao kama huyu ni utapeli mtupu. Ila hata sasa hivi nasomesha Watoto watatu wa marafiki tu, kwa hio sio kwamba sina uwezo wa kumsaidia. Lakini sitaki kumsaidia mtu tapeli. Na kama nilivyosema najua hata huyo mtoto sio wake. Namba hazikubali kabisa.

View attachment 1341634

VIDEO HII HAPA
View attachment 1341657




View attachment 1341631

View attachment 1341632View attachment 1341633
Kwa hiyo huyu ndio unamuita mrembo?

NB: Kuwa makini anaweza kukufungulia kesi ya saiba kraimu kwa kushare picha yake mtandaoni bila idhini yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huyo mwanamke alishawahi kuwa bikra. Ujui Kuna watu wanafunguliwa bikra zao kwenye ukahaba. Tabia mbaya haina uhusiano na bikra.


Kutoa bikra kabla ya ndoani ndio ukahaba wenyewe huo Mkuu. Sasa ukahaba sio tabia mbaya.

Bikra ni kithibitisho cha tabia ya mwanamke kwenye ishu ya uzinzi. Kama hujui haya mambo ni bora ukae kimya.

Soma vitabu mbalimbali ujifunze. Mwanamke asiye na bikra akatooombwa na wanaume wengi hata mitoto anayoizaa inakuwa na tabia za hovyo. Hiyo ipo kisayansi.
 
Mademu wa kizungu nimeshakuwa naye. Ila wanaku-control sana sana na pia wanakuzuia usirudi kwenu. Wanataka ubakie tu nchi za watu. Mimi sijapenda hio. Brothers wangu wawili wameoa wazungu na Tz hawajakanyaga miaka na miaka. Mimi wa kwangu pia alikuwa controlling sana na Tz hakupapenda.
Aidha unakula ubwabwa au udaga chagua kizuri kwako! Kuwa na mnyonyaji ingawa unamcontrol au kuwa na asiyeingilia ngawira zako lakini anakucontrol. Huwezi kupata mwanamke unamcontrol halafu asikutoe upepo unless ni joanah
 
Mkuu tatizo ni nini?Ulimla kavu?Mara ngap?Anachotaka ni nini?Ndoa?Matunzo?au anataka kukupa mtoto?Iko hivi mkuu,huna sababu ya kuweka picha yake mtandaoni na kusema kwamba kakudanganya au la?Huna hata sababu ya kuanza kupanick mpaka kusema uko USA.Kama mtoto ni wako,ni wako tu hata kama DNA itasema tofauti ila kama mama kasema ni wako basi ni wako tu.Usipanick.

Cha kufanya ni hivi.Wewe msikilize anachotaka ni nini hasa uelewe.Kisha mpe jibu ambalo unaamini ndo sahihi..kisha baada ya hapo usikilize jibu lake.Jibu atakalokupa kulingana na uamuzi wake ndo litaamua ufanye nini.

Kwa muonekana na uandishi wako inaonekana Umemzimia sana huyu dada ila haummudu yani kakuzidi ujanja kwa hio anajua namna ya kukujaza upepo.Kama mwanaume futa hzio picha na kisha mtafute wewe umsikilize kama ambavyo ulimsikiliza alipokupa papuchi.Acha uwoga.Wanaume hatuko hivyo
 
mkuu Yaani huyo ndiye mrembo ..acha masihara basiii....Hapo alipo lala na mtoto uso wake mbona umejikunja like anakamuliwa Kijipu uchungu ?.....Though anaonekana ni mjanja mjanja hapaswi kuwa na mwanaume ambaye ni mstaarabu....

halafu hivi huwa mnaupendo wa namna gani !! yaani mpaka umebaini kuwa binti kaficha chupa ya mkojo but still una wasiliana nae duh!
 
Baharia wa kike ana harakati za kizamani, binafsi sijafurahia kwa kweli, anazingua.

Pia wanaume muache kikojoa ovyo mtumie condom kiusahihi ili muepukane na hizi stress.
 
Mkuu tatizo ni nini?Ulimla kavu?Mara ngap?Anachotaka ni nini?Ndoa?Matunzo?au anataka kukupa mtoto?Iko hivi mkuu,huna sababu ya kuweka picha yake mtandaoni na kusema kwamba kakudanganya au la?Huna hata sababu ya kuanza kupanick mpaka kusema uko USA.Kama mtoto ni wako,ni wako tu hata kama DNA itasema tofauti ila kama mama kasema ni wako basi ni wako tu.Usipanick.

Cha kufanya ni hivi.Wewe msikilize anachotaka ni nini hasa uelewe.Kisha mpe jibu ambalo unaamini ndo sahihi..kisha baada ya hapo usikilize jibu lake.Jibu atakalokupa kulingana na uamuzi wake ndo litaamua ufanye nini.

Kwa muonekana na uandishi wako inaonekana Umemzimia sana huyu dada ila haummudu yani kakuzidi ujanja kwa hio anajua namna ya kukujaza upepo.Kama mwanaume futa hzio picha na kisha mtafute wewe umsikilize kama ambavyo ulimsikiliza alipokupa papuchi.Acha uwoga.Wanaume hatuko hivyo
Sawa mkuu. Nimefuata ushauri. NA PICHA NIMESHAZIFUTA ZOTE.
 
ukute kuna watu wanatamani wamuombe namba mtoa mada ili wakale wao huyo demu dah wabongo sie
 
Duuuh!!! Hii kazi kweli kweli. Pole sana mkuu. Jitahd utoke katika hilo janga. Mwenyez Mungu atakusaidia. Na uwe makini katika kuchagua mke.
 
Halafu, wewe unasema mimba ilikuwa negative, mara uliporudia ikawa postive na ulipom-search ukamkuta na kikopo.

Kwahiyo ukaridhika na majibu yapi? Kwanini msingepima damu ili waone hormonal levels?

Wewe mtu wa Marekani mwenye uwezo wa mamilioni ulienda Hospital au Zahanati?
Mm nahisi kama anatudanganya tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom