Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Hii story yako imenikumbusha mbali, unajua wadada tumekuwa na shahuku ya ndoa sasa inakera sana,hayo yote analazimisha ndoa. Kuna Shoga yangu alimbambikizia mwanaume mtoto nikambembeleza hatopata amani akagoma, akalazimisha huyo Mme akamuoa, ukawa ni mwendo wa kunitumia picha za harusi kama vile ananiringishia kaolewa.ikabidi nipunguze urafiki maana kweli yule mtoto sio wa Mme wa ndoa.

Baada ya miezi sita vurugu na visanga vikaanza ndoa si ndoa nikamshauri atubu kwa Mme wake akagoma nikakaa pembeni. Nachoamini ile ndoa haiwezi fika popote.uongo ni dhambi kubwa.

Nachoamini hakuna mapenzi bila amani.yawezekana anataka child support ila katumia njia ya kishamba sana, sijui mlikutana wap maana hizo ghasia anazowaletea wazazi wako sidhani kama hata shule kichwani mwake anayo.

Sasa wewe punguza stress ongea na ndugu zako huyo mwanamke block, maana utashindwa kufanya kazi zako. Kata mawasiliano kwa sasa mpaka utakaporudi. Mwende hospital mkapime DNA

Hawezi leta vurugu zaid ya miezi 6, atafika mwisho aache Kuhusu kuwaletea vurugu ndugu zako, waambie akileta vurugu wapeleke police embu jifanye kama humjui tuone nn kitatokea.

Huwezi lazimisha mwanaume akupende kwa kumtafutia vikwazo.sikio halizidi kichwa.
Asante sana Luckyline kuchangia na kuelezea ushuhuda huo wa rafiki aliyekuwa sio mwaminifu. Endelea hivyo hivyo my sista kuwa na roho ya uaminifu. Uaminifu always unalipa. Nimefurahi kwa kweli kusoma mchango wa mdada mwenye hekima sana. Be blessed my dear friend.
 
Asante sana Luckyline kuchangia na kuelezea ushuhuda huo wa rafiki aliyekuwa sio mwaminifu. Endelea hivyo hivyo my sista kuwa na roho ya uaminifu. Uaminifu always unalipa. Nimefurahi kwa kweli kusoma mchango wa mdada mwenye hekima sana. Be blessed my dear friend.
Hata hivyo acha Tabia ya kutovaa condom, ungevaa hayo yasingetokea, mtu unajua hujawa tiyari kuoa unadumbukiza dushe bila mfuko.kutovaa kinga kuna madhala 4
1: kuzaa na mtu ambae huna mpango nae, which means kuna ngogoro ktk malezi( single parent)
2: magonjwa
3:kutokuwa na malengo na maisha yako.
4: kushinda kupanga jinsia mtoto gani mzae.

Hili likitokea tena Dada yako ntakuchapa viboko aiseee
 
Hata hivyo acha Tabia ya kutovaa condom, ungevaa hayo yasingetokea, mtu unajua hujawa tiyari kuoa unadumbukiza dushe bila mfuko.kutovaa kinga kuna madhala 4
1: kuzaa na mtu ambae huna mpango nae, which means kuna ngogoro ktk malezi( single parent)
2: magonjwa
3:kutokuwa na malengo na maisha yako.
4: kushinda kupanga jinsia mtoto gani mzae.

Hili likitokea tena Dada yako ntakuchapa viboko aiseee
Kweli kabisa. Nimekupata vizuri. ❤🙏🏽❤. Una ushauri mzuri sana. Hiyo namba 4 inawezekana hivi mtu kupanga jinsia?
 
Hata hivyo acha Tabia ya kutovaa condom, ungevaa hayo yasingetokea, mtu unajua hujawa tiyari kuoa unadumbukiza dushe bila mfuko.kutovaa kinga kuna madhala 4
1: kuzaa na mtu ambae huna mpango nae, which means kuna ngogoro ktk malezi( single parent)
2: magonjwa
3:kutokuwa na malengo na maisha yako.
4: kushinda kupanga jinsia mtoto gani mzae.

Hili likitokea tena Dada yako ntakuchapa viboko aiseee
Wow!. Kumbe inawezekana hio namba nne. Nimeisoma kwa website moja Google

"There are several methods, but the only method by far that truly, truly is accurate at ensuring desired gender is in vitro fertilization, followed by a biopsy of the embryo to determine the embryo's sex,"
 
Asante sana Luckyline kuchangia na kuelezea ushuhuda huo wa rafiki aliyekuwa sio mwaminifu. Endelea hivyo hivyo my sista kuwa na roho ya uaminifu. Uaminifu always unalipa. Nimefurahi kwa kweli kusoma mchango wa mdada mwenye hekima sana. Be blessed my dear friend.
Mambo haya wanawake wengi siku hizi wamekuwa vichomi balaa, mpaka wanasingizia waume za watu kisa ana pesa tabia hii sio kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hivyo acha Tabia ya kutovaa condom, ungevaa hayo yasingetokea, mtu unajua hujawa tiyari kuoa unadumbukiza dushe bila mfuko.kutovaa kinga kuna madhala 4
1: kuzaa na mtu ambae huna mpango nae, which means kuna ngogoro ktk malezi( single parent)
2: magonjwa
3:kutokuwa na malengo na maisha yako.
4: kushinda kupanga jinsia mtoto gani mzae.

Hili likitokea tena Dada yako ntakuchapa viboko aiseee
Kuna mbaba nusura mchepuko uvunje ndoa yake kisa kubambikiwa mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimeumia sana kuchelewa kuona huu uzi. Laiti ningeona hizo picha na video. Huenda huyo mtoto namfahamu ni wa nani.
 
Wow!. Kumbe inawezekana hio namba nne. Nimeisoma kwa website moja Google

"There are several methods, but the only method by far that truly, truly is accurate at ensuring desired gender is in vitro fertilization, followed by a biopsy of the embryo to determine the embryo's sex,"
I don't have any experience on that, tho nilisoma sehemu, afu kuna mtu alinambia so unaweza iwe sawa
 
Kweli kabisa. Nimekupata vizuri. ❤🙏🏽❤. Una ushauri mzuri sana. Hiyo namba 4 inawezekana hivi mtu kupanga jinsia?
Tusubiri ambao wameshazaa watoe experience zao, mm niliwoma tu sehemu pia nikaambiwa na mtu, ila nahisi ni sahihi kutokana na muda wa tendo kilipofanyika.Jf kuna wataalam wengi utapewa jibu
 
Inaonesha unatingishika sana broo,
Kwani ukimkaushia unapatwa na nn? Unashindwaje kufanya maamuzi ya kiume ktk issue ndogo km hii aisee,! Mwambie tu alete proof kua mtoto ni wako,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilibidi ninunue tiketi ya kurudi tena tanzania halafu na ya kurudi tena abroad kwa shughuli zangu (Air return ticket). Hio ni 3 million, bado gharama nyingine za matumizi tz nk. Nilikuwa nimeondoka tu Tz hata mwezi haujaisha, ndio matatizo yakaanza ikabidi nirudi kusawazisha. Tatizo nilikuwa nimeshamchumbia na akawa anakaa kwangu. Akakataa kuondoka huku anasema ana mimba yangu na pia anasema atajiua kwa nyumba yangu nikimwacha nk. Yalikuwa matatizo ikabidi nirudi na ilinigharimu sana sababu ilikuwa ni safari ambayo sikuipanga.
Wee jamaa unazingua sana kumbe ushamchumbia kabisa mtoto wa watu afuu unaanza kuleta story za kumkandamiza aonekane yeye ndo mbaya kumbe wewe ndo unakimbia majukumuu... Achaa ujingaa lea mwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu matokeo yalikuwa negative kwa mimba mara positive ndio nikapata wazo la kumsachi na mtu hapo maabara pia akasema nimsachi. Sasa anatuma picha kwa ndugu zangu anasema nimemtekeza mtoto. Mimi kwa sasa sipo Tanzania niko abroad kwa hio hata DNA siwezi fanya.

Ila amekuwa ghasia sana. Kuna picha amenitumia NAOMBA KAMA KUNA ANYEJUA HUYO NI MTOTO WA NANI ANIAMBIE SABABU MIMI NAJUA HUYO mdada amechukua tu mtoto wa mtu anapiga picha naye. Muda aliosema amezaa mahesabu yanakataa. Na kama nilivyosema, nilipima mwezi mmoja baada ya kuwa naye mara ya mwisho akakutwa hana, akalalamika akaomba warudie vipimo, akakutwa ana mimba. Basi ndio nilivyomsachi, nikakuta ana hicho kichupa amekificha kilichokua na mkojo. Ni mdada mrembo, lakini urembo bila roho ni kazi bure.

Picha zake na ya mtoto hizi hapa. Najua huyu ni mtoto wa mtu Fulani. Naomba mnisaidie sababu ghasia zake zimezidi kwa kweli na mimi mwaka jana niliacha kazi zangu USA nikanunua tiketi ya mamilioni nikaacha shughuli zangu nikarudi Tz kushughulikia ghasia zake za mimba za uongo, na sasa sitaki KUFANYA HIVYO tena. Naomba msaada wenu wadau.

PS: Napenda sana mtoto. Ila sijajaliwa bado sababu sijapata mke bado. Ndio wadada nakutana nao kama huyu ni utapeli mtupu. Ila hata sasa hivi nasomesha Watoto watatu wa marafiki tu, kwa hio sio kwamba sina uwezo wa kumsaidia. Lakini sitaki kumsaidia mtu tapeli. Na kama nilivyosema najua hata huyo mtoto sio wake. Namba hazikubali kabisa.


NOTE: PICHA NA VIDEO ZIMEFUTWA BAADA YA KUSHAURIWA NA MDAU

Wadau: Asanteni wote kwa Ushauri Wenu. Nimejifunza mengi sana leo. Na nitafanyia kazi ushauri wa kila mtu. Naomba mniruhusu nifunge mada hii sasa. Siku njema kwenu waTz wenzangu.
YOU GUY YOU ARE NOT SERIOUS... INAONEKANA BADO AKILI ZAKO CHANGA SANA. YAANI UNAJUA KABISA MTOTO SIO WAKO ALAFU BADO UNATAABIKA NA PRESHA, UMELOGWA KWA UCHAWI GANI HASA? AU ALIKUWEKEA MNOFU KATIKA UCHI WAKE NDIYO UKALA NA SASA UMEKUWA MTU WA KUONGEA KULIKO KUTENDA? ....................................

USHAURI WANGU NI HUU TU NA WENGI WAMEKUSHAURI SANA LAKINI HUU UZINGATIE...DON'T BE HONEST TOO MUCH, THE STRAIGHT TREE IS CUTTING FIRST, THE HONEST PEOPLE ARE ARE GOING TO DIE FIRST. "Usiwe mwema kupita kiasi, mti ulionyooka huwa wa kwanza kukatwa, watu wema huwa wa kwanza kufa"
 
Napenda watoto, na angekuwa mkweli na kama asingekuwa tapeli, ningemsaidia. Mbona ninasaidia wa wengine? Huyo mdada ni kwamba sitaki kabisa mazoea naye na sababu hatuna hata mtoto, sikutaka anizoee ni kamanibilisi kabisa. Ila yeye anatafuta tu njia za kuwa karibu na mimi. Na sasa hivi ndio hii ameamua.
Vip ulishapata majibu kama mtoto ni wako au vipi?
Ukirudi bongo hakikisha ukikutana na mwanamke tumia kinga, na usimwambie mwanamke ukweli wako atakutegeshea mimba.

Usije fanya kosa kuzaa na mwanamke usiempenda. Atasumbua ukoo mzima.

Ila na sisi wanawake ifike mahala tujitambue unaanzaje kumbambikiza mtoto mtu?
 
Back
Top Bottom