Napenda sana umbea

vizuri shida yako wewe hujui kuwa umbea una faida kubwa kuliko hasara...safi endelea tu....
 
Mmmmmmh
Kama ni mwanaume hii ni hatari
 
mbona kimya sana mpenzi?

do you know what i am really going through when you are absent?

i miss you for sure sweetheart...!

nipo sana kuna ka project kananiweka busy kidogo ukiona sipo chepuka kwa step ruksa ila angalia ustekwe mazima lol
 
nipo sana kuna ka project kananiweka busy kidogo ukiona sipo chepuka kwa step ruksa ila angalia ustekwe mazima lol

hahahaa! come on mamii, mbona hatuambiani your busyness? abt michepuko, hm! ngoja nifikirie!
 
hahahaa! come on mamii, mbona hatuambiani your busyness? abt michepuko, hm! ngoja nifikirie!

usijali nitakwambia via pm mpaka ufikirie nimepapenda hapo unakuwa sasa fanya uachane na teamB
 
Unafahamu kupitia umbea unaweza kumuua mwenzako kwa ajili ya mineno yako ya kimbea? plse jamani. Kumtangazia tu mwenzako umbea ambao haupo ni shida plse usijisifie umbea ni tabia mbovu kabisa.... kuna rafiki yangu mmoja wa Arusha yeye na mmewe walikuwa wambea wa kupitiliza marafiki wakawa hawakai nao....mwisho wapo tu wenyewe hata wakiingia mahali watu wanahama.
 

Watu kama nyie hamnipi shida, mimi sio mbea ila napenda kufatilia mambo binafsi tena naweza nikakuzidi, pia nipo kimya sana na hata kama najua issue za watu huwa najifanya kama sijui.
 
Siku zote watu wenye fikra duni(akili ndogo) kazi yao ni kujadili watu. Waone wana saikolojia au falsafa watakusaidia.

WHAT DO YO DISCUSS?
Great mind discuss IDEAS
Average mind discuss EVENT
Small mind discuss PEOPLE.
By Aristotle.
 
hivi unapomsalimia na kumuuliza maswali kuhusu life style yake si umbea? mfano mkeo hajambo? unajibiwa hajbo then anakuambia kasafiri labda unadakia kaenda wapi??? HUU SIO UMBEA?

Umbea sio kuuliza bali kuongea mambo binafsi ya wengine. Kama umeuliza kaenda wapi ukaambiwa ameenda Zanzibar ukauliza tena ameenda kufanya nini na maswali mengine kibao hapo unakuwa hujafanya umbea, ila baada ya kuambiwa hivyo na wewe ukaenda kusema kwa watu bila sababu ya msingi ndio umbea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…