Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
mkuu vp bado unahitaj wengine au??Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl.
Nmemaliza.
shetani aliyetumwa kuwachomoa wakatoliki wa kike! We pepo kamili, tena ushindwe na ukome jini mkubwa wewe!!Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl.
Nmemaliza.
Jiandae kukujazia nnzi kwako kwa mambo yanayoitwa "jumuiya"Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl.
Nmemaliza.
Waletemkuu vp bado unahitaj wengine au??
We vipi??shetani aliyetumwa kuwachomoa wakatoliki wa kike! We pepo kamili, tena ushindwe na ukome jini mkubwa wewe!!
Tumuongezee Wale waimba KWAYA?mkuu vp bado unahitaj wengine au??
Waimba KWAYA ukiona wamekusanyika jichanganye HAPO alafu malizia mchezoWalete
Great minds think alike.Ni kweli wanawake wa salam maria umejaa neema wako vizuri halafu hawana mambo mengi zaidi ni kwenye jumuiya jumamosi basi na kufuatilia mambo ya mtoto kama anasoma
Ntachukua ushauri wakoWaimba KWAYA ukiona wamekusanyika jichanganye HAPO alafu malizia mchezo
Hua hawachomoi HIO code nimekupa ni uhakika Ila usisahau wanatukana vibaya sana kwa HIO kua makini usije ukayaoga km yoteNtachukua ushauri wako