Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
- Thread starter
- #21
NAKATAAWadada wa katoliki hawajui kuto-mbana wavivu wachafu ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKATAAWadada wa katoliki hawajui kuto-mbana wavivu wachafu ππππππ
KIPENSELI kimeisha?aya nasis TAG inakaaje ππsisi ndo wale wa...leo nitachelewa kurud tunaenda kudeki nyumba ya mchungaji
H huyo demu wako mkatoliki mwombe mku-ndu kama atakupa ππππNAKATAA
ndo nawaka ivooKIPENSELI kimeisha?
π€‘ndo nawaka ivoo
Sijawahi ku-date na walokoleπaya nasis TAG inakaaje ππsisi ndo wale wa...leo nitachelewa kurud tunaenda kudeki nyumba ya mchungaji
ππ€‘
jaribu,,atabeba kila kitu ndani umo apelekee mchungaji wake π€£Sijawahi ku-date na walokoleπ
Angalia uwake Ila usiteketee TUndo nawaka ivoo
Udini kweny hii mada uko wapi mkuu??JF inaingiliwa sana na maada za kingese za udini
Sijui kwanini ma mods hawaoni hatari ya udini through JF
SITUMIAGIH huyo demu wako mkatoliki mwombe mku-ndu kama atakupa ππππ
nshatukana balozi apa mtaaniAngalia uwake Ila usiteketee TU
Hunitakii mema wewejaribu,,atabeba kila kitu ndani umo apelekee mchungaji wake π€£
Kumbe ndivyo walivyo Wakatoliki? Huyu Church Boy wangu ameniteka kwa upendo, nimepagawa kumbe hata dini yake inachangia, dah.Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl.
Nmemaliza.
Mwambie Balozi Wewe ni Mwenyekiti Serikali za Mitaanshatukana balozi apa mtaani
pia atakupa na zawadi ya watoto sababu sku nyingine atalala kwenye mkeshaHunitakii mema wewe
Ushapata Church boy tena kwa Mara nyingine?Kumbe ndivyo walivyo Wakatoliki? Huyu Church Boy wangu ameniteka kwa upendo, nimepagawa kumbe hata dini yake inachangia, dah.
Wakatoliki tuoneeni huruma wenzenu, mtatuua kwa mahaba! Lols
nmemwagiwa maji ya baridi apa eti niamkeMwambie Balozi Wewe ni Mwenyekiti Serikali za Mitaa