Napenda sana wanawake wa kikatoliki

Napenda sana wanawake wa kikatoliki

Anyway nimetype nikafuta ila kwa kifupi hao wa kanisani niliowahi kuwa nao ni majasiri kuliko wanavyoonekana nje. Niliwahi kuwa na watatu serious church girls.
Leo hii mchana nimetoka kumtoa seal mmoja, ningejua kabla hatujaingia ndani basi nisingemuanza. Ataniganda na sioni kama nitaenda nae. Ataniona gaidi wakati nilikuwa najua anajua.
 
JF inaingiliwa sana na maada za kingese za udini

Sijui kwanini ma mods hawaoni hatari ya udini through JF
Udini kweny hii mada uko wapi mkuu??

Na watu wanaoanzishaga uzi wakisema wanapenda wanawake wa kipare nao wanaleta ukabila??

Grow up
 
Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl.

Nmemaliza.
Kumbe ndivyo walivyo Wakatoliki? Huyu Church Boy wangu ameniteka kwa upendo, nimepagawa kumbe hata dini yake inachangia, dah.

Wakatoliki tuoneeni huruma wenzenu, mtatuua kwa mahaba! Lols
 
Ngoja na waliwakula wa Kwa mwamposaa nao watupe mrejeshwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hv mwamposaa n wa dhehebu gan mkuu
 
Kumbe ndivyo walivyo Wakatoliki? Huyu Church Boy wangu ameniteka kwa upendo, nimepagawa kumbe hata dini yake inachangia, dah.

Wakatoliki tuoneeni huruma wenzenu, mtatuua kwa mahaba! Lols
Ushapata Church boy tena kwa Mara nyingine?
 
Back
Top Bottom