Hana dhehebu Ile ni km mkutano wa hadhara mbele ya Motivational speaker, humtofautishi na Irene UwoyaNgoja na waliwakula wa Kwa mwamposaa nao watupe mrejeshwa๐๐๐
Hv mwamposaa n wa dhehebu gan mkuu
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃmkuu vp bado unahitaj wengine au??
Amka uchukue KIPENSELI kinginenmemwagiwa maji ya baridi apa eti niamke
naskia ving'ora nahis ni ambulance za gerezaniAmka uchukue KIPENSELI kingine
Uzuri ni kwamba napenda watoto wanaotoka kweny viuno vyangu.pia atakupa na zawadi ya watoto sababu sku nyingine atalala kwenye mkesha
Pombe + Kitimoto. Ndio ugonjwa wao mkubwa wa Dada wa RCWadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl.
Nmemaliza.
Mimi ni grow up au wewe?Udini kweny hii mada uko wapi mkuu??
Na watu wanaoanzishaga uzi wakisema wanapenda wanawake wa kipare nao wanaleta ukabila??
Grow up
Kwa hiyo kuanzia sasa wewe ni MariaKumbe ndivyo walivyo Wakatoliki? Huyu Church Boy wangu ameniteka kwa upendo, nimepagawa kumbe hata dini yake inachangia, dah.
Wakatoliki tuoneeni huruma wenzenu, mtatuua kwa mahaba! Lols
Sijui unatoa wapi hayo mawazo ila ni ya kitoto sana ndo maana nakwambia Grow up, inawezekana una umri mkubwa but akili yako bado haijapevuka.Mimi ni grow up au wewe?
Hujui madhara ya udini wewe. Subiri yatokee ndio utajua kama ume grow up au ume grow down
Usilazimishe viashiria vya udini nakushauri sana aisee
Ms R nifungulie pm yako tafadhali kuna kitu tuongeejaribu,,atabeba kila kitu ndani umo apelekee mchungaji wake ๐คฃ
Eeeh Nidokeze kwanza ata kiduchuMs R nifungulie pm yako tafadhali kuna kitu tuongee
Mmmh sijui labda utuambie wewe mkuuHua najaribu kuangalia sisi wanaume wakatoliki, na hasa tuliopita seminary ni kama hua tuna akili na focus kuliko watu wengine
Eeeh Nidokeze kwanza ata ko
privacy pleaseEeeh Nidokeze kwanza ata kiduchu
Okeiiiprivacy please
fanya hivyo sasaOkeiii
๐fanya hivyo sasa
Rose Shaboka ndo nani mkuu ๐ ๐Je wadada wa rose shaboka?
Mtafute huko mjini insta, napenda sana ile sauti yake ikiunguruma mithili ya simba jike.Rose Shaboka ndo nani mkuu ๐ ๐