asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,754
Mipafyumu sio tatizo hakuna kitu kinachochoa mapenzi Zaidi kwa mwenza kunukia vizuri, kunukia vizuri ni ishara ya kujijali zai...Pafyum iondoe.hata mimi hivyo hivyo unaisi kutapika fulani ivi!viwigi,vimini,visuluali mieleni,mivipodozi,mipafyumu,milangi mdomoni na kwenye macho! ni shiiiiiiidddddddddddddaaaa! mke anaye faa hafai kuwa na hayo makolokolo! mke mwema yupo natural! sio kuforce maisha!