Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
"kujctr" hii maana yake nini?Kweli kabisaaa rahaa ya mwanamke kujctr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"kujctr" hii maana yake nini?Kweli kabisaaa rahaa ya mwanamke kujctr
Duuh..Hii mpya aiseeHijabu pia inahifadhi Joto la mwanamke kule home kwa bibi.
Uncle mi yale mavazi ya kisista yananibariki sana..One of my project ni kuja kutoka na sista one dayUgonjwa wangu hasa wanaovaa Hijab
Nasikia wapo so professional yaani...Uncle mi yale mavazi ya kisista yananibariki sana..One of my project ni kuja kutoka na sista one day
Kwenye kutoa utamu ama?Nasikia wapo so professional yaani...
Kwenye maujuzi..Kwenye kutoa utamu ama?
Duuh..Yani ndo umeniongeza speed aisee..Ngoja nikomaeKwenye maujuzi..
Chifusongea lazima una matatizo !. Nitajie mwanamme mmoja tu ambaye hapendi vimini?. Maneno muchigudi!Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Yaani kumbe nimechochea ukatende dhambi! Hufai kabisaDuuh..Yani ndo umeniongeza speed aisee..Ngoja nikomae
Mke mwema hapimwi kwa mavazi na mwonekano!hata mimi hivyo hivyo unaisi kutapika fulani ivi!viwigi,vimini,visuluali mieleni,mivipodozi,mipafyumu,milangi mdomoni na kwenye macho! ni shiiiiiiidddddddddddddaaaa! mke anaye faa hafai kuwa na hayo makolokolo! mke mwema yupo natural! sio kuforce maisha!
Napenda wavaa vimini.. Ila miguu iwe ya ukweli.Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Teh teh..Ebu tuishie hapa..Naona unaelekea kunikatisha tamaa..Yaani kumbe nimechochea ukatende dhambi! Hufai kabisa
Kumbe ni kuhusu dini?mabinti kujisitir sio kwa waarabu tu dear hii ni lazima kujisitir kwa mwanamke wa kiislamu na ni wajibu ajistiri na ukiona mwanamke wa kiislam hajisitiri faham mawili either dini anaijua ameamua kua mpuuzaji tu au haelew chochote kuhusiana na dini yake.
Exactly mombut my dear,
hata mie nimenotice jambo, kwenye uvaaji.
I am a christian lady, uvaaji hijab sio desturi yetu, ila toka nimeanza kuvaa madera, na magauni marefu najiona kama nimekuwa huru mno na pia naheshimika zaid kuliko nikivaa suruali. so nilikuja deduce kwamba nguo/vazi bado linabak kuwa ni kigezo cha kwanza cha kumdefine mtu leave alone utu wa ndani ambao huo hauwez kuumeasure kwa first mwonekano wa kwanza
mkuu nikusahihishe kidogo siyo kweli kwamba dini ya kikristo inaruhusu mwanamke kuvaa nguo fupi hayo yalikuwa mawazo yako na yeye na pia siyo kweli mpaka mwanamke avae ijabu ndo amejisitiri mfano akivaa gauni likapita hadi magoti kuna ubaya ganiSio ushamba ila kuna wengi wenye mtizamo kama wako na wale wanaojua thamani ya mwanamke nikujistiri
mambo mazuri lazima uyafiche lol.... Mkuu kuna rafiki yetu kazini mkristo kuna siku tulienda kula lunch nae akaona binti amevaa Baibui akasema sijui kwanini lakini napenda sana mtu anapovaa amejistiri,nikamuliza why unasema hivyo na wewe dini yenu inaruhusu kuvaa nguo fupi kasema yes inaruhusiwa kuvaa lakini sio mavazi wanayo vaa sikuizi mtu mpaka
wewe ulokua nae unaona AIBU kwa nguo alovaa yeye......
Hata mimi hiyo hali ilikua inanipata sana wakati nikiwa bado mshamba!!Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Acha kumkatisha mwenzako tamaa.......kubali akuweke ndani ili aage ukaperaHa haa usije mie kizee miaka70
nimesikia ila sina daftari na kalamu, una mkwara ww hahahaha......Mwanamke mvaahasara anafaa tu kwa usiku mmoja mke mwenye staha ya uvaaji huyo ndiye aolewe tunaelewana?hivi mnaandika lakini?
Sasa ataniwekaje mie bibi yakeAcha kumkatisha mwenzako tamaa.......kubali akuweke ndani ili aage ukapera