nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Utasikia Beyoncé mzuri mnadhani yule ni natural (aka msitu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapoongeza kujistiri cyo kuvaa kwa siku moja kama wafanyavyo dada zako,tunazungumzia mavazi always ya huyo mwanamke yaani hata ukimpeleka shopping anakuambia kabisa "sitaki nguo fupi"na hata ukibahatika kupata kuchungulia beg lake hukuti mavazi ya akina Rihannakujisitiri pekee haitoshi kumuona kama mtu ndo mke afaaye bwana
umewasahau wanaume wa jf! wanavyopenda kuungana kama udongo wa kichuguu linapokuja swala la kuwajadili wanawake!Watu wanajiongelesha tu hapa...wakiona kimini mimacho inawatoka kama si 'kutapika'
Hongera Saana na Mujaaliwe kizazi chema na maisha murua..AMIN. ila nikujuze tu... kuwa bado hujakamilisha imani/dini yako!!Mimi pia mkuu,namuona mrembo sana kuliko mvaa vimini na hiyo imekuja mpaka nimeoa binti wa kiislam ingawa mm ni christian
na wewe ni team vipedo?umewasahau wanaume wa jf! wanavyopenda kuungana kama udongo wa kichuguu linapokuja swala la kuwajadili wanawake!
Kama muoaji alobaki ni wewe basi tamko lako ni sheriakuna baadhi ya wakaa uchi hupenda sana kujitetea kwa point ya" tabia ya mtu haipimwi kwa mavazi"upuuzi sana sisi wanaume ndio tunawaambia mwanamke anaejua kukaa uchi ataolewa na baba yake full stop,ukija kwangu na nguo zako za kulalia nakupiga dd kama kawaida.
Don't judge a book mkuuLakini hiyo avatar aiendani na maandishi yako...
unasikitisha sana aiseeMsichana wangu wa kazi juzi kati aliniacha hoi...
Kaanza kuni evaluate...kuna nguo navaa anasema zinanifanya nionekane mzee...
kuna nguo zinanifanya nionekane motto...
Akaanza kusifia zile nguo za kitoto...akanambia anashangaa sipendi kuvaa hivyo kazini...
Nikamwambia kazini kuna code za mavazi... japo hakuna wa kunambia kitu huwa ni mara chache sana nashtua na vimini...
Akasema hizo code zilikuwa Enzi za JK...JPM karuhusu vimini...
Si nikamuuliza amesikia wapi hilo...
Akanambia amesikia kwenye TV msemaji wa ikulu anakanusha kuwa JPM hajakataza vimini...naona kulikuwa na uzushi mitaani dezaini...(HG wangu ni mtazamaji mzuri wa TV)
Nikacheka saaana...yani kwa ikulu kukanisha uvumi kama huo kumempelekea yeye kusema basi ni ruksa...
Sa sijui JPM anapenda vimino au ???? kama anapenda basi nazidi kumpenda huyu prezidaa...hana muda na vitu visivyo na msingi kama mavazi
hspa nimevaa umini wangu hatari, nipo ubungo naona macho juu wanavyonitolea macho,na wewe ni team vipedo?
Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Ila mavazi yanaweza tumika ku judge...mbona unaji contradict kwi kwi kwiDon't judge a book mkuu
Ni kweli wa kiislam wanapendeza kwa mavazi mazuri lakini sio ya kufunika USO sipendiNaona umefurahiii madame... ndio hiko hivyo napenda sana mabinti wa kislamu wanavyojistiri hususani waarabu japo kuna wengine ni vimeo..
nasikitisha kwako...kwa wengine ni role model...ukijifunza ku tolerate na ku accept diversity hutakaa usikitike maana kusikitika si kuzuri kiafya...unasikitisha sana aisee
Amiin,tuko vizuri kwa kweli Allah anasimamia kila kitu halafu si unajua tena swtie ni (Hizb)wale ccm wanawaita chotara halafu mshua mwenyewe chombo ya sumbawanga,lazima product ztoke za ukweliHongera Saana na Mujaaliwe kizazi chema na maisha murua..AMIN. ila nikujuze tu... kuwa bado hujakamilisha imani/dini yako!!
Uko ubungo angalia wasije wakaanza kukuzomea......mana hawakawii hao.hspa nimevaa umini wangu hatari, nipo ubungo naona macho juu wanavyonitolea macho,
Basi ushakuwa SHEM !!! ( sasa ntaanza kukuandama na kukufunza vya Umangani )😛😛😛Amiin,tuko vizuri kwa kweli Allah anasimamia kila kitu halafu si unajua tena swtie ni (Hizb)wale ccm wanawaita chotara halafu mshua mwenyewe chombo ya sumbawanga,lazima product ztoke za ukweli
kunizomea hawawezi kamwe.Uko ubungo angalia wasije wakaanza kukuzomea......mana hawakawii hao.
Aya mae kuwa makini tu.kunizomea hawawezi kamwe.