Napenda wanawake wanaojisitiri kimavazi kuliko wa vimini na mawigi

Napenda wanawake wanaojisitiri kimavazi kuliko wa vimini na mawigi

kujisitiri pekee haitoshi kumuona kama mtu ndo mke afaaye bwana
Tunapoongeza kujistiri cyo kuvaa kwa siku moja kama wafanyavyo dada zako,tunazungumzia mavazi always ya huyo mwanamke yaani hata ukimpeleka shopping anakuambia kabisa "sitaki nguo fupi"na hata ukibahatika kupata kuchungulia beg lake hukuti mavazi ya akina Rihanna
 
Mimi pia mkuu,namuona mrembo sana kuliko mvaa vimini na hiyo imekuja mpaka nimeoa binti wa kiislam ingawa mm ni christian
Hongera Saana na Mujaaliwe kizazi chema na maisha murua..AMIN. ila nikujuze tu... kuwa bado hujakamilisha imani/dini yako!!
 
kuna baadhi ya wakaa uchi hupenda sana kujitetea kwa point ya" tabia ya mtu haipimwi kwa mavazi"upuuzi sana sisi wanaume ndio tunawaambia mwanamke anaejua kukaa uchi ataolewa na baba yake full stop,ukija kwangu na nguo zako za kulalia nakupiga dd kama kawaida.
 
kuna baadhi ya wakaa uchi hupenda sana kujitetea kwa point ya" tabia ya mtu haipimwi kwa mavazi"upuuzi sana sisi wanaume ndio tunawaambia mwanamke anaejua kukaa uchi ataolewa na baba yake full stop,ukija kwangu na nguo zako za kulalia nakupiga dd kama kawaida.
Kama muoaji alobaki ni wewe basi tamko lako ni sheria
 
Msichana wangu wa kazi juzi kati aliniacha hoi...
Kaanza kuni evaluate...kuna nguo navaa anasema zinanifanya nionekane mzee...
kuna nguo zinanifanya nionekane motto...
Akaanza kusifia zile nguo za kitoto...akanambia anashangaa sipendi kuvaa hivyo kazini...
Nikamwambia kazini kuna code za mavazi... japo hakuna wa kunambia kitu huwa ni mara chache sana nashtua na vimini...
Akasema hizo code zilikuwa Enzi za JK...JPM karuhusu vimini...

Si nikamuuliza amesikia wapi hilo...
Akanambia amesikia kwenye TV msemaji wa ikulu anakanusha kuwa JPM hajakataza vimini...naona kulikuwa na uzushi mitaani dezaini...(HG wangu ni mtazamaji mzuri wa TV)
Nikacheka saaana...yani kwa ikulu kukanisha uvumi kama huo kumempelekea yeye kusema basi ni ruksa...
Sa sijui JPM anapenda vimino au ???? kama anapenda basi nazidi kumpenda huyu prezidaa...hana muda na vitu visivyo na msingi kama mavazi
unasikitisha sana aisee
 
Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.

Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.

Nawakilisha.

Inapendeza binti/mama akivaa nguo ya sitara, hata heshima huongezeka, wanaume wengi huvutiwa na mavazi ya kubana kingono tu, lakini mwanaume huyu huyu humheshimu sana mwenge mavazi ya kusitiri mwili.
 
Naona umefurahiii madame... ndio hiko hivyo napenda sana mabinti wa kislamu wanavyojistiri hususani waarabu japo kuna wengine ni vimeo..
Ni kweli wa kiislam wanapendeza kwa mavazi mazuri lakini sio ya kufunika USO sipendi
 
Hongera Saana na Mujaaliwe kizazi chema na maisha murua..AMIN. ila nikujuze tu... kuwa bado hujakamilisha imani/dini yako!!
Amiin,tuko vizuri kwa kweli Allah anasimamia kila kitu halafu si unajua tena swtie ni (Hizb)wale ccm wanawaita chotara halafu mshua mwenyewe chombo ya sumbawanga,lazima product ztoke za ukweli
 
Amiin,tuko vizuri kwa kweli Allah anasimamia kila kitu halafu si unajua tena swtie ni (Hizb)wale ccm wanawaita chotara halafu mshua mwenyewe chombo ya sumbawanga,lazima product ztoke za ukweli
Basi ushakuwa SHEM !!! ( sasa ntaanza kukuandama na kukufunza vya Umangani )😛😛😛
 
Back
Top Bottom