Mipafyumu sio tatizo hakuna kitu kinachochoa mapenzi Zaidi kwa mwenza kunukia vizuri, kunukia vizuri ni ishara ya kujijali zai...Pafyum iondoe.hata mimi hivyo hivyo unaisi kutapika fulani ivi!viwigi,vimini,visuluali mieleni,mivipodozi,mipafyumu,milangi mdomoni na kwenye macho! ni shiiiiiiidddddddddddddaaaa! mke anaye faa hafai kuwa na hayo makolokolo! mke mwema yupo natural! sio kuforce maisha!
Uchumba hauna kipimo cha umri tehe tehee....Ha haa usije mie kizee miaka70
Sio ushamba ila kuna wengi wenye mtizamo kama wako na wale wanaojua thamani ya mwanamke nikujistiriNajua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri,kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika,vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.Nawakilisha.
Inayo bana,sa mi na uzee huu utanipeleka wapiUchumba hauna kipimo cha umri tehe tehee....
but my dear,kujisitiri pekee haitoshi kumuona kama mtu ndo mke afaaye bwana
Ni wazo jema mkuu ila ujue tigo yake atakua hajakuhifadhia mpk sasa hivi, iko kwenye matumiziUko sawa kiongozi.... ndio maana kwenye swala kuoa, nita enda kugonga hodi kwenye familia za kiarabu!! Na nnaamini mpango wangu utatiki tu....
Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Hivi unaweza kuwa na ujasiri wa kumsimamisha na kuanza kumtongoza mwanamke aliyevalia ninja??..hizo hijab kwa upande mwingine ni noma sana.wee acha tu
hao ni wakusafishia macho tu barabarani ila kuweka ndani hawafai kabisa,yaani hawajui tofauti kati ya bara bara ni chumbani sasa si hatari hiyo!Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida nikiona wale wa visuruali vya kuchanika, vimini na mawigi ya kichina huwa najihisi kutapika.
Sasa sijui ni ushamba wangu au kuna wanaume wengine hali kama hii huwakuta.
Nawakilisha.
Hilo swala la tigo ni kitu kingine na mimi hapo niliongelea swala lingine kabisa... hakuna coincidance yoyote kati ya hivyo viwiliNi wazo jema mkuu ila ujue tigo yake atakua hajakuhifadhia mpk sasa hivi, iko kwenye matumizi