Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Hujaskia kua Kuna raia wawil wasio na hatia wameuawa na kutupwa ifadhin pia vip yule wa arusha alie tupwa barabaran na albino asie na hatia? Siwalaum nyie kumzushia marehem kua alikua muuaji sababu kashfa za uongo pekee ndio ziliweza kumteteresha ila kwenye point zote za ukwel aliwapiga roba

ipo hivi mkuu, alipokufa sokoine palizuka minong'ono. tume haikuundwa

akafa nyerere, palizuka vimaneno, tume haikuundwa.

aalikufa dr ali juma, palizuka maneno tume haikuundwa..

akafariki mkapa, maneno yakawepo, hakuna tume iliundwa...

kafariki magufuli, unataka tume iundwe. upo sahihi lakn why iwe kwa huyu tu bila kuanza kwa hawa wengine waliomtangulia? au at least yeye magu angeunda tume kuchunguz vifo vya watangulizi wake au waliofariki wakt wa awamu yake, lakn hata yy hakuunda.

why unalazimisha kwa huyu mama?

njoo tufagie barabra mkuu, huyu mama hana kundi atakalo lilipa kwa kusifia au kumsifia. kazi zake zitajiuza zenyewe..
 
Mie sipotezi muda. Binadamu tumezaliwa na makusudi hapa duniani. Na kila mtu ana vision na maono yake. Maono yako hayawezi kuwa yangu wala yangu kuwa yako.
Na uchunguzi wa kifo si dhana potofu la sivyo kusingekuwa na hizo sheria. Hata kama sinto kuwepo Kifo cha Magufuli kikachunguzwa katika nafsi ya kiroho nitakuwa mwenye furaha kwani kila jambo linasehemu ya kuanzaia.
Sinto nyamaza, nitaongea. Ila nachoamini ipo siku. Nayo inakuja.
Vifo vya Nyerere na Mkapa havikuchunguzwa huyo JPM alikuwa na utakatifu upi wa kipekee?.

Nyerere alifia hospitalini Uingereza kama kuuwawa yeye angekuwa wa kwanza.

Narudia kukwambia, ondokana na dhana nyingi kichwani mwako hazikusaidii.
 
Tume Ikiundwa Mtasema imepangiwa cha kusema...Nyie watu hamuaminiki...na Wala hamuani kama sisi ni wanadamu siku zetu huisha.
 
Kuuwa ni kuuwa tu, iwe umeuwa kwa risasi, uwe umeuwa kwa sumu yote ni mauaji. Pia soma sheria za uchunguzi wa vifo zinasemaje. Uwezi nambia mie niende mzena, sihusiki na uchunguzi. Ila nahusika kudai haki kufanyika.
Naamini ipo siku inakuja, iwe miaka zaidi ya kumi ijayo. Ila haki haipotei. Na msimamo wangu hautabadiliswa. Nasimamia kuundwa tume hata usemeje.
Kwani kiongozi wa kanisa LA uzima na ufufuko anasemaje?
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Hata uchunguzi ukifanyika na ripoti ikitoka Bado itaonekana Ni ripoti ya kupika.kwa kua mwendazake kaenda zake acha maisha mengine yaendelee
 
Vifo vya Nyerere na Mkapa havikuchunguzwa huyo JPM alikuwa na utakatifu upi wa kipekee?.

Nyerere alifia hospitalini Uingereza kama kuuwawa yeye angekuwa wa kwanza.

Narudia kukwambia, ondokana na dhana nyingi kichwani mwako hazikusaidii.
Kifo cha Nyerere au Mkapa hakiondoi haki ya kifo cha Magufuli kuchunguzwa. Kila zama na kitabu chake.
Weye ndo ondoa dhana ulizokaririshwa kuwa kwakua kifo cha Nyerere na mkapa havikuchunguzwa basi na vijavyo visichunguzwe.
Inaonesha unaishi kwa nadharia. Badili fikra zako usishiliwe akiri kwa sababu ya ushabiki na kutojiamini. Kinachokuuma ni nini kifo cha Magufuli kikichunguzwa?
Nakwambia ipo siku inakuja. Yote watakuwa wazi. Mambo ubadilika, hatuishi kwa hadithi!
Mabadiliko yanakuja yapo njiani.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Acheni Mambo ya hivi , kiongozi alishasema , pamoja na siku zake kufika Kama mwanadam yeyote bado sababu ya kifo chake ilishatolewa,
Na bado mmepewa nafsi KWa yeyote Alie na mashaka na anaushahidi na chanzo kingine Cha kifo tofauti na mlichoambiwa anjongee CHAMWINO atapewa ushirikiano,
Mengine itakua kumkufukuru mungu maana siku za mwanadam zikifika za kuishi duniani lazima ufe tu
 
Kifo cha Nyerere au Mkapa hakiondoi haki ya kifo cha Magufuli kuchunguzwa. Kila zama na kitabu chake.
Weye ndo ondoa dhana ulizokaririshwa kuwa kwakua kifo cha Nyerere na mkapa havikuchunguzwa basi na vijavyo visichunguzwe.
Inaonesha unaishi kwa nadharia. Badili fikra zako usishiliwe akiri kwa sababu ya ushabiki na kutojiamini. Kinachokuuma ni nini kifo cha Magufuli kikichunguzwa?
Nakwambia ipo siku inakuja. Yote watakuwa wazi. Mambo ubadilika, hatuishi kwa hadithi!
Mabadiliko yanakuja yapo njiani.
Mkuu hiyo siku haipo. Kama walivyokufa waliomtangulia JPM na kusahaulika na kwake itakuwa hivyo hivyo.

Hakuna lolote litakalokuja kutokea kesho wala miaka kumi ijayo.

Futa kabisa mawazo ya aina hiyo kichwani mwako.
 
Vifo vya Nyerere na Mkapa havikuchunguzwa huyo JPM alikuwa na utakatifu upi wa kipekee?.

Nyerere alifia hospitalini Uingereza kama kuuwawa yeye angekuwa wa kwanza.

Narudia kukwambia, ondokana na dhana nyingi kichwani mwako hazikusaidii.
Kifo cha Nyerere au Mkapa hakiondoi haki ya kifo cha Magufuli kuchunguzwa. Kila zama na kitabu chake.
Weye ndo ondoa dhana ulizokaririshwa kuwa kwakua kifo cha Nyerere na mkapa havikuchunguzwa basi na vijavyo visichunguzwe.
Inaonesha unaishi kwa nadharia. Badili fikra zako usishiliwe akiri kwa sababu ya ushabiki na kutojiamini. Kinachokuuma ni nini kifo cha Magufuli kikichunguzwa?
Nakwambia ipo siku inakuja. Yote watakuwa wazi. Mambo ubadilika, hatuishi kwa hadithi!
Mabadiliko yanakuja yapo njiani.
Mkuu hiyo siku haipo. Kama walivyokufa waliomtangulia JPM na kusahaulika na kwake itakuwa hivyo hivyo.

Hakuna lolote litakalokuja kutokea kesho wala miaka kumi ijayo.

Futa kabisa mawazo ya aina hiyo kichwani mwako.
Ha ha ha, sifuti kitu. Inakuja hiyo siku. Ni ngumu kuamini. Lakini inakuja. Tunza maneno haya. Haya maneno hayako kichwani bali yapo katika nafsi na roho. Yanaishi.
 
Kifo cha Nyerere au Mkapa hakiondoi haki ya kifo cha Magufuli kuchunguzwa. Kila zama na kitabu chake.
Weye ndo ondoa dhana ulizokaririshwa kuwa kwakua kifo cha Nyerere na mkapa havikuchunguzwa basi na vijavyo visichunguzwe.
Inaonesha unaishi kwa nadharia. Badili fikra zako usishiliwe akiri kwa sababu ya ushabiki na kutojiamini. Kinachokuuma ni nini kifo cha Magufuli kikichunguzwa?
Nakwambia ipo siku inakuja. Yote watakuwa wazi. Mambo ubadilika, hatuishi kwa hadithi!
Mabadiliko yanakuja yapo njiani.

Ha ha ha, sifuti kitu. Inakuja hiyo siku. Ni ngumu kuamini. Lakini inakuja. Tunza maneno haya. Haya maneno hayako kichwani bali yapo katika nafsi na roho. Yanaishi.
JPM ameshalala usingizi wa milele hakuna hata mmoja utakayemsikia akianzisha uchunguzi wa kifo kinachojulikana chanzo chake ni kipi.
 
Kila masika na chura wake. Urithi haufi. Mwaminifu hafariki isipokwa amezaliwa mwaminifu mwingine. Tumuache apumzike!
 
Kila nafsi hai itaonja mauti, that was a natural death, acheni kutufarakanisha tuchape kazi kwa salamu ya jamhuri ya muungano, mnaoleta hypothesis chonganishi acheni.
 
Watu watajipa moyo kuwa yatapita, lakini nasema ipo siku. yaweza isiwe leo lakini ipo siku. Nayo inakuja!
Kama walikufa kina Nyerere walioanzisha Tanzania wanaitwa Baba wa Taifa na hatukusikia uchunguzi mpaka leo kuanzia 1999 hili suala la kifo cha JPM ndio sahau mapema kabisa.
 
Jinsi alivyokuwa akilindwa vile usiku na mchana ingewekaje kuuawa?

Huenda ndiye rais wa kwanza kulindwa kwa gharama kubwa sana na misafara mikubwa kuliko marais wote tangu Uhuru!
 
Kama walikufa kina Nyerere walioanzisha Tanzania wanaitwa Baba wa Taifa na hatukusikia uchunguzi mpaka leo kuanzia 1999 hili suala la kifo cha JPM ndio sahau mapema kabisa.
weye naona umekaririshwa. Ongea mengine. Hilo la Nyerere ulishalisemea. Kifo cha Nyerere siyo msingi wa kifo cha Magufuli kutochunguzwa. Kila jambo lina mwisho wake.
 
Tumuogope Mungu sana!

Saingine kuzania zania siyo vizuri tusijetufanya dhambi kubwa unless uwe na sababu za msingi za madai yako na uwe tayari kuyathibitisha!
 
Back
Top Bottom