Hujaskia kua Kuna raia wawil wasio na hatia wameuawa na kutupwa ifadhin pia vip yule wa arusha alie tupwa barabaran na albino asie na hatia? Siwalaum nyie kumzushia marehem kua alikua muuaji sababu kashfa za uongo pekee ndio ziliweza kumteteresha ila kwenye point zote za ukwel aliwapiga roba
ipo hivi mkuu, alipokufa sokoine palizuka minong'ono. tume haikuundwa
akafa nyerere, palizuka vimaneno, tume haikuundwa.
aalikufa dr ali juma, palizuka maneno tume haikuundwa..
akafariki mkapa, maneno yakawepo, hakuna tume iliundwa...
kafariki magufuli, unataka tume iundwe. upo sahihi lakn why iwe kwa huyu tu bila kuanza kwa hawa wengine waliomtangulia? au at least yeye magu angeunda tume kuchunguz vifo vya watangulizi wake au waliofariki wakt wa awamu yake, lakn hata yy hakuunda.
why unalazimisha kwa huyu mama?
njoo tufagie barabra mkuu, huyu mama hana kundi atakalo lilipa kwa kusifia au kumsifia. kazi zake zitajiuza zenyewe..