Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Katika bibilia kumbukumbu ya torati imeandikwa uhai ya mtu italipwa kwa uhai. Hebu fikiria Ben saanane yuko wapi? Hivi azory gwanda angelikua ni ndugu yako ungesimama na kuandika Haya. Fikiria Tundu Lisu kapata ulemavu Wa maisha na mpaka Leo hatujui ni nani mhusika. Sikupenda magifuli afe ila hizi roho na nafsi za watu honesty lazima tufirie upya.
Nasema uongo ndugu zangu?
 
Aliyekufa kafa, kama wamemuua, kiimani tunawaita hao ni wasababishaji wa umauti wake tu, kama muda wake ungekuwa bado angevuka na hilo..

Km walimuua(kumdhulumu nafsi) watakutana kwa mungu uso kwa macho.. Ile Tit fo tat
 
Keshapagawa hajui kama utawala umebadilika watanzania wanarudi kuwa pamoja
 
WAPO watakao amin mimi binafs ningependa kupata hata kidogo dokezo la chanzo cha ule mosh
Yeye aliugua sio? Na inajulikana aliugua nini. Madaktari wake na hata mke anajua. Familia haijallmika
Halafu japo aliugua hatukujulishwa ikawa minong'ono na sasa inaendelea tena eti aliuawa.
Jamani tuchape kazi na kazi si kufukua makaburi
 
Kuna silaha zina attack mwenye Mapungufu
Sio kwamba alikua anatembea na nyungu kwenye v8.
Akifika sehem ya kuonyea na watu ili apate nguvu anafusha kwanza.
Bila kujua anajibana punzi kwanza!?
 
Kwan daktari alishasema kifo chache kimetokana na mfumo wa umeme wa moyo? Au hukusikia mkuu
 
Rais Samia alishasema wazi mwenye ushahid wowote juu ya hayo aende apeleke sehem husika waufanyie kaz.
 
Ushaambia na anayetakiwa kuunda tume kuwa ni kifo cha kawaida ila kichwa kimejaa propaganda. Kama sheria ipo anzisha ww hiyo tume.
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Unachoandika hata sikuelewi. Make naanza kujiuliza ni muelewa kweli? Hivi tume inaanzishwa au inaundwa? Na unajua watu wenye mamlaka wenye kuunda tume? Nisiwe najibizana na mtu ambae hata aelewi taratibu mbalimbali za kimfumo.
Naona unajibu tu kujifurahisha. Sijaona point unayoiongea. Bali upo kujibishana lolote linalokuijia unaliandika.
Niseme umeshinda kwa mawazo yako yasiyo ya kisheria bali unavyowaza tu unakisema.
Wewe ndo kichwa chako kimejaa propanganda. Sioni ukijibu hoja kwa taratibu na sheria ila unajibu tu mradi umejibu. (Kuropoka).
Hongera! Ila madai yatume yataendelea siku zote.
 
umerogwa ww si bure, tunataka tume huru kuchunguza waliotaka kumuuwa tundu lissu
 
Naunga mkono hoja. Lakini iundwe tume ya Kimataifa. La kwanza Ichungunguzwe waliompiga risasi Tundu Lissu, kwani inaelekea wako ha hai na sio ajabu iko siku wakakupiga wewe mwenyewe na baadae Kifo cha Magufuli
 
Mtaani JPM amefahamika kauwawa,

Mnakaa kwenye AC huku hamjui kinachoendelea sababu furaha yenu imepatkana mnasahau wananchi, sijui 2025 watawaangaliaje mtaani.
Mtaani watafanyaje sasa? Wataandamana? Hata hiyo 2025 watafanyaje? Watachagua chama gani?
 
Huyo magufuli ndio nani mpaka afanyiwe uchunguzi yeye tu?

Hebu tuondoleeni uharo hapa.

Watanzania milioni 60 wanafurahia mtesi wao kufa wewe unaleta habari za uchunguzi
 
Binafsi sikupenda response kuhusu kifo cha Hayati Magufuli.Hata kama tunasema alikufa kwa tatizo la mfumo wa umeme wa moyoo,hivi kweli hatujui kwamba this can be initiated by remote control,hasa kwa kuwa alikuwa anatumia Pacemaker.Besides, tatizo inawezekana lilitokana na other causes ambazo pia ni externally initiated.

No,nakubaliana na wewe mkuu,ila tunahitaji wataalamu wabobezi sana kwenye mifumo ya namna hii,it is simply too complicated kujua if the Pacemaker was tampered upon.
 
Huyo magufuli ndio nani mpaka afanyiwe uchunguzi yeye tu?

Hebu tuondoleeni uharo hapa.

Watanzania milioni 60 wanafurahia mtesi wao kufa wewe unaleta habari za uchunguzi
Ni mjinga tu asiyejua kwamba Magufuli alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje.Na hata wewe,kwa maneno yako haya,ni wazi alikuwa adui yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…