Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Sisi tunataka tume ya kuwatafuta wakina Azori na Ben Saanane.

Raia tuna shuku mengi mtaani, mtu mzima hapotei ni anasahau njia tu ila hawa jamaa eti wamepotea tena wamepotea Tanzania hatuwaoni.

Hivi inakuingia akilini kuwa raia wote karibu milioni 55 hawajawaona hawa ndugu zetu?
 
Huyo magufuli ndio nani mpaka afanyiwe uchunguzi yeye tu?

Hebu tuondoleeni uharo hapa.

Watanzania milioni 60 wanafurahia mtesi wao kufa wewe unaleta habari za uchunguzi
Watu wengine, hivi kwanini usijibu hoja mpaka utumie lugha zisizo faa. Limtokaro mtu ndo lijazalo moyo wake. Hata mawazo ulotoa ni uharo tu.
 
Naunga mkono hoja! Halafu Luhaga Mpina awe Mwenyekiti na Biswalo Mganga awe Makamu wake!

Livingstone Lusinde awe Mjumbe, Joseph Kasheku Msukuma awe Mjumbe, Ole Sabaya awe Mjumbe, Chalamila awe Mjumbe, Jenister Mhagama awe Mjumbe, Tulia awe Mjumbe, na Phillipo Mpango awe ndiye mlezi wa hiyo Tume.
😀
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Hata km kauwawa they won’t tell you...sio kwania mbaya bali ni kwa kukulinda wewe..

Jiulize tu wangetangaza kauwawa pangekalika?!
Jitahidi uwe raisi wewe halafu uone km shughuli hio ya tume ungeifanya
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Unachoandika hata sikuelewi.
Samia pia hukumuelewa sasa waliomuelewa huwezi waelewa yaani.
Unaandika maelezo mengi sana ila sentensi mbili tu za mwanzo zinatafsiri yanayofata kuwa ni majibu mradi umejibu.

NIMALIZE KWA KUSEMA SAMIA AMESHAELEZA SABABU YA KIFO NA JESHI LIMEMUELEWA.
 
Hivi wakiunda time ya kuchunguza kifo cha mkapa kabla kuna makosa?....Ni vyema wakaunda tume huru ya kuchunguza kifa cha mkapa then waliompiga lissu risasi then ifuate ya Jpm
Hapana hapana, kama ni kuchunguzwa nani kamuua nani basi na waanze ni nani hasa alikuwa behind kumuua rais wa kwanza wa zanzibar Abeid Amani Karume kisha wafuatilie ni nani hasa alikuwa behind kumuua Sokoine.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Isaidie nini hiyo tume?

TUunde tume ya kuchunguza namna ya kuchunguza vifo , kuzuia vifo .
 
Hadi leo sijauelewa ule "moshi" ulitokea wapi?!! ni kweli?! hakika ule moshi ulimuumiza mpendwa wetu, ila sijaelewa nini haswa kilitokea huko Ntwara!
 
kuandika mengi
Samia pia hukumuelewa sasa waliomuelewa huwezi waelewa yaani.
Unaandika maelezo mengi sana ila sentensi mbili tu za mwanzo zinatafsiri yanayofata kuwa ni majibu mradi umejibu.

NIMALIZE KWA KUSEMA SAMIA AMESHAELEZA SABABU YA KIFO NA JESHI LIMEMUELEWA.
si hoja, shida ni uvivu wako wa kusoma. Ndo maana unajibu havieleweki. Hujui kujenga hoja kwa misingi ya kisheria. Bali umejazwa na ushabiki ukidhani huyo samia atakuona weye wa maana.
Hoja ya kuundwa Tume huru itaendelea na haitakufa na ipo siku yatafanyika. Samia si Mungu na muamuzi wa yote, ni binadamu wa kawaida, alie pewa dhamana ya Urais kuwaongoza watanzania. Si mbaguzi ni mama alie na akili na mwelewa pia msikivu. Na ukubali kukosolewa.
ya kesho huyajui.
Nasisitiza kamati huru iundwe kuchunguza kifo cha Magufuli, kama unaumia umia.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Mwache mwendazake ameisha endazake! Raisi Samia Hassn Suluhu katuambia amekufa kwa tatizo la moyo. Una maana alitudanganya waTanzania? Una maana Raisi muongo? Acha hizo!!!!
 
Watanzania hao wenye shuku na uchunguzi juu ya kifo cha mpendwa wetu JPM huwezi kuwakuta JAMII FORUM au TWITTER tuko wachache

Wengi sana hawana ACCESS ya hii mitandao miwili.
Ben ,Azory , Kanguye na wengine hawakuwa binadamu ..Nyie watoto wa Marehemu kaeni kwa kutulia tu
 
Napendekeza Tume ya kuchunguza jinsi ya Kumfufua Raisi Magufuli iongozwe na na Nabii Tito
Msikilize hapa anavyotoa ufafanuzi👇

 
Nasisitiza kamati huru iundwe kuchunguza kifo cha Magufuli, kama unaumia umia.
Msisitizo wako hauna maana kama Samia na jeshi lake hawaelewi hizo propaganda.

Hoja ya kuumia ni hoja ya kimuhemko kwa mtu binafsi haionyeshi umuhimu wowote wa kuanzishwa tume huru kwa anayetakiwa kuiunda.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.




Mkuu Tuane na tume za kuchunguza 1.Kupotea kwa Ben Saa 2. Kupotea kwa yule mwandishi wa habari, 3. Kifo cha mwanafunzi Aquilina, 4. Kushambuliwa kwa risasi Tundu Lisu, 5. Miili iliyo opolewa mto Ruvu, Kura feki zilizokamatwa wakati wa uchaguzi 2020, Sakata la wabunge 19 waliofukuzwa uanachama chadema. 6. Wasiojulikana waliokuwa wanateka watu ni nani na wakitumwa na nani.
Baada ya hapo mkuu kutakuwa na uhalali wa tume huru kuchunguza kifo cha mwendazake.
 
Wewe ni mpumbavu na mzandiki!

Kwanini walipokuwa wakitekwa watu na kuuawa ulikuwa hutaki tume huru ya kuchunguza matukio hayo?
Iundwe kwanza tume ya kuchunguza aliyemteka Ben saanane, Azor gwanda, waliomshambulia Mh Lisu, uchunguzi juu ya zile maiti zilizokuwa zinaonekana fukweni zikiwa kwenye viroba pamoja na mateso waliyokuwa wakipewa wafungwa wa kisiasa kipindi cha magufuli.
Hakuna mtanzania mwenye haki zaidi ya mwingine! Kama ni uchunguzi tutaanza kwa namba...

Nyie watu acheni ubaguzi na kujiona wa muhimu kuliko mliokuwa mkiwapoteza
Kwani kuna uchunguzi ulishafanyika?? mbona mleta mada anasema "iundwe tume kuchunguza upya"!!!!!!
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Yawezekana una hoja ya msingi na bila shaka kama kweli tume itaundwa utasaidia sana. Lakini kwa ulinzi aliokuwa nao JPM wa vikosi vya usalama na wale wataalam wa Gamboshi waliotangaza kuwa kama angeokea mtu kugombea kiti cha urais kum-challenge JMP wangeshughulikia sidhani kama wangemuacha mwanadamu achezee uhai wa JPM. Unasemaje juu ya swala la ulinzi na usalama? Ina maana huna imani na timu ile? Tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom