Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaan ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma

Serikal iheshim mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule mosh ulio mfata Hayat Magufuli Mtwara alipo kua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadh ya mbinu za kutaka kujaribu na zili shindwa Lakin walio jaribu hawakuacha

Huwezi kusema ule ulikua uchaw sababu hakuna uchaw na wala siamin uchaw kama upo

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadae itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala Kwan kila siku mambo yanazid kupamba moto

Video ya tukio la mosh io apo chin

Unatafutwa na polisi huku.

 
Wewe ni mpumbavu na mzandiki!

Kwanini walipokuwa wakitekwa watu na kuuawa ulikuwa hutaki tume huru ya kuchunguza matukio hayo?
Iundwe kwanza tume ya kuchunguza aliyemteka Ben saanane, Azor gwanda, waliomshambulia Mh Lisu, uchunguzi juu ya zile maiti zilizokuwa zinaonekana fukweni zikiwa kwenye viroba pamoja na mateso waliyokuwa wakipewa wafungwa wa kisiasa kipindi cha magufuli.
Hakuna mtanzania mwenye haki zaidi ya mwingine! Kama ni uchunguzi tutaanza kwa namba...

Nyie watu acheni ubaguzi na kujiona wa muhimu kuliko mliokuwa mkiwapoteza
 
Mtaani JPM amefahamika kauwawa,

Mnakaa kwenye AC huku hamjui kinachoendelea sababu furaha yenu imepatkana mnasahau wananchi, sijui 2025 watawaangaliaje mtaani.
Hata kama ameuawa dyadya unataka kusema atarudi? Tusonge mbere..magufuli kajiua mwenyewe kwa ubishi wake...ww unajijua una shida mwilini lakini akawa anajixpose balaa...kisa kuwafurahisha wananchi ..yakamkuta ya kumkuta! Rip shujaa wa wanaccm
 
Watu mliambiwa Corona ni hatari sana hasa kwa kwenye magonjwa nyemelezi na yale ya moyo mkadharau sasa tume ya nini tena?

Tunaendelea na zoezi la Chanjo kuhamasisha makundi ambayo yako hatarini zaidi yaanze kuchanja kwanza. Corona ni terminator ndugu zangu!!
 
KUMBUKA JAMBO HILI;

Hakuna maisha hata ya mtu mmoja yasiyo na thamani...

Uhai wa mtu yeyote ni Wa thamani kubwa sana...

Yeye hakulijua hili. Alichukulia maisha ya wananchi wengine hayamuhusu kama kiongozi mkuu wa nchi...

Alisahau kuwa na yeye ipo siku angekufa kifo cha kawaida na cha aibu kabisa...

Alichukulia kuwa maisha ya wengine ni takataka tu, na kwamba yake yeye, ya familia yake, ndugu zake, na ya rafiki zake tu ndiyo yana thamani zaidi kuliko ya wengine hususani waliokuwa wanampinga au kutokukubaliana naye ktk baadhi ya mambo/maswala....

Hili lilikuwa kosa. Hiki ndicho chanzo cha kifo na mauti yake. Hakuna mchawi nje ya hili...!!

HIVYO KAMA MNATAKA HIVYO NA ILI KILA MTU ATENDEWE HAKI; basi haya yafanyike kwanza;

1. Iundwe kwanza tume ya kijaji kuchunguza chanzo cha kushambuliwa Tundu A. M Lissu kwa risasi kwa lengo la kumuua mchana kweupe katikati ya mji wa Dodoma kwenye makazi ya viongozi wa ngazi za juu wa serikali mwaka 2017 wakati wa utawala wake unayetaka aundiwe tume eti ili kuchunguza...

2. Iundwe tume huru ya kijaji kwanza ili kuchunguza vifo vya utata vya wananchi wengi wakati wa utawala wake; watu waliotekwa na na kupotezwa pasipo serikali yake kutilia maanani huku majibu yakiwa rahisi tu kuwa;
"....ameuwawa au kupigwa risasi au kupotezwa na watu 'wasiojulikana'..."

Sasa ni wakati wa kuwajua hawa "wasiojulikana" walikuwa kina nani...

Ni wazi kuwa "WASIOJULIKANA" ndiyo waliomuua..!! Si aliwalea na kuwalisha, akawalipa na mshahara mnono na kuwa na silaha mwenyewe bwana...? Au uongo?

3. Mwisho iko hivi;

"...AUAE KWA UPANGA, NAYE VIVYO HIVYO KATIKA SAA NA WAKATI ASIODHANI, ATAUWAWA AU KUFA KIFO CHA NAMNA ILEILE CHA UPANGA...!!"

Karma is always a bitch...
 
Hivi mbona maccm hammpendi mama Samia jamani? Mbona mie namfeel balaa?
Nilichoandika na ulichoelewa ni tofauti.


Kiongozi wa chama ni Nani? Na kiongozi wa nchi ni Nani?

Ukishajua hivo, utaelewa nilichosema.

Hayo niliyisema waongozwaji wanamsikiliza mkuu ndio wafate hawafanyi kiholela..

Katika maisha acha na na chuki utakuwa huna ujifunzalo.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaan ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma

Serikal iheshim mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule mosh ulio mfata Hayat Magufuli Mtwara alipo kua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadh ya mbinu za kutaka kujaribu na zili shindwa Lakin walio jaribu hawakuacha

Huwezi kusema ule ulikua uchaw sababu hakuna uchaw na wala siamin uchaw kama upo

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadae itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala Kwan kila siku mambo yanazid kupamba moto
Mataga mnaangaika sana!!

Nashauri pia iundwe tume ya kuchunguza lile tukio la upigwaji wa risasi Tundu Lissu.
 
Kama wanashindwa kuamini kauli ya Rais Samia Hassan, watawezaje kuamini majibu/matokeo ya hiyo tume unayoipendekeza?
Unaongelea huyu Bi. Mkubwa anayeshindwa hata kuwaaminisha Watanzania kuvaa barakoa na wachukue chanjo ? au mwingine?
 
Back
Top Bottom