Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Kuna mdada mmoja alipendekeza kaburi lizilibwe kwa nondo kabisa asijetoka
Hahahaha. Yaani angejua mtaani kulivyo na furaha angekaa kimya. Waweke jiwe kubwa mno juu aisee.
 
😀😀😀😀😀😀
 
WAPO watakao amin mimi binafs ningependa kupata hata kidogo dokezo la chanzo cha ule mosh
Wazee wa Korosho walimkataa. Ile hasara ya Korosho waliopata angerudi kipindi cha kampeni angetandikwa moto kabisa. Bora Machale yalimcheza haikwenda na badala yake walimzuia Lissu asiende kutema Cheche kule. Kweli kama udikteta tuliuona na hakika iwe jua au mvua hakuna mtu kutoka Ile kanda atateuliwa kuongoza hii nchi. Marehemu baba wa Taifa alionya baadhi ya makabila kupewa Urais wa nchi ikiwemo Sukuma. Huyu mzee alikuwa ni genius kabisa. Tulichokipata kwa Mwendazake tunaomba kisitokeee tena katika historia ya marais wa hii nchi.
 
Kwa hiyo tupoteze muda na fedha kuhangaika na mzoga wa shetani
 
Big up
 
MIMI NASHAURI IUNDWE TUME KWANZA YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MKAPA,MPAKA LEO SINA AMANI KWA JINSI ALIVYOKUFA GHAFLA MWEZI ULE JULY KABLA YA UCHAGUZI,NA MAZISHI YAKE KUFANYIKA HARAKA HARAKA GHAFLA.....!
Bila hata wananchi kutangaziwa rasmi na serikali kuhusu chanzo cha kifo chake. Ukweli ilileta walakini mno. Na baadaye kampeni kuendelea kama vile hakuna msiba na kupeana majogoo njiani.

Malipo ni hapa hapa duniani.
 
nyungu zote zimetupwa majalalani - hiki ndicho kiwango cha unafiki cha baadhi ya watu hasa wanasiasa!! wapiga nyungu wote sasa hivi wapo na mama kuipokea report ya chanjo.

Na walivaa barakoa kiroho safi
 
Huu uzi ulitakiwa kufungiwa hapa.

Nashangaa kuna comments 400+ mbele.

Sizisomi, for me, uzi umefungwa na hii reply mujarab kabisa.
 
Mwambie KABISA kuwa IP ya simu na latitude na longitude ziko captured kimawasiliano. Unakamatwa kama kuku
 
Mpaka kumuua kama ni kweli wanadhani hivyo ujue siyo jambo la mchezo. Tutafakari kwa kina ili Rais mwingine asijerudia kosa.
 
Endelea kusubiri kama unategemea mama kuja kupiga kampeni chumbani kwako!!! Sisi wananchi wapiga kura tunamuelewa sana na tunasema mama mitano, mitano na mitano tena, ikiwezekana maisha kabisa.
With all my love. Cute reply
 
Mwambie KABISA kuwa IP ya simu na latitude na longitude ziko captured kimawasiliano. Unakamatwa kama kuku
Zogwale
Hawa vijana watafuta matatizo na shida za kujitakia kwa ujira mdogo waliolipwa na wajinga wachache. Siku jumba bovu liwaangukie watajua kuwa hawajui. Hivi walishajiuliza maudhui ya uwepo wa tcra? Tuwape muda tu kwani wanapeleka msiba na kilio kwao kwa ujira usiokidhi bando la wiki!
Mwambie KABISA kuwa IP ya simu na latitude na longitude ziko captured kimawasiliano. Unakamatwa kama kuku
Zogwale
Hawa vijana wanaitumikia na wanasiasa uchwara wasiojitambua na wenye malengo ya kutawala ili wakwapue watawaachia msala pindi kikiwasanukia.
 
Marehemu meko katika uhai wake alikuwa anaamini juu ya tume huru?? Kama walimuua walifanya vizuri Sana wanastahili nishani kabsa
 
Kalale tena
 
Hoja namba mbili bila shaka wahusishwe mabeberu sivyo😂
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…