Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Yeye mbona alikataa kuchunguza tukio la Tundu Lisu kupigwa risasi. Pelekeni ujinga huko gengeni kwenu.
 
Aliiletea dharau Corona nayo ikapita naye
 
"Lolote litakalonipata linipate kwa ajili ya watanzania" likampata halafu watu mnahoji
 
Magufuli hakuwa muumini wa uchaguzi wa vifo au madhila ya wapinzani wake, sasa unataka watu wachunguze kifo chake ili iweje? Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga fullstop.
Point yake ni kwamba leo tutaona ni sawa tu kwa sababu ni Magufuli ila kesho mfano rais ni mwengine halafu watu kwa sababu zao binafsi wakaamua kurudia kumuondoa madarakani rais wa wakati huo kwa njia ile ile ya kwa Magufuli.
 
Tuanze kwanza na tume huru dhidi ya mashambulizi ya Tundu Lisu kwanza
 
Isifanyike sasa.

Maana wata toa ripoti ya mchongo ili kupoza watu.

Ngoja awamu flani ipite kwanza ndio tuhangaike na mambo kama hayo.
 
Wenyewe walishukuru ibilisi kurudi kuzimu
Utawala wa awamu hipi au rais yupi hakuwa ibilisi nchi hii au umezaliwa utawala wa Rais Magufuli ndo maana unaropoka tu.??Hivi unakumbuka watu waliofunikwa kwanye mashimo ya mgodi wa Bunyahuru kisa tu awataki kutoka,unakumbu watu walivyokula kichapo mtwara kisa tu wanadai gesi yao,unakumbuka kichapo zanzibar mpaka watu wakawa wakimbizi Mombasa kidongo chekundu,unakumbuku Dr Olimboka kilichokuta kisa tu mgomo wa madaktari,Unakumbuka mabomu Arusha kwenye mkutano wa Chadema.Sasa wewe endelea kuongelea Magufuri kwa maneno ya kinafiki kama hauna kichwa.
 
Uchunguzi wa kazi gani tena? Kama kuna kazi ya mtu basi atajibu kwa Muumba wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…