Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Sasa mbona tunaona anatajwa sana huyo Ben saa8 au Lissu tu? Kama Magufuli alidhuru na kuuwa watu wengi mbona kila siku tunasikia hao hao tu ndio maana nauliza kwani wao ni nani hapa Tz?
Kasome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 12 na 13 ndipo utaelewa kuwa Ben Saanane ni katika nchi hii.
 
Dua la kuku halimpati mwewe endelea tu kuota.
 
Tena ayatolla Zitto anapaswa kuuawa kwa kuhumiwa kifo kwa kunyongwa mpaka kufa ikithibitika alishiriki kumuua Dkt Magufuli maana ndiye alikuwa mwanasiasa wa kwanza kuposti kumpongeza Rais Samia baada ya jaribio la Mtwara kushindikana.
 
Unaposema binaadamu wote ni sawa ni sawa katika nini? Wote ni kundi moja la binaadamu ila hatupo sawa na ndio maana hata humu anatajwa sana Bensaa8 na Lissu kuliko wengine tungekuwa sawa tu basi tungekuwa tunataja wengine sio hao tu?
Katika kula,kuvaa na makazi.Pia pumzi aliyo nayo kiongozi yoyote ndiyo ile ile aliyonayo hata mwehu.
 
Natarajia kugombea kiti cha urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hapo baadae mungu akipenda,

Pamoja na majukumu mazito nitakayo kuwa nayo kubwa zaidi ni uchunguzi wa vifo vya harakaharaka vya hawa ma legends wawili, yaani Magufuli na Mkapa

Nitatumia vyombo vya ndani na vya kimataifa kubaini ukweli,mengi yamesemwa,nami kama binadamu ninalo langu moyoni nitapenda kujiridhisha.

Ni hayo tu, jioni njema kwa wote jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…