Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

MIMI NASHAURI IUNDWE TUME KWANZA YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MKAPA,MPAKA LEO SINA AMANI KWA JINSI ALIVYOKUFA GHAFLA MWEZI ULE JULY KABLA YA UCHAGUZI,NA MAZISHI YAKE KUFANYIKA HARAKA HARAKA GHAFLA.....!
Mkuu,

Kifo cha BWM na JPM vinafanana kazi hiyo iende sambasamba hapo ndipo tabia ya watu fulani kuwa na hati ya kudhulumu uhai kupitia matatizo ya kiafya au ajali mtawaweza vinginevyo wataendelea kudunda sio kwa sababu ni wema hapana.

Kuna kiongozi mwandamizi kipindi cha kifo cha BWM alidai mbele ya vyombo vya habari kwamba hawakuwa na taarifa kwamba alikuwa anaumwa!!! Ni maajabu sana

Kiongozi yeyote wa nchi akistaafu anapangia mlinzi kutoka usalama wa taifa ambaye hutoa taarifa kwa DG kisha naye hupeleka kwa Rais

Tanzania kuna tatizo lipo mahala, siku mkibaini mtatamani hata kama unauwezo kuogombea Urais utaghairi maana ukishaingia Ilkulu kisha ukakuta mambo yanayohitaji marekebisha ka faida ya wananchi watakupangia mkakti zingiti ila sio bayana. Jiongoeze
 
Watu mliambiwa Corona ni hatari sana hasa kwa kwenye magonjwa nyemelezi na yale ya moyo mkadharau sasa tume ya nini tena?

Tunaendelea na zoezi la Chanjo kuhamasisha makundi ambayo yako hatarini zaidi yaanze kuchanja kwanza. Corona ni terminator ndugu zangu!!
Hii covid baada ya kumuondoa Magu ikapotea?
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Then Tume itamfufua?
Muachage upopompo basi....
 
Hii covid baada ya kumuondoa Magu ikapotea?
nyungu zote zimetupwa majalalani - hiki ndicho kiwango cha unafiki cha baadhi ya watu hasa wanasiasa!! wapiga nyungu wote sasa hivi wapo na mama kuipokea report ya chanjo.

 
Watanzania wengi? Hao watanzania wengi ni akina nani?

Wenye akili, sote tunajua marehemu kafariki kwa tatizo la moyo lililokuwa activated na corona. Kwa kifo ambacho ni dhahiri kiasi hiki, hakuna haja ya uchunguzi.

Siyo kila porojo hufanyiwa uchunguzi
Rais kasema kifo kilitokana na 'Atrial Fiblilator' wewe unasema korona huoni kwamba tayari unakubailiana kwamba kuna haja ya kuwepo uchunguzi kuondoa nadharia yako hiyo au iliyotolewa na serikali?

Wengine mnadai kifaa cha 'Pacemaker' kiliisha muda wake maana aliwekewa mwaka 2011 na kilikuwa na uwezo wa kuishi kwa miaka 10!!

Je, kulikuwa hakuna uwezekano wa kuweka kingine kipya cha teklojia ya kisasa kama sio kumchoka kwa sababu binafsi?
 
Naunga mkono hoja! Halafu Luhaga Mpina awe Mwenyekiti na Biswalo Mganga awe Makamu wake!

Livingstone Lusinde awe Mjumbe, Joseph Kasheku Msukuma awe Mjumbe, Ole Sabaya awe Mjumbe, Chalamila awe Mjumbe, Jenister Mhagama awe Mjumbe, Tulia awe Mjumbe, na Phillipo Mpango awe ndiye mlezi wa hiyo Tume.
Umetaja wale vichwa Nazi wote ndio wawepo huko

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania hao wenye shuku na uchunguzi juu ya kifo cha mpendwa wetu JPM huwezi kuwakuta JAMII FORUM au TWITTER tuko wachache

Wengi sana hawana ACCESS ya hii mitandao miwili.
Kuna wakati niliandika uzi kuhusu serikali kuweka wazi kuhusu kifo cha Magufuli na si kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Uzi haukumaliza dakika hata moja ulifutwa. Sielewi kwanini. Nitasema hata tufiche ukweli ipo siku ukweli utajulikana.

Tumejenga utamaduni kwa kuwa kimya watu hawataki kuhoji. Ukihoji ni matusi. Lakini serikali ikiruhusu uchunguzi itasaidia kuondoa hayo yanayosemwa.
Mhe. Rais, alikataza kusiwe na uvumi bali watu wenye ushahidi wapeleke la sivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Ni majuzi tu yule mwanaharakati Msiba alitamka wazi kuwa Magufuli aliuliwa. Mbona serikali ipo kimya haija mhoji msiba atoe ushahidi kuhusu tuhuma za Magufuli kuuwawa. Rais Samia anasema madaktari walitoa taarifa kafa kwa ugonjwa wa moyo, hivyo tusihoji kwa kua madaktari wamesema.

Rais anatufunga mdomo. Kwani mara ngapi madaktari udai mtu kafa kwa hiki, lakini uchunguzi ukifanyika unakuta ni tofauti. Mfano Yasin Arafat taarifa ya madaktari ilikuja kutofautiana na uchunguzi ulofanyika. Ikaonekana aliuwawa kwa sumu.

Nachojiuliza ni kwanin serikali ilificha kuumwa kwa Magufuli, na hata siku alokufa inadaiwa si hiyo. Haya yalisemwa wazi na Tundu Lissu pamoja na Lema.
Wakishirikiana na vyombo vya habari vya Kenya. Lissu katika twiter aliongea magufuli tayari kafa. Lakini vyombo vya ndani vilibaki kimya na serikali pia, ilificha.
Na viongozi walikanusha hasa Waziri Mkuu alidai Rais Magufuli alikuwa mzima na anachapa kazi. Baadae aliye kuwa mkuu wa mkoa Mbeya alisema kaongea na Rasi Magufuli yupo mzima anachapa kazi.

Makamu wa Rais akiwa ziarani Tanga, nae alisema Rais Magufuli hajambo na anawasalimia wananchi. Baadae akatoa kauli mtu ni kawaida kusumbuliwa na mafua ya hapa na pale.
Hii kauli ilileta utata!

Kesho yake Makamu wa Rais akatangaza msiba wa kitaifa. Kuwa Rais Magufuli kafariki.
Huu mtililiko unaleta mashaka na inaonesha serikali ilikuwa inaficha jambo. Kuanzia Rais Samia, Waziri Mkuu na alie kuwa RC Mbeya waombe masamaha kwa kupotosha jamii.

Pia serikali itueleze kwa nini Magufuli alikuwa anaumwa lakini ilifichwa. Wananchi walikosa haki ya kumuombea.
Haya yote yanafanya uhalali kuwa iundwe tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli. Haya mambo ya kunyamazishana si haki. Kwanini serikali haitaki uchunguzi? Wakiguswa wanakuwa wakali?
Kunasiku watu watakwenda mahakamani kudai haki ya kuundwa tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli.

Hatuwezi kuwa tunanyamaza wakati viongozi wa Taifa wanakufa, pasipo hata kujiridhisha?
Ifikie wakati kuwe na uchunguzi.
Rais Samia, leo watakupamba usifanye uchunguzi, lakini kikulacho siku zote ki nguoni mwako. Kuwa makini, usidhani kushabikiwa na kupigiwa makofi ndo kupendwa.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Imetoka hiyo ndugu yangu hairudi ngó! Mbona hukuomba iundwe tume ya kuchunguzi risasi zilizomiminwa kwa Lissu? Mwendazake mwache aende zake. Nyodo zilizidi. Alizingua wakamzingua mazima
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Huo moshi ambao wewe una wasiwasi nao mwenyewe wala hakuwahi kuutilia shaka na ndio maana katika kipindi chake hakuunda tume sasa amekufa ndio iundwe tume?
Huo utakuwa upotevu/ matumizi mabaya ya pesa za wananchi pasipo sababu yoyote ya msingi
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.



Maisha yetu yako mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Hayo mengine pia anayajua na atayapatia majawabu yeye mwenyewe. Tumuache JPM apumzike kwa amani
 
Kuna wakati niliandika uzi kuhusu serikali kuweka wazi kuhusu kifo cha Magufuli na si kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Uzi haukumaliza dakika hata moja ulifutwa. Sielewi kwanini. Nitasema hata tufiche ukweli ipo siku ukweli utajulikana.

Tumejenga utamaduni kwa kuwa kimya watu hawataki kuhoji. Ukihoji ni matusi. Lakini serikali ikiruhusu uchunguzi itasaidia kuondoa hayo yanayosemwa.
Mhe. Rais, alikataza kusiwe na uvumi bali watu wenye ushahidi wapeleke la sivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Ni majuzi tu yule mwanaharakati Msiba alitamka wazi kuwa Magufuli aliuliwa. Mbona serikali ipo kimya haija mhoji msiba atoe ushahidi kuhusu tuhuma za Magufuli kuuwawa. Rais Samia anasema madaktari walitoa taarifa kafa kwa ugonjwa wa moyo, hivyo tusihoji kwa kua madaktari wamesema.

Rais anatufunga mdomo. Kwani mara ngapi madaktari udai mtu kafa kwa hiki, lakini uchunguzi ukifanyika unakuta ni tofauti. Mfano Yasin Arafat taarifa ya madaktari ilikuja kutofautiana na uchunguzi ulofanyika. Ikaonekana aliuwawa kwa sumu.

Nachojiuliza ni kwanin serikali ilificha kuumwa kwa Magufuli, na hata siku alokufa inadaiwa si hiyo. Haya yalisemwa wazi na Tundu Lissu pamoja na Lema.
Wakishirikiana na vyombo vya habari vya Kenya. Lissu katika twiter aliongea magufuli tayari kafa. Lakini vyombo vya ndani vilibaki kimya na serikali pia, ilificha.
Na viongozi walikanusha hasa Waziri Mkuu alidai Rais Magufuli alikuwa mzima na anachapa kazi. Baadae aliye kuwa mkuu wa mkoa Mbeya alisema kaongea na Rasi Magufuli yupo mzima anachapa kazi.

Makamu wa Rais akiwa ziarani Tanga, nae alisema Rais Magufuli hajambo na anawasalimia wananchi. Baadae akatoa kauli mtu ni kawaida kusumbuliwa na mafua ya hapa na pale.
Hii kauli ilileta utata!

Kesho yake Makamu wa Rais akatangaza msiba wa kitaifa. Kuwa Rais Magufuli kafariki.
Huu mtililiko unaleta mashaka na inaonesha serikali ilikuwa inaficha jambo. Kuanzia Rais Samia, Waziri Mkuu na alie kuwa RC Mbeya waombe masamaha kwa kupotosha jamii.

Pia serikali itueleze kwa nini Magufuli alikuwa anaumwa lakini ilifichwa. Wananchi walikosa haki ya kumuombea.
Haya yote yanafanya uhalali kuwa iundwe tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli. Haya mambo ya kunyamazishana si haki. Kwanini serikali haitaki uchunguzi? Wakiguswa wanakuwa wakali?
Kunasiku watu watakwenda mahakamani kudai haki ya kuundwa tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli.

Hatuwezi kuwa tunanyamaza wakati viongozi wa Taifa wanakufa, pasipo hata kujiridhisha?
Ifikie wakati kuwe na uchunguzi.
Rais Samia, leo watakupamba usifanye uchunguzi, lakini kikulacho siku zote ki nguoni mwako. Kuwa makini, usidhani kushabikiwa na kupigiwa makofi ndo kupendwa.
Serikali ilishatoa sababu ya kifo cha marehemu! Uchunguzi wa nini tena? Lakini hilo halitoshi, Rais Mpya naye alisema kama watu wana ushahidi, basi waupeleke kwenye vyombo usika kwa ajili ya uchunguzi!

Hivyo kama una wasiwasi, anzisha uchunguzi wako wa chini kwa chini ili huo ukweli ubainike. Ila sisi wengine, tumeshakubali matokeo.
 
Kuna wakati niliandika uzi kuhusu serikali kuweka wazi kuhusu kifo cha Magufuli na si kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Uzi haukumaliza dakika hata moja ulifutwa. Sielewi kwanini. Nitasema hata tufiche ukweli ipo siku ukweli utajulikana.

Tumejenga utamaduni kwa kuwa kimya watu hawataki kuhoji. Ukihoji ni matusi. Lakini serikali ikiruhusu uchunguzi itasaidia kuondoa hayo yanayosemwa.
Mhe. Rais, alikataza kusiwe na uvumi bali watu wenye ushahidi wapeleke la sivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Ni majuzi tu yule mwanaharakati Msiba alitamka wazi kuwa Magufuli aliuliwa. Mbona serikali ipo kimya haija mhoji msiba atoe ushahidi kuhusu tuhuma za Magufuli kuuwawa. Rais Samia anasema madaktari walitoa taarifa kafa kwa ugonjwa wa moyo, hivyo tusihoji kwa kua madaktari wamesema.

Rais anatufunga mdomo. Kwani mara ngapi madaktari udai mtu kafa kwa hiki, lakini uchunguzi ukifanyika unakuta ni tofauti. Mfano Yasin Arafat taarifa ya madaktari ilikuja kutofautiana na uchunguzi ulofanyika. Ikaonekana aliuwawa kwa sumu.

Nachojiuliza ni kwanin serikali ilificha kuumwa kwa Magufuli, na hata siku alokufa inadaiwa si hiyo. Haya yalisemwa wazi na Tundu Lissu pamoja na Lema.
Wakishirikiana na vyombo vya habari vya Kenya. Lissu katika twiter aliongea magufuli tayari kafa. Lakini vyombo vya ndani vilibaki kimya na serikali pia, ilificha.
Na viongozi walikanusha hasa Waziri Mkuu alidai Rais Magufuli alikuwa mzima na anachapa kazi. Baadae aliye kuwa mkuu wa mkoa Mbeya alisema kaongea na Rasi Magufuli yupo mzima anachapa kazi.

Makamu wa Rais akiwa ziarani Tanga, nae alisema Rais Magufuli hajambo na anawasalimia wananchi. Baadae akatoa kauli mtu ni kawaida kusumbuliwa na mafua ya hapa na pale.
Hii kauli ilileta utata!

Kesho yake Makamu wa Rais akatangaza msiba wa kitaifa. Kuwa Rais Magufuli kafariki.
Huu mtililiko unaleta mashaka na inaonesha serikali ilikuwa inaficha jambo. Kuanzia Rais Samia, Waziri Mkuu na alie kuwa RC Mbeya waombe masamaha kwa kupotosha jamii.

Pia serikali itueleze kwa nini Magufuli alikuwa anaumwa lakini ilifichwa. Wananchi walikosa haki ya kumuombea.
Haya yote yanafanya uhalali kuwa iundwe tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli. Haya mambo ya kunyamazishana si haki. Kwanini serikali haitaki uchunguzi? Wakiguswa wanakuwa wakali?
Kunasiku watu watakwenda mahakamani kudai haki ya kuundwa tume huru kuchunguza kifo cha Magufuli.

Hatuwezi kuwa tunanyamaza wakati viongozi wa Taifa wanakufa, pasipo hata kujiridhisha?
Ifikie wakati kuwe na uchunguzi.
Rais Samia, leo watakupamba usifanye uchunguzi, lakini kikulacho siku zote ki nguoni mwako. Kuwa makini, usidhani kushabikiwa na kupigiwa makofi ndo kupendwa.
Nakuunga mkono mwazo yako na serikali inashauri isipuuze mkangaiko huu vinginvyo ijiandae kuadhibiwa. Hii sauti hatonyamazishwa kwa vitisho kamwe.

Wasikilizeni wanaolalamika wana hoja yenye mashiko ili mbaki salama jisafisheni hakuna namna ya ujanja wa matamko ya kisiasa.

Waziri mkuu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, Balozi wa Tanzania Namibia na weza kuwatetea sio kosa lao.

Kuna kikundi kilishika hatamu ya ghafla baada ya hayati kufariki kisha huenda wakawa wanatoa mwongozo nini cha kusema kuzuia taharuki maana JPM alikuwa anatisha wakati akiwa na pumzi na walikuwa na hofu huenda pumzi ikamrudia ndio walitumia muda mrefu kujiridhisha kweli uhai umeondoka vinginevyo ingekuwa balaa, watu wangetamani ardhi iwameze kukwepa rungu lisilo na huruma.
 
Imetoka hiyo ndugu yangu hairudi ngó! Mbona hukuomba iundwe tume ya kuchunguzi risasi zilizomiminwa kwa Lissu? Mwendazake mwache aende zake. Nyodo zilizidi. Alizingua wakamzingua mazima
Kwahiyo baada ya tume hiyo kushindikana kuundwa mkaamua kulipilza kisasi kwa mlango wa nyuma baada ya kesi ya The Hague nayo kukwama?

Endeleeni kujibu tu sauti ya wanaohoji huku wakikusanya taarifa ni akina waliohusika
 
Kwahiyo baada ya tume hiyo kushindikana kuundwa mkaamua kulipilza kisasi kwa mlango wa nyuma baada ya kesi ya The Hague nayo kukwama?

Endeleeni kujibu tu sauti ya wanaohoji huku wakikusanya taarifa ni akina waliohusika
Kama The Hague imeshindikana, tume ya kuchunguza risasi zilipigwa na nani na walitumwa na nani imeshindikana, na mateso yanaendelea wewe unafikiri njia nyingine ingekuwa ipi?
 
Back
Top Bottom