Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Kitu kizuri nilichokipenda kutoka kwa Magufuli ni Kushift upepo wa siasa ndani ya CCM ambazo ziliegemea zaidi majina ya Wanasiasa wa zamani na watoto wao.

By the way,Magufuli alizidiwa kete na mbaya zaidi alikiwa hana exposure kubwa ya mambo-wahuni wakamchezea keusi kekundu.

Maana sote tunatambua Nchi ni Rais na Katibu Mkuu Kiongozi-so,kwa akili za kawaida sio rahisi hao watu wawili wote wafariki kwa kupishana mwezi 1.Alianza kijazi 17 February,2021 kisha Magufuli 17 March,2021-hivi sio vifo vya kawaida lazima kuna watu katika hilo.

Ila ndio mchezo wa siasa duniani kote,ni either uwawahi maadui zako au wakuwahi.
 
Kitu kizuri nilichokipenda kutoka kwa Magufuli ni Kushift upepo wa siasa ndani ya CCM ambazo ziliegemea zaidi majina ya Wanasiasa wa zamani na watoto wao.

By the way,Magufuli alizidiwa kete na mbaya zaidi alikiwa hana exposure kubwa ya mambo-wahuni wakamchezea keusi kekundu.

Maana sote tunatambua Nchi ni Rais na Katibu Mkuu Kiongozi-so,kwa akili za kawaida sio rahisi hao watu wawili wote wafariki kwa kupishana mwezi 1.Alianza kijazi 17 February,2021 kisha Magufuli 17 March,2021-hivi sio vifo vya kawaida lazima kuna watu katika hilo.

Ila ndio mchezo wa siasa duniani kote,ni either uwawahi maadui zako au wakuwahi.
🤝
 
Kitu kizuri nilichokipenda kutoka kwa Magufuli ni Kushift upepo wa siasa ndani ya CCM ambazo ziliegemea zaidi majina ya Wanasiasa wa zamani na watoto wao.

By the way,Magufuli alizidiwa kete na mbaya zaidi alikiwa hana exposure kubwa ya mambo-wahuni wakamchezea keusi kekundu.

Maana sote tunatambua Nchi ni Rais na Katibu Mkuu Kiongozi-so,kwa akili za kawaida sio rahisi hao watu wawili wote wafariki kwa kupishana mwezi 1.Alianza kijazi 17 February,2021 kisha Magufuli 17 March,2021-hivi sio vifo vya kawaida lazima kuna watu katika hilo.

Ila ndio mchezo wa siasa duniani kote,ni either uwawahi maadui zako au wakuwahi.
Kama Jiwe alivyotaka kumuwahi Lissu akafeli
 
Kitu kizuri nilichokipenda kutoka kwa Magufuli ni Kushift upepo wa siasa ndani ya CCM ambazo ziliegemea zaidi majina ya Wanasiasa wa zamani na watoto wao.

By the way,Magufuli alizidiwa kete na mbaya zaidi alikiwa hana exposure kubwa ya mambo-wahuni wakamchezea keusi kekundu.

Maana sote tunatambua Nchi ni Rais na Katibu Mkuu Kiongozi-so,kwa akili za kawaida sio rahisi hao watu wawili wote wafariki kwa kupishana mwezi 1.Alianza kijazi 17 February,2021 kisha Magufuli 17 March,2021-hivi sio vifo vya kawaida lazima kuna watu katika hilo.

Ila ndio mchezo wa siasa duniani kote,ni either uwawahi maadui zako au wakuwahi.
Maadui wa Magufuli si walikuwa Chadema! Ndio waliomuua??
 
Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.

Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.

Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.

Kabla ya huo uchunguzi ,tuanze na uchunguzi wa:-

1. Kuuwawa kwa Ben saanane
2.Kuuwawa kwa Azory Gwanda
3.Kuuwawa kwa Kanguye
4.Kuuwawa kwa Rujwabe
5.Kupigwa Lissu Risasi.
 
,,,Huna mda mchfu we na nani, eti uvae barakoa huy mama yako mwenyewe umemuona anavo vaa barakoa ?,,, ni mpumbavu
Chapa kazi na uvae barakoa kama una changamoto za kiafya, ukileta ujuaji yatakukuta ya Jiwe
 
Back
Top Bottom