Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.

Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.

Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
Mtu anatumia moyo wa plastic miaka yote alafu ushangae akifariki? Tuacheni mahaba ya kisiasa, maadam wapinzani tukisema anaumwa mkatukejeli na kutuita wachawi then endeleeni na msimamo huo huo hatutaki unafiki
 
Point yake ni kwamba leo tutaona ni sawa tu kwa sababu ni Magufuli ila kesho mfano rais ni mwengine halafu watu kwa sababu zao binafsi wakaamua kurudia kumuondoa madarakani rais wa wakati huo kwa njia ile ile ya kwa Maguful
Kama rais ameingia madarakani kwa kura halali tutahoji, sio kwa rais aliyekuwa madarakani kwa kunajisi uchaguzi.
 
ishia hapo hapo inatosha jiangalie na maoni yako mambo ya Mungu hayachunguziki
Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.

Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.

Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
 
Point yake ni kwamba leo tutaona ni sawa tu kwa sababu ni Magufuli ila kesho mfano rais ni mwengine halafu watu kwa sababu zao binafsi wakaamua kurudia kumuondoa madarakani rais wa wakati huo kwa njia ile ile ya kwa Magufuli.
Sawa tu yeyote anayeua akiuliwa poa tu
 
Utawala wa awamu hipi au rais yupi hakuwa ibilisi nchi hii au umezaliwa utawala wa Rais Magufuli ndo maana unaropoka tu.??Hivi unakumbuka watu waliofunikwa kwanye mashimo ya mgodi wa Bunyahuru kisa tu awataki kutoka,unakumbu watu walivyokula kichapo mtwara kisa tu wanadai gesi yao,unakumbuka kichapo zanzibar mpaka watu wakawa wakimbizi Mombasa kidongo chekundu,unakumbuku Dr Olimboka kilichokuta kisa tu mgomo wa madaktari,Unakumbuka mabomu Arusha kwenye mkutano wa Chadema.Sasa wewe endelea kuongelea Magufuri kwa maneno ya kinafiki kama hauna kichwa.
Wameanzia kwake yeyeote atakayefuata mfano wake lazima yamkute ya kumkuta
 
Magufulu planted the seeds of his own destruction. Ikiwa kama aliondoshwa kama conspiracy theorists mnavyosema, tambueni kwamba hiyo ni kwasababu alitengeneza maadui wengi kwasababu ya kuwa na ego.

Hizo ndo kanuni za maisha tangu dunia iumbwe. Watu waliumizwa sana na utawala wa Magufuli halafu mbaya zaidi akaiba uchaguzi mchana kweupe.

Yaani upore haki ya mamilioni ya watu mpaka sasahiv nchi inateseka imepata wabunge viazi... Magufuli aliharibu mwenyewe.. Mimi binafsi sina interest zozote na kutaka uchunguzi wa kifo chake.
 
Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.

Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.

Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
Pia uwepo uchunguzi wa Mambo haya hapa 👇
 

Attachments

  • Fi40J.jpeg
    Fi40J.jpeg
    95.5 KB · Views: 4
Kama rais ameingia madarakani kwa kura halali tutahoji, sio kwa rais aliyekuwa madarakani kwa kunajisi uchaguzi.
Hiyo ni hoja nyengine kabisa, Magufuli alitambulika kuwa ni rais wa Tanzania sasa hayo ya kura halali au si halali ni mada nyengine na ndio maana kumekuwa na kilio cha tume huru.
 
Hiyo ni hoja nyengine kabisa, Magufuli alitambulika kuwa ni rais wa Tanzania sasa hayo ya kura halali au si halali ni mada nyengine na ndio maana kumekuwa na kilio cha tume huru.

Hata wanaopindua nchi huitwa marais.
 
Kuna ile mada ya ugomvi wa watoto wa mjini na bush.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Kazi ndiyo imeshaanza hivyo
Hiyo kazi imeanzishwa na nani na kwa maslahi yapi? Kama ccm wenyewe ndio waliyofanya hiyo kazi bado utategemea ccm tujiondoa wenyewe madarakani?
 
Pumbavu kabisa. Nyie mnawaza Uchaguzi wakati watanzania wapo kwenye kipindi kigum cha Adha lukuki nyie mnawaza uchaguzi.

Huu ndio ujinga unaofanya watanzania bado wasiviamini vyama vya upinzani.

Badala ya kuwasemea watanzania juu ya hali iliyopo sasa nyie MNA weka ujinga wenu wakuwaza uchaguzi.
 
Hata wanaopindua nchi huitwa marais.
Ndio narudia kusema kwamba hoja yako ni mada nyengine kabisa, watu wanataka tume huru na katiba mpya ili kuondoa chanzo cha tatizo la kura zisizo halali ila wewe unaona tatizo ilikuwa ni Magufuli tu ndio umeshikilia?
 
Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.

Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.

Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
Kiporo cha ugali maharage kinakusumbua
 
Ndio narudia kusema kwamba hoja yako ni mada nyengine kabisa, watu wanataka tume huru na katiba mpya ili kuondoa chanzo cha tatizo la kura zisizo halali ila wewe unaona tatizo ilikuwa ni Magufuli tu ndio umeshikilia?

Nimeshikilia Magufuli maana ndio wanataka kifo chake kichunguzwe, wakati yeye alipokuwa madarakani alikuwa anazuia kitendo hicho kwa wengine.
 
Back
Top Bottom