FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #21
Mi sijawahi kuona mjumbe hajui kusoma. Hata zikienda kujenga flyover vijana watapata ajira na pesa itarudi tu mtaani.wajumbe wengi hata kusoma hawajui,
wacha pesa iingie mtaani pato la mmoja mmoja liongezeke
... zaidi ya 70% ya wajumbe wa Nyumba 10 hawajui kusoma. Watajaza fomu za sensa kweli? Tena mwaka huu inasemekana data hazitajazwa kwenye fomu badala yake wanasema TEHAMA itatumika. Sioni Mjumbe wangu Mzee Mpatamali akiwa na msaada mwingine zaidi ya uhamasishaji.Wewe unazijua? Zitaje
Sensa naifahamu vizuri, sikatai kwamba ni nyeti, ila wajumbe wa nyumba 10 wanazifahamu zaidi nyumba zao kuliko mtu mwingine yeyote, wanawafahamu vizuri hata watu wanaoishi, na pengine anazo namba za simu za watu wote walio chini ya nyumba zake 10. Ni rahisi zaidi yeye akakaribishwa hata sebuleni, akajaza fomu huku wakicheka na kunywa chai na wenyeji, huku wakipeana story za ugomvi wa khadija na Jesca jana yake, zoezi hili litaenda vizuri sana kwa kutumia wajumbe. We tulia hivyo hivyo, majibu yake mtayapata jumatatu ijayo.Sensa ni zoezi kubwa na nyeti. Ndio maana shughuli zote nchini zitasimama kwa hiyo siku ya kuhesabu.
Kila mtu atahesabiwa sehemu ambapo zoezi litamkuta. Haya mambo yapo juu sana ya uwezo wa hao wajumbe.
Logistics zake ni zaidi ya hapo unapoona.
Ingekuwa ni rahisi hivyo hao wajumbe wangekuwa wanatuma taarifa kila mwisho wa mwaka, serikali ina update taarifa tu.
Isitoshe serikali ina hela nyingi sana, waache jobless wenzako wakapate hela hata ya vocha. Manake hata hiyo hela unayoiwazia inaweza isifanye kitu watu wakaipiga vilevile. Unawanyima masikini wenzako hela.
MSD watazilamba, walienda China wakakaa miezi miwili wanafanya shoping'i ya nguo za kuuza wakati wa Idd.Pesa ziokolewe kila wilaya, flyover ijengwe tazara? Ningekuunga mkono kama ungesema zisaidie kuboresha huduma za afya
Afu wengine wabaki bila Ajira acheni vijana wapewe Ajira na wao waenjoy national cakeKwa kupitia serikali za mitaa / vijiji (local government) , wajumbe wa nyumba 10 wapewe fomu za sensa na wapite kwenye nyumba zilizochini yao, wapewe wiki moja tu wawe wameshazitembelea nyumba zote zilizochini yao na kuzijaza fomu zote kwa kila nyumba, wakazikabidhi fomu hizo kwenye ofisi za serikali ya mtaa/kijiji, ofcourse wapewe na posho kidogo.
Afisa mtendaji akusanye zote na kuziwasilisha ofisi ya wilaya/mkoa ya sensa kwa ajili ya majumuisho na uchakataji wa taarifa.
Pesa zitakazookolewa ziende zikajenge flyover pale TAZARA, foleni ya malorry pale imesababisha hali kuwa mbaya sana.
Sio kweli, Mi sijawahi kuona mjumbe hajui kusoma, anatekelezaje majukumu yake ya kushuhudia kuandikishana kama hajui kusoma?... zaidi ya 70% ya wajumbe wa Nyumba 10 hawajui kusoma. Watajaza fomu za sensa kweli? Tena mwaka huu inasemekana data hazitajazwa kwenye fomu badala yake wanasema TEHAMA itatumika. Sioni Mjumbe wangu Mzee Mpatamali akiwa na msaada mwingine zaidi ya uhamasishaji.
Sasa wewe unatofauti gani na kenge hapa? Maana hata kenge angeweza kupost hii comment bila kutoa hoja yoyote ileAkili fupi sana hii
Well, suala sio kujua idadi tu, bali kujua wapo wapi exactly, maana watu wanahama hama sana, hasa kutoka vijijini kuelekea mijini.Huwa najiuliza kwani kuna ulazima wa kufanya sensa wakati tunaweza kuwa tunarekodi taarifa ya vifo na kuzaliwa kila mwaka kwa mfumo wa kielectronik ili kumbukumbu zinakua zinajipunguza na kujiongeza kwa muda sahihi
Watapata ajira ya ujenzi wa ma-flyover jijini DarAfu wengine wabaki bila Ajira acheni vijana wapewe Ajira na wao waenjoy national cake
Well, suala sio kujua idadi tu, bali kujua wapo wapi exactly, maana watu wanahama hama sana, hasa kutoka vijijini kuelekea mijini.
How,maana mtu anazaliwa Ilala lakini kesho amepelekwa Morogoro ambapo ndio makazi yalipo. Pia si vizazi au vifo vyote husajiliwa..Oooh sawa, basi tungekua tunafanya hivyo kila baada ya mwaka au miezi?
Hizi Huduma za afya kila Mwaka n mbovu tu???Basi nisameheni nimeteleza, zikatumike kila wilaya kuboresha huduma ya afya 😂😂. Ila foleni za malorry yanayoenda mikoa mbali mbali ikipungua, hata gharama za usafirishaji kwenda mikoa na wilaya husika inapungua.
Nakuhakikishia ni 10% ya wajumbe wanaofahamu wananchi wao na makazi yao.Sensa naifahamu vizuri, sikatai kwamba ni nyeti, ila wajumbe wa nyumba 10 wanazifahamu zaidi nyumba zao kuliko mtu mwingine yeyote, wanawafahamu vizuri hata watu wanaoishi, na pengine anazo namba za simu za watu wote walio chini ya nyumba zake 10. Ni rahisi zaidi yeye akakaribishwa hata sebuleni, akajaza fomu huku wakicheka na kunywa chai na wenyeji, huku wakipeana story za ugomvi wa khadija na Jesca jana yake, zoezi hili litaenda vizuri sana kwa kutumia wajumbe. We tulia hivyo hivyo, majibu yake mtayapata jumatatu ijayo.
Ingekuwa mimi ndiye nina mamlaka, hizo pesa ningezipiga by 20% ,kisha naenda kuziweka kwanza mahali, halafu 20% nawapa wajumbe wa nyumba 10 , 60% inayobaki ningezipeleke kwenye ujenzi wa ma-flyover jiji kote la Dar.