Napendekeza kwenu kuwa Ridhiwani Kikwete atatufaa sana Urais baada ya Magufuli

Napendekeza kwenu kuwa Ridhiwani Kikwete atatufaa sana Urais baada ya Magufuli

Mleta uzi sehemu salama uliyotakiwa kuwepo ni Mirembe tu, tena 'chini ya uangalizi' wa Dr bingwa
 
Ni bora hata ungesema Paul Makonda kidogo inaingia akilini kwa sababu uchapakazi wake ulikuwa unaonekana kuliko kumpendekeza huyo mla bata aje kuwa Rais.
Mkuu tutajikuta yunaongozwa hadi na 'waporaji' wa mali za watu mchana kweupe.
 

Wanabodi,

Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.

Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.

Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.

Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.

#RK2025
Ili akawateke wagombea wa vyama vingine siyo ?

Halafu labda kama ulikuwa hujui sasa ndio ushachokoza majambo , huyo kijana makandokando yake yakiwekwa humu utatamani ardhi ipasuke ukajifiche , mnapolipwa ili kuwatakasa wenye tope tafakarini kwanza
 
Itapendeza sanaaaaa. Kwanza kijana ni mtulivu kama babaake
 
Ukiacha kuzaliwa na baba Rais na kwamba hii nchi haipaswi kuingia katika mfumo wa kurithishana madaraka ya umma vijana wengi wanazo sifa hizi ulizozitaja, tupe sifa za ziada kwake.
 
Kwangu Magufuli aongezewe walau miaka kumi ili amalizie hizi mega project mana zina manufaa mapana kwa Taifa letu
 
Bangi sio nzuri kwa afya ya akili
 

Wanabodi,

Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.

Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.

Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.

Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.

#RK2025
Unachovuta au kunywa nakushauri achana nacho kabisa.
Umetumia controlled substance bila shaka kabla hujaandika huu uzi.
 
Back
Top Bottom