Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwaweli kila ninachotaka kuandika vidole vinakataa!

huyu aliyeondoa vitabu vya kuongeza ujasili kwenye literature, jeshi miezi sita na Migomo Vyuo Vikuu ametuletea janga kwenye jamii. Sasa tunatakiwa turudi upya porini tutailiwe tena kavukavu tena kwa kisu cha ghariba labda akili zitatukaa sawa.

lakini najiuliza itawezekana kwa kizazi hiki kilichodekezwa na kukulia mapajani kama watoto wachanga?
ndani mwangu wakati mwingine nawaza mbali zaidi huwenda kizazi hiki wengine wamelala na mama zao au baba zao na kuwaona ndio wanawake na wanaume wanaofaa zaidi matokeo yake ndo haya sasa tumekuwa na kizazi kinachoona mwisho kioo kama mama zao.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Yani niliposoma heading to ya hii thread...Tusi kubwa sana lilinijia akilini.
Dah,,
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Huu ni ujinga
 
Kitunda( Tabora) - Rungwa - Kambi Katoto - Lupa tingatinga - Makongorosi ( Chunya).

Huo mkoa ujengwe katikati ya maeneo haya.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Mkuu si anajenga viwanja vya mpira, kimojawapo kipewe jina lake.
 
Mkoa wako unaotokea upe hilo jina na umuenzi . Hatujaumbwa tufanane ila twishi pamoja so twaheshm nawazo yako ila timiza mwenyewe unachokitetea kwa faida yako na walioko nyuma yako. Sio lazma kwetu kukuunga hoja yako bye bye

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja iliyopo mezani imeletwa kujadiliwa na hakuna ulazima kuiunga mkono
 
Back
Top Bottom