Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Kwani kafanya nini, ni Africa pekee yake tunza huu uzandiki, yaani watu wana maisha magumu unasherehekea nini
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Zanzibar yote iwe mkoa halafu iitwe Samia region
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
🚮🚮🚮🚮🚮
 
Kweli kabisa. Ukiachana na huyu kuna wengine pamoja na umaskini wao eti wanamchnagia kununua gari mtu anayejiita Wakili Maarufu, Makamu Mwenyekiti wa chama na mtu anayejivunia kuwa familia yake inaishi Ulaya na watoto wake ni raia wa Marekani! Just imagine hawa vijana wanaoongozwa na Erythrocyte humu JF, zinawatosha kweli?
Unaongeleaje wale wanaomchangia rais hela ya kuchukua form ya kugombea urais? Je familia ya rais inaishi kwa shida sana?
 
Tufanye hivi ili chawa na nyie mpumzike.
1.Nchi iitwe Samia Republic
2.Kila mtoto wa kike akizaliwa aitwe Samia,wakiume mtapendekeza wenyewe .

3.ATCL Iiitwe Air Samia

4.Bank kuuu iitwe Samia Bank

5.Bahari ya Hindi ibadilishwe jina iitwe Samia sea.
6.Tanesco iitwe Hivyo hivyo Samia power supply corporation.

7SGR Iitwe Samia fast train.

Uwanja wa Taifa iitwe Samia Stadium.

Dawa za magomjwa yote zitwe hivyo”
 
Trump anarejea White House Januari mwakani.

Kwa kasi hii, huenda sisi tukawa mfano wake bora wa shthl country! - tena on the race to the bottom of the cesspit.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Asante kwa ushauri na hata MAGU RIP yalikuwepo ya Aina zake sio jambo la ajabu.
 
Back
Top Bottom