Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Acha unafiki na kijipendekeza.
Ukimpenda tu rais wetu inatosha.
Ukimpenda tu rais wetu inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina muda huo.Umesoma vizuri kilichopo mezani?
Siasa za Afrika ni wanasaiasa kuwatumia wananchi kujinufaisha. Mimi mwenyewe nilishangaa kwa sababu yule ana maisha kuliko wanaomchangia na kwanza hapo alipo sidhani kama alienda kuchukua gari lililopigwa risasi kwa miguu au bajaji au kwa vits. Masikini anajikamua kumlisha aliye nachoKweli kabisa. Ukiachana na huyu kuna wengine pamoja na umaskini wao eti wanamchnagia kununua gari mtu anayejiita Wakili Maarufu, Makamu Mwenyekiti wa chama na mtu anayejivunia kuwa familia yake inaishi Ulaya na watoto wake ni raia wa Marekani! Just imagine hawa vijana wanaoongozwa na Erythrocyte humu JF, zinawatosha kweli?
Wajinga ndio mliwao, kwa nini usiseme nchi ya Tanzania isigeuzwe iitwe Samia Republic.Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Hiki kiingereza cha wapi?It do not sound great thinkerly
Unafiki upi hasa nilionao?Acha unafiki na kijipendekeza.
Ukimpenda tu rais wetu inatosha.
Hiyo inauhusiano gani hasa na hoja husika?Ikibidi hata jina la ukoo wako liitwe mama samia ili kumuenzi vyema au vipi?
Sasa Unachangia nini hasa kama ni kweli haunq muda?Sina muda huo.
Umewaza kama mimi. Lucas MwashambwaLucas
Ulichoandika wewe siyo upumbavu?Hilo ni wazo la kipumbavu kwasababu hapo ni kuongeza gharama zisizo na lazima kuendesha mkoa mpya. HUO SIO UZALENDO BALI NI UPUMBAVU. Kuna namna nyingi zisizohitaji gharama kumuenzi mama na sio hicho ulichosema.
Ulie umefiwa au?Aise inasikitisha sana kama hii ndio aina ya watu tuliopo ndani ya hii inchi
Sometimes unatamani ukae chini ulie lakin unaona basi tu.
Umekula mchana huu ?Sasa Unachangia nini hasa kama ni kweli haunq muda?
Acha habari za kichawa, hivi unamuona unaupiga mwingi Sana?Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Naam hata akina Tomaso tena wengi sasa wametambua uwezo mkubwa wa kiutendaji alio nao Rais Samia.Acha habari za kichawa, hivi unamuona unaupiga mwingi Sana?
Yaani huo ndiyo mchango wakoUmekula mchana huu ?