Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kweli kabisa. Ukiachana na huyu kuna wengine pamoja na umaskini wao eti wanamchnagia kununua gari mtu anayejiita Wakili Maarufu, Makamu Mwenyekiti wa chama na mtu anayejivunia kuwa familia yake inaishi Ulaya na watoto wake ni raia wa Marekani! Just imagine hawa vijana wanaoongozwa na Erythrocyte humu JF, zinawatosha kweli?
Siasa za Afrika ni wanasaiasa kuwatumia wananchi kujinufaisha. Mimi mwenyewe nilishangaa kwa sababu yule ana maisha kuliko wanaomchangia na kwanza hapo alipo sidhani kama alienda kuchukua gari lililopigwa risasi kwa miguu au bajaji au kwa vits. Masikini anajikamua kumlisha aliye nacho
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Wajinga ndio mliwao, kwa nini usiseme nchi ya Tanzania isigeuzwe iitwe Samia Republic.
 
Hilo ni wazo la kipumbavu kwasababu hapo ni kuongeza gharama zisizo na lazima kuendesha mkoa mpya. HUO SIO UZALENDO BALI NI UPUMBAVU. Kuna namna nyingi zisizohitaji gharama kumuenzi mama na sio hicho ulichosema.
 
Aise inasikitisha sana kama hii ndio aina ya watu tuliopo ndani ya hii inchi

Sometimes unatamani ukae chini ulie lakin unaona basi tu.
 
Hizo ni lugha za kisiasa zilizojaa uchawa! Ilivyo maendeleo yanaletwa na Wananchi wenyewe siyo rais! Wananchi ndiyo walipa kodi ya kuendesha serikali inayoongozwa na kusimamiwa na Rais aliyeajiriwa na wananchi.
Kwa hiyo badala ya kutafuta kazi kwa njia ya uchawa tufanye kazi ili tuendelee.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Acha habari za kichawa, hivi unamuona unaupiga mwingi Sana?
 
Acha habari za kichawa, hivi unamuona unaupiga mwingi Sana?
Naam hata akina Tomaso tena wengi sasa wametambua uwezo mkubwa wa kiutendaji alio nao Rais Samia.

Ukweli amewashangaza wengi Kwa mafanikio makubwa aliyoleta ndani ya kipindi kifupi
 
Back
Top Bottom