The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Chawa wanasababisha ugonjwa pia mkuu usishangaeSina ugonjwa mkuu yamkini ningekuwa mgonjwa kama wewe ningepata tiba mapema kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wanasababisha ugonjwa pia mkuu usishangaeSina ugonjwa mkuu yamkini ningekuwa mgonjwa kama wewe ningepata tiba mapema kabisa.
Viwanda 13 vya magari si mchezoHivi wanavyosema mama kafanya makubwa ni yepi mbona hawayataji? Au mimi ndo zuzu
Kamtoa mama ndio kichwani, katoa Gesi ya kupikia kwa Akina mama , na kusalimisha kukatwa Kwa miti, kamaliza tatizo la mgao wa umeme.Kwani kafanya nini, ni Africa pekee yake tunza huu uzandiki, yaani watu wana maisha magumi unasherehekea nini
Pendekezo la kijinga hili, angalia toka aingie madarakani kuna maendeleo gani hapa nchini?Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Duh!. Jina baya sana. Tubaki na Tanzania ya NyerereIli kuuenzi mchango mkubwa wa Awamu ya Tano chini ya Dkt.John P. Magufuli hii nchi inatakiwa ibadilishwe iitwe Magufulizania Ahsante.
Process ni ndefu. Na pia raia hawatakubali.Mwanza ibadilishwe iwe mkoa wa SAMIA
Kisesa ipo Halmashauri ya Wilaya ya Magu.Kisesa Mwanza iitwe Samia manispaa
Kelele za chawa wenye njaa.Hivi wanavyosema mama kafanya makubwa ni yepi mbona hawayataji? Au mimi ndo zuzu
Kubadilisha jina la mkoa sio Jambo la kitoto. Ni process ndefu Sana. Mmesahau Mbeya walipokataa uwanja wa ndege wa Songwe usiitwe kwa Jina la Kikwete?.Mkoa wa katavi ama songwe mmoja wapo TUBADILISHE
Naomba kuwasilisha
Majina yao kwenye shule za kata yanatosha.Na mkoa wa Nyerere, Mkoa wa Mwinyi, Mkoa wa Mkapa, Mkoa wa Jakaya, Mkoa wa Magufuri.
Mkoa wa Kolimba, Mkoa wa Malecele, Mkoa wa Dr Omar, Mkoa wa Kawawa, Mkoa wa Musuguri.
Hao watu wameifanyia nchi kazi nzuri sana, NI vyema tukaipa mikoa kadhaa majina yao.
Mkui naweza kuipata hiyo makala,Inatusaidia nini? Ajira, afya,elimu Bora?
Nimesoma makala ya, Jenerali ulimwengu, katika gazeti LA East African, anasema "political sycophants(uchawa), ulikuwepo hata kipindi cha Nyerere, walikuwepo waliojupendekeza, wakamuita Nyerere, mtukufu, na misemo Yao, zidumu fikra sahihi za mwenyekiti,kipindi hicho machawa, walipopitiliza, mpaka Nyerere mwenyewe,ikabidi awaonye kidogo, wanapitiliza mno,
Sasa huu uchawa wa Leo wa vijana, unatisha, kila mtu anasifia, ili mradi asikike, apewe ka uteuzi
Najaribu kuwaza Anapokuwepo Rais mwanaume, hawa vijana, kwa, Hari mbaya za uchumi walizonazo, hawapo taysri kweli kumpa...........!? Dar ni mawazo tu
Hakika mkuu tena ugonjwa mbaya sanaChawa wanasababisha ugonjwa pia mkuu usishangae
Unataka kulinganisha mchango wa hiari na kuanzisha mkoa wa Samia be serious basi. Mbona mambo mawili tofauti kabisa.Kweli kabisa. Ukiachana na huyu kuna wengine pamoja na umaskini wao eti wanamchnagia kununua gari mtu anayejiita Wakili Maarufu, Makamu Mwenyekiti wa chama na mtu anayejivunia kuwa familia yake inaishi Ulaya na watoto wake ni raia wa Marekani! Just imagine hawa vijana wanaoongozwa na Erythrocyte humu JF, zinawatosha kweli?
Wadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Kuna Rais mmoja wa Zimbabwe alikua anaitwa Banana huyo angekua hapa matacle ya machawa yangewaka moto ,Inatusaidia nini? Ajira, afya,elimu Bora?
Nimesoma makala ya, Jenerali ulimwengu, katika gazeti LA East African, anasema "political sycophants(uchawa), ulikuwepo hata kipindi cha Nyerere, walikuwepo waliojupendekeza, wakamuita Nyerere, mtukufu, na misemo Yao, zidumu fikra sahihi za mwenyekiti,kipindi hicho machawa, walipopitiliza, mpaka Nyerere mwenyewe,ikabidi awaonye kidogo, wanapitiliza mno,
Sasa huu uchawa wa Leo wa vijana, unatisha, kila mtu anasifia, ili mradi asikike, apewe ka uteuzi
Najaribu kuwaza Anapokuwepo Rais mwanaume, hawa vijana, kwa, Hari mbaya za uchumi walizonazo, hawapo taysri kweli kumpa...........!? Dar ni mawazo tu