Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwaweli kila ninachotaka kuandika vidole vinakataa!

huyu aliyeondoa vitabu vya kuongeza ujasili kwenye literature, jeshi miezi sita na Migomo Vyuo Vikuu ametuletea janga kwenye jamii. Sasa tunatakiwa turudi upya porini tutailiwe tena kavukavu tena kwa kisu cha ghariba labda akili zitatukaa sawa.

lakini najiuliza itawezekana kwa kizazi hiki kilichodekezwa na kukulia mapajani kama watoto wachanga?
ndani mwangu wakati mwingine nawaza mbali zaidi huwenda kizazi hiki wengine wamelala na mama zao au baba zao na kuwaona ndio wanawake na wanaume wanaofaa zaidi matokeo yake ndo haya sasa tumekuwa na kizazi kinachoona mwisho kioo kama mama zao.
 
Yani niliposoma heading to ya hii thread...Tusi kubwa sana lilinijia akilini.
Dah,,
 
Huu ni ujinga
 
Kitunda( Tabora) - Rungwa - Kambi Katoto - Lupa tingatinga - Makongorosi ( Chunya).

Huo mkoa ujengwe katikati ya maeneo haya.
 
Mkuu si anajenga viwanja vya mpira, kimojawapo kipewe jina lake.
 
Hoja iliyopo mezani imeletwa kujadiliwa na hakuna ulazima kuiunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…