balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Alichofanya ni kejeli au satire.Hamaanishi kwamba Huyo kiroba anaweza kuitwa MunguMuandiko tu linaonesha jinsi jamaa lilivyo jinga jinga mbumbumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichofanya ni kejeli au satire.Hamaanishi kwamba Huyo kiroba anaweza kuitwa MunguMuandiko tu linaonesha jinsi jamaa lilivyo jinga jinga mbumbumbu
Kulikoni!aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni.
Wana JF wengi hawana hata D mbili.Hamjamuelewa muandishi.
Muandishi kachoka na uchawa. Sasa anaona ni Bora liwe Moja tu, aitwe Mungu Ili kelele zipungue. Hamaanishi kua aitwe Mungu Kwa mema, ila ni ki Shari. Kwamba sawa basi.