Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
japo mmetenguliwa
mmeanza nyie watu
wa kambi ile acheni hizo
kwani lazima muwe nyinyi?
mmeanza nyie watu
wa kambi ile acheni hizo
kwani lazima muwe nyinyi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CC"Kajenga hiki, kanunua kile, kapiga mwingi, kasambaza dawa, brbr, shle, kaleta maji, mvua ...kila kitu." Mtu wa namna hii, hastahili jina flani, lipi kama sio hilo?! Yy kapendkeza, Chawa toeni pendekezo kama mwaona jamaa kakosea ...nk
Senzi na zwaazwaa veve.Pumbavu wewe
Wenye akili tumekuelewa message yako.Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Anajichora mwenyewe na machawa wakeWe jamaa Acha kumchora Bibi yetu.
Sema misifa hewa,Ukiona hivyo, ujue. Imekuingia barabara mwanangu. Ni suala la kuwa na akili tekenyeshi na tunduizi ndilo limenisukuma kuwaza hivyo na pia tokana na misifa anayomwagiwa.
No god like Magu and see what will follow thereof.Demigod
I really and truly don't have a clue my child. Ila wenu anafanya vyote na zaidi ukiachia mbali kufanywaa.Mungu anajamba na kunya?
Mungu MamaI really and truly don't have a clue my child. Ila wenu anafanya vyote na zaidi ukiachia mbali kufanywaa.
Wale wadudu wachafu/chawa watakubaliana nawe.Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.