CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
et! rahis wenu awe! wewe ni MNAFIKI na umeandika ki_NAFIKI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamtafutia matatizo Rais wenu buree,hiyo level nyingine.Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Elimu yako ni kiwango gani mkuu?Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Kajifunze lfasihi vizuri, usimkufuru Mungu kwa kujidai unananga watu. Hujui hata tofauti ya Mungu na mungu. Hii ni dalili ya laana kwako. Usimdhihaki Mwenyezi Mungu.🙏🙏🙏Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Hii ni mojawapo ya misingi imara kabisa ya Siasa za Itikadi ya Ukomunisti/Ujamaa, hususani kwenye Itikadi ya 'JUCHE'Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
vilaza wengi wameishia kumkejeli na kumtukana bila kumuelewa alichomaanisha.Naunga mkono hoja....haihitaji hata F Moja kukuelewa....sema Kuna watu hata S hawakuipata.
Nimesema rahis wetu. Nyinyi mnaniwekea rais au kushinda kunielewa halafu mnanitukana wakati ni baba yenu. Tumia common na siyo uncommon sense wanangu.Jifunze kuandika Rahis ndiyo nini
Mgonjwa wa akili ni wewe, chawa na wale wanaosifiwa wakakubali na kushindwa kuelewa vitu rahisi kama uchokonozi na suto vya huu uzi wangu.🤔🤔🤔 sjui tunafanya njia gani la kulisaidia hili taifa kwa maombi aitatosha bila kuweka sheria ngumu na kali kwa hawa wangonjwa wa afya ya akili
seriously, yep.Serious?....
Kwanza kapime zwaazwaaa veve.Nenda kapimwe akili ww.
MadiluNa shetani atakuwa nani??
Sijui kama mwanangu unajua maana ya upumbavu na unachoandika hapa tena kwa kukurupuka na si kuelewa. Pole we.wewe ni mpumbavu sana, mtafute Mungu kabla hujachelewa ukajikuta upo jehanum tayari. Herode alikuwa na akili kama za kwako, na alikuwa na machawa hivihivi, alipoiba utukufu wa Mungu, aliliwa na chango mbele za watu akafa kwa aibu imebaki historia hadi kesho.
Wewe ni mwelewa. Asante sana mwanangu.Usim
Usimtukane ameandika vizuri, alichoandika sicho anachomaanisha KABISA!!! ila alitakiwa atumie neno mungu na sio Mun......
PhDElimu yako ni kiwango gani mkuu?