Napendekeza Rais wetu aitwe Mungu

Napendekeza Rais wetu aitwe Mungu

Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Mnamtafutia matatizo Rais wenu buree,hiyo level nyingine.
 
Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Elimu yako ni kiwango gani mkuu?
 
Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Kajifunze lfasihi vizuri, usimkufuru Mungu kwa kujidai unananga watu. Hujui hata tofauti ya Mungu na mungu. Hii ni dalili ya laana kwako. Usimdhihaki Mwenyezi Mungu.🙏🙏🙏
 
Katika kuonyesha imani, mapenzi, utii, kumkubali, kumtakia mema yote makubwa na madogo, kumhusudu, kumsifia na kumtukuza, napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza, mwenye akili na busara nyingi, uwezo, utakatifu, ukuu, utukufu, vyote visivyo vya wa kawaida kutokana na mema na makubwa mengi aliyofanya au tuseme miujiza, aitwe Mungu yaishe ili afurahi, tufurahi, kuridhika sisi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
Hii ni mojawapo ya misingi imara kabisa ya Siasa za Itikadi ya Ukomunisti/Ujamaa, hususani kwenye Itikadi ya 'JUCHE'
 
Tayari zumaridi washamwita hivyo,haitakuwa ni jambo la kushangaza sana,kwa nyakati hizi titaona mengi
 
🤔🤔🤔 sjui tunafanya njia gani la kulisaidia hili taifa kwa maombi aitatosha bila kuweka sheria ngumu na kali kwa hawa wangonjwa wa afya ya akili
Mgonjwa wa akili ni wewe, chawa na wale wanaosifiwa wakakubali na kushindwa kuelewa vitu rahisi kama uchokonozi na suto vya huu uzi wangu.
 
wewe ni mpumbavu sana, mtafute Mungu kabla hujachelewa ukajikuta upo jehanum tayari. Herode alikuwa na akili kama za kwako, na alikuwa na machawa hivihivi, alipoiba utukufu wa Mungu, aliliwa na chango mbele za watu akafa kwa aibu imebaki historia hadi kesho.
Sijui kama mwanangu unajua maana ya upumbavu na unachoandika hapa tena kwa kukurupuka na si kuelewa. Pole we.
 
Back
Top Bottom