Napendekeza Serikali ya Tanzania ichapishe Noti za Shilingi Elfu (50,000) na Laki moja (100,000)

Elimu yako imeishia kiwango gani.
 
Uchumi uimarike, hata hio elfu 10 & 5 hazitakiwi, note ya juu iwe ya Tsh 1000 ila iwe na nguvu.

Ukiwa na note za 100,000/ au 50,000/ ujue uchumi wako upo hoe have.

Kuna kitu walifanya Ghana na Zambia kutoa masifuri kwenye note zao na sio kuongeza.

Siku naagiza mzigo lusaka almost Tsh 1.8 M ,kuibadiri zikaja kwacha kama elfu kumi na nane hivi.
 
Enzi za Nyerere 1 usd ilifika sawa na 10 Tshs.

Kuongeza 000 kwenye noti, ni Ishara ya Uchumi kuingia shimoni.
 
Kwa hio njia ya kuvutia wawekezaji ni kuwa na noti kubwa na wala sio kuweka mazingira bora?

Nchi zote uzalishaji ndio huongeza thamani ya pesa zao, hasa mauzo ya nje sasa nchi tumejaa vilaza lazima tusapoti ujinga.

Tuna import kila kitu then tunatarajia pesa iwe na thamani?
 
Mkuu nchi imejaaa wajinga, yaani ni hadi aibu, hii ni hatari sana mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…