Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Laki mbili kubwa sana mkuu mimi hata ikipotea 10k sina amani kabisa wewe kama una mchongo halali fanya mchakato tupate chochote kituYani upoteze laki mbili uchanganyikiwe namna hiyo!!??
Wito kwa serekali jitahidini watu wapate michongo ya maana
HakikaIla inapunguza mzigo wa minoti. Yaani baa unakaa vizuri kabisa na note zako mbili
Elimu yako imeishia kiwango gani.Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.
1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.
2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.
3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.
Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Hivi kumbe nchi hii adui ujinga bado yupo juu sanaPoint..mawazo yako real nayaaprreciate
Sawa sawa mkuuLaki mbili kubwa sana mkuu mimi hata ikipotea 10k sina amani kabisa wewe kama una mchongo halali fanya mchakato tupate chochote kitu
una miaka mingapiMimi njlipenda hii noti ya Elf 10 ipewe thamani. Ila kwakuwa hakuna kiongozi mwenye mawazo hayo huko juu acha niungane nawe kukubali wazo lako. Siku hizi wimbi la watu kwenda na mabegi yamejaa fedha benki imekuwa kawaida. Tena hata hawahofu kutembea nazo mitaani kwakuwa hazina thamani
Enzi za Nyerere 1 usd ilifika sawa na 10 Tshs.Uchumi uimarike, hata hio elfu 10 & 5 hazitakiwi, note ya juu iwe ya Tsh 1000 ila iwe na nguvu.
Ukiwa na note za 100,000/ au 50,000/ ujue uchumi wako upo hoe have.
Kuna kitu walifanya Ghana na Zambia kutoa masifuri kwenye note zao na sio kuongeza.
Siku naagiza mzigo lusaka almost Tsh 1.8 M ,kuibadiri zikaja kwacha kama elfu kumi na nane hivi.
Lazima uwe kilaza kusapoti ujingaPoint..mawazo yako real nayaaprreciate
Kwa hio njia ya kuvutia wawekezaji ni kuwa na noti kubwa na wala sio kuweka mazingira bora?Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.
1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.
2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.
3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.
Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Zitaje hizo hoja, taja hata nusuJamaa ana hoja asikilizwe
Nchi tuna wajinga wengi sana aiseeMimi Ninakuunga mkono wazo zuri sana hilo.
Mkuu nchi imejaaa wajinga, yaani ni hadi aibu, hii ni hatari sana mkuu,Masuala ya uchumi sio kama katiba eti unapendekeza au mswada hapana, inajibia na forces of economy, kama inflation rate, Export and Import balance, intensity of domestic trade, micro and macro economy, level of foreign investment etc........mapendekezo yako hayana mashiko in economic terms.