Duh!Mungu asaidie mpaka Madelu anatumbuliwa asisaini noti yetu. Yale mawe yanatosha sana kumtambulisha.
Ninakubaliana nawe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Mungu asaidie mpaka Madelu anatumbuliwa asisaini noti yetu. Yale mawe yanatosha sana kumtambulisha.
Kwanini tusipunguze mazero kwenye noti zetu ili pesa yetu iwe na thamani?Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.
1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.
2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.
3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.
Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Irudiwe🤣Jamaa ana hoja asikilizwe
Kuweka jina jipya kwenye sarafu ya Tanzania na kubadilisha thamani ya fedha ni suala kubwa ambalo linahitaji kuzingatia mambo mengi na athari zake kwa uchumi na jamii. Ili kufanya mabadiliko kama hayo, serikali na benki kuu ya Tanzania zinahitaji kufanya utafiti wa kina na tathmini ya kina ya kiuchumi. Hivyo uamuzi wa kubadilisha sarafu na thamani ya sarafu yetu unapaswa kufanywa kwa umakini kwa kuzingatia maslahi ya taifa na wananchi wake. Naomba niorodheshe athari muhimu zinazoweza kutokea endapo tukifanya hivyo:Mimi nina swali tu, kwa yeyote mwenye ufahamu juu yake.
1. Je, inawezekana Tanzania, ikabadili fedha yake yenye thamani tofauti na hizi tunazotumia sasa?
Kwa mfano, iache kutumia shlingi, iamue kwa mfano mbovu kuiita hiyo pesa "madafu", ambayo itapangiwa thamani tofauti na hii tuliyonayo sasa hivi. Dafu moja kwa mfano liwe na thamani yenye mlingano wa hiyo Tsh100,000/ anayopendekeza mleta mada.
Dafu la juu kabisa, kwa mfano liwe 'madafu 100', ambayo ina thamani kubwa kulingana haya mapesa ya wakubwa wa dunia
Patakuwepo pia na pesa za sarafu; kwa mfano Dafu 1, Dafu 5 Dafu 10, n.k.
Lengo hapa ni kufanya kinyume na anachopendekeza mkuu 'Meneja Wa Makampuni.
Kwa kujitetea mbele ya safari, nitoe mfano mwingine: Shilingi ya Kenya, pamoja na kuporomoka kunakotokea kwa sasa, bado inayo thamani kubwa. Ksh 140, bado inakupatia dola moja ya kimarekani; hapa kwetu tunahitaji Tsh 2300/
Uchumi wa Kenya, pamoja na kuwa mkubwa (kidogo), kuliko wetu, hauna tofauti sana na sisi; kwa hiyo hatuwezi kutumia sababu ya uchumi hafifu kuwa sababu ya kuwa na pesa yenye thamani kubwa sokoni (hii ni kwa uelewa wangu mdogo nilio nao kwenye maswala haya. Lakini ukinifundisha ninao uwezo wa kujua ulichonieleza, kwani najua hakuna 'roketi sayansi hapa).
Mkuu 'Meneja', eti unasemaje wewe kuhusu hili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Imajini una tunoti twako tuwili twa laki mbili alafu ghafla zipotee aisee mbona ntakufa kwa mawazo
Katiba mpya🤣🤣Vipi, tuendelee kusema katiba mpya ndio suluhu au tukubali tu kua akili zetu wenyewe ndio mchawi wetu?
Huna unachoelwa Kaa utulie ule ugali wa shemejiJamaa ana hoja asikilizwe
Kweli kabisa kijana anaetarajiwa kua kiongozi anawaza kwamba noti ya laki moja ndo inaongeza thamani ya pesa yetu..!!Katiba mpya[emoji1787][emoji1787]
Sio Siri apa tunaenda kupigwaKweli kabisa kijana anaetarajiwa kua kiongozi anawaza kwamba noti ya laki moja ndo inaongeza thamani ya pesa yetu..!!
Thamani ya pesa kukua itaakisi kukua kwa hela za chini kabisa, siokufanya noti moja ya hela nyingi. Tusiige nchi zenye currency zenye nguvu. Wakati huo senti 50, sh 5, sh 20 sh 50 zilikua zinatumika dukani ila saivi sh mia itakupa kiberiti tu.Sio Siri apa tunaenda kupigwa
"Ko" ndiyo nini sasa.Ko ww umeona hii ndo comment ya maana kwny huu mjadala
Acha uchawi mkuu!Noti ya elf 50 au laki? Hesabu za uchumi unazijua ndugu yangu?Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.
1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.
2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.
3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.
Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.