Napendekeza Serikali ya Tanzania ichapishe Noti za Shilingi Elfu (50,000) na Laki moja (100,000)

Napendekeza Serikali ya Tanzania ichapishe Noti za Shilingi Elfu (50,000) na Laki moja (100,000)

Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.

1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.

2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.

3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.

Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Zipo sababu za kiuchumi kabisa kwanini hakuna noti za gharama kubwa na ndio maana Marekani pamoja na uchumi wake mkubwa hadi sasa nadhani bado pesa ya noti iliyo kubwa ni usd 100. Sijui kama kuna ya zaid ya hapo ingawa zilikuwepo miaka ya nyuma sana zikafutwa baada ya kuona balaa lake

Sasa kwa kinchi kama tanzania ambacho uchumi wake unasuasua eti unaweka Tsh 100,000/= iwe noti moja mtakuja kulia kilio cha mbwa koko nadhan na nchi ndio itafia hapo hapo maana yake hiyo ni dalili mbaya sana tena kwenye mstari mwekundu kabisa kiuchumi

Ni afadhari tupambane Tsh 500 irudi kwenye noti.
 
Zikitengenezwa chache sana, sidhani kama zitakua na athari inayohofiwa.
Wakati wa kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru, kulitengenezwa sarafu ya elfu 50, ni wangapi waliweza kuiona au kuishika sembuse kuimiliki.
Tungekuwa tumeshazama kwenye digital economy kusingekuwa na sababu, lakini bado tumeganda kwenye cash economy.
Juzi kati nimepita ofisi moja ya TRA, nikakuta kwenye dirisha la Benki kuna mtu analipia Kodi za Customs, hayo mabulungutu niliyoyaona hapo nikaacha mdomo wazi.
Nikajisemea mbona tumeambiwa miamala kwa kutumia cash mwisho milioni 5 lakini hapa ukizihisabu kwa kukisia hazipungui milioni 100?
 
Ili kuonesha uchumi unaimarika hata noti za 10k zilipaswa zisiwepo kwenye mzunguko na shilingi 50 bado ingekuwa inalipa hata nauli ya mwanafunzi kwenye daladala.

More zeros inaonesha unafilisika.
Sikutegemea kulisikia hili kwa "meneja wa makampuni"

Exactly
Thamani ya pesa ingekua ndogo sana ku compare na pesa zingine kama dollar.
 
Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.

1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.

2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.

3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.

Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Note kubwa kwa Baadhi ya nchi
1. Kenya note kubwa n 1,000
2. Dubai note kubwa n 500
3. Marekani note kubwa n 100$
Kuwa na pesa kubwa ya note kama 50,000 au 100,000. Ndio kuanguka kwa uchumi cz pesa inakua haina Thamani.
Uganda kuna note ya 50,000 angalia uchumi wao ulivo chini.
 
Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.

1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.

2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.

3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.

Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Huna nia njema na uchumi wa tanzania... Ikifikia hatua hiyo manake fedha ya tanzania haina thamani.... Ilitakiwa shiring 1, 5, 10, 20, ndo ziendelee kuwa za coin kwenye mzunguko na 50, 100, 200, 500, 1000,2000, 5000 na 10000 ziwe za noti lakini kwenye mzunguko wa noti ziwe 50, 100, 200, 1000 na 2000 ziwe kwenye atm na 5000 na 10000 ziwe zinatumika pale ambapo kuna biashara kubwa ya mafedha mengi Ili kuepusha kubeba mizigo ya fedha....

KWa namna ninavyo fahamu hiyo ndo sera ya uchumi nchi ikitaka fedha yake iwe na nguvu...... SAsa wewe sijui umekula maharage ya wapi? Au umetumwa kuja kutesti raia?
 
Napenda kutoa mapendekezo muhimu kwa Serikali ya Tanzania (GOT) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu umuhimu wa kuchapisha noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000. Pendekezo hili lina lengo la kuongeza hadhi ya fedha nchini na kuleta faida za kiuchumi na kifedha kwa taifa letu.

1. Pendekezo langu la kwanza ni kwamba noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 zitaongeza hadhi ya fedha nchini Tanzania. Kuwa na noti za thamani kubwa katika mzunguko wa fedha kunaweza kuimarisha sifa ya taifa letu katika jumuiya ya kimataifa na kuonyesha ustawi wa uchumi wetu. Nchi nyingi duniani zimechukua hatua kama hii ili kuboresha hadhi ya fedha zao na kuonyesha nguvu ya uchumi wao. Kwa kuongeza noti za Shilingi 50,000 na 100,000, Tanzania itajiweka katika kundi la nchi zinazofanya biashara kubwa na kuonesha kuwa ni taifa lenye nguvu na lenye uwezo mkubwa kiuchumi.

2. Kuwa na noti za thamani kubwa pia kunaweza kuchangia kuimarisha imani kwa wawekezaji na wadau wa kimataifa. Uwezo wa kuwa na noti za Shilingi 50,000 na 100,000 utaashiria kwamba Tanzania ni nchi yenye uchumi imara na inayoweza kushughulikia shughuli kubwa za kifedha. Hii itavutia uwekezaji na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Wawekezaji watakuwa na imani zaidi katika mfumo wetu wa fedha na watakuwa tayari kuwekeza katika miradi ya maendeleo na biashara mbalimbali. Hii itasaidia kuongeza fursa za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi wetu.

3. Noti mpya za Shilingi 50,000 na 100,000 pia zitawezesha shughuli za kifedha kuwa rahisi zaidi. Kuwa na noti za thamani kubwa kutawezesha mchakato wa malipo makubwa kwa urahisi na haraka zaidi. Biashara zinazohusisha miamala mikubwa zitaweza kufanya malipo kwa urahisi.

Ni matumaini yangu pendekezo hili litazingatiwa na Serikali ya Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania kwa umakini na kufanyiwa tathmini ya kina.
Mrengo wako yaezekana upo sahihi but in reality uchumi lazima ukuzwe kwa vitendo! Kuhusu hizo noti faida ni kupungua kubeba maburungutu meeengi wakat yana thaman ndogo!!
 
Nadhani umetoa pendekezo kama mwananchi wa kipato cha juu sana,subiri dola ije inunuliwe kwa Tsh. 5 kwanza hapo ndio tutajua kama thamani ya fedha yetu imepanda,tofauti na hapo itakuwa kichekesho maana itafikia hatua mteja akihitaji andazi la Tsh. 200 kwanza mpaka umuulize ana noti ya Tsh. Ngapi? Maana haiwezekani kurudishiwa 99,800 kama chenji wakati huo mtaji wa muuza maandazu ni elfu 50,000
Natamani sana mtu kama 'Covax' akusome wewe hapa.

Sijui kama na wewe umesoma kiasi kile kile kinachomfikia yeye, lakini umetumia lugha na mifano ambayo kila mtu anaelewa unazungumza kitu gani.
Tena hukutumia maneno mengi sana ya kueleza 'concept' yenyewe uliyoilenga.

Kama wewe ni 'msomi', natamani sana tuwe na wasomi wengi kama wewe.

Mkuu 'Meneja', naona huyu ndugu hapa hujamsoma kuhusu hoja yake hii, ambayo mimi naamini amegusa penyewe kabisa kwenye mada yako.
 
Back
Top Bottom