FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kadi iwe na jina la mmiliki na taarifa zake zingine zote, na sehemu ya details ijazwe taarifa muhimu za simu kama IMEI, model, make, color na specification zingine zote. Pia pajazwe number of previous owners nk. nk.
Endapo simu itapotea au kuibiwa, by default, systems za TRA ziwe na built in permission kwenye system zao za kuitrack na kufuatilia exactly iko wapi (location), line ipi imewekwa, na hiyo laini inamilikiwa na nani kwa kutumia data base ya NIDA, TCRA na mitandao ya simu, na pawe na total synchronisation na database za polisi kitengo cha mtandaoni, endapo ni wizi, ili polisi waweze kuaccess na kumkamata mhalifu immediately, maana taarifazake zote za NIDA wanakuwa wametumiwa.
Mtu akinunua simu ya aina hiyo atakazimika kudai kadi original (kama ya gari) ili aende TRA kuibadilisha na alipe kodi stahiki, hata kama kidogo, angalau alipe.
Nimebaini kuna simu za mabilioni zinauzwa kwa njia za panya bila kulipiwa kodi hata senti tano, wanapitishia vichochoroni na kuziingiza nchini kirahisi, maana ni ndogo na zinafichika kirahisi, mtu anajidai anaenda China kununua nguo, kumbe ndani ya mabegi ya nguo kajaza Iphone 13 Plus na Pro Max za kutosha. Kwa mfumo huu, hakuna laini itasoma kama TRA hawaitambui hiyo IMEI, kodi italipwa tu safari hii.
Nawasilisha.
Endapo simu itapotea au kuibiwa, by default, systems za TRA ziwe na built in permission kwenye system zao za kuitrack na kufuatilia exactly iko wapi (location), line ipi imewekwa, na hiyo laini inamilikiwa na nani kwa kutumia data base ya NIDA, TCRA na mitandao ya simu, na pawe na total synchronisation na database za polisi kitengo cha mtandaoni, endapo ni wizi, ili polisi waweze kuaccess na kumkamata mhalifu immediately, maana taarifazake zote za NIDA wanakuwa wametumiwa.
Mtu akinunua simu ya aina hiyo atakazimika kudai kadi original (kama ya gari) ili aende TRA kuibadilisha na alipe kodi stahiki, hata kama kidogo, angalau alipe.
Nimebaini kuna simu za mabilioni zinauzwa kwa njia za panya bila kulipiwa kodi hata senti tano, wanapitishia vichochoroni na kuziingiza nchini kirahisi, maana ni ndogo na zinafichika kirahisi, mtu anajidai anaenda China kununua nguo, kumbe ndani ya mabegi ya nguo kajaza Iphone 13 Plus na Pro Max za kutosha. Kwa mfumo huu, hakuna laini itasoma kama TRA hawaitambui hiyo IMEI, kodi italipwa tu safari hii.
Nawasilisha.