Yaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na ziungwe kwenye umeme moja kwa moja, hii itakoa fedha nyingi mno.
Pia badala ya kusimika mistimu ya nyaya za simu napendekeza hizo nyaya za simu zifunge tu kwenye mistimu ya umeme ambayo ipo tayari hivyo kuokoa gharama kubwa sana katika usambazaji wa mawasiliano.
Mamlaka husika ziwasiliani na Tanesco ambao ndio wamiliki wa nguzo hizo ili kuona utekelezaji wake.
View attachment 1280265