Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣Wanaweza kuamua hivyo, lakini wajue rasmi hatutajitokeza tena kupiga kura. Tulikuwa tunangoja tu juzi wakosee wawapitishe hao wabunge wahuni.
🤣🤣Waache waoane
je wewe unamlamba nani ########@@@@@@@@@%%%%%%%%%%%%%%Wewe endelea kumlamba Mbowe hapo Ufipa
Kwani uongo sasa ?!Hii michezo wewe bado mdogo sana kuielewa.
Nakuonyaga lakini kichwa ngumu, sasa unaumia bureNaomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
WangefanyajeUjinga walioufanya Act wazalendo ni wa kipumbafu sana , hawana sababu zozote za maana zaidi ya kuendekeza njaa , ndio maana midka yote Maalim Seif Sharifu Hamad anashinda anapigwa chini Kisha anapewa mpunga ananyamaza hizi habari zitakuwa za kweli kwa uamuzi huu wa kipuuzi .
Kweli kamanda hayumbi.....🤣🤣Na wao itabidi watuvumilie sisi kwa misimamo yetu isiyoyumba.
Kupinga jambo hakujawahi kuwa kuumiaNakuonyaga lakini kichwa ngumu, sasa unaumia bure
Una maumivu moyoni bibieKupinga jambo hakujawahi kuwa kuumia
Mavi yatawekwa chooni🤣🤣🤣Kamati Kuu ikiamua "mavi"?
Nina hurumia tu nyie masikini wa TanzaniaUna maumivu moyoni bibie
Acha kutupotezea muda tafadhali kwani pengine Tanzania nzima ulibakia peke yako tu kujua kuwa Maalim na Mwami ni 'Vinara' Wakuu wa Unafiki.Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile ....
Kamanda anajaribu kupost porojo zake ili aonekane bado yuko relevant baada lissu kuangukia pua 🤓Kamati kuu ya ACT imeamua, wewe unapinga kama nani?! Pambana na yanayoendelea kwenye chama chako.
Duh.....ndita naziona kwa hamaki hii. Huyu zito si ndio mlimtimuaga CDM? Aliacha lini usaliti?Kamati Kuu ikiamua "mavi"?
nifanye kama unavyodhani wewe ili iweje ? hivi mimi ni wa kutafuta nini hapa jf na ili inisaidie kitu gani ? kama huna hoja Just Shut upKamanda anajaribu kupost porojo zake ili aonekane bado yuko relevant baada lissu kuangukia pua 🤓
Dah.... kikawaida vita vya kisiasa huwa na malengo tofauti tofauti...na ni vita vyenye malengo binafsi hasa kwa wanasiasa....wengine wanapigania madaraka....wengine hali nzuri ya maisha...wengine ukorofi tu...Hawa watu nadhani hawajui wanapigania nini! Uchafuzi wote huo, leo wanaungana na wauaji wao kufanya kazi!