Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School


Mkuu umeandika vyema. Tatizo ni kuwa hawa ndugu huwa hawasikii kwa kuwa rai tu. Haipo nia njema bado.

Composition ya tume haikubaliki:

Tume Kuchunguza kadhia ya Law School inapaswa kuwa huru
 
Hakuna mwana CCM msafi, muadilifu na mkweli.
 
hiyo first degree waliipataje?kama ndo hivyo basi tuchunguze na hivyo ndaki za vyuo vikuu vinavyotoa hizo degree.kingereza kwangu si ajenda kwani kuna nchi nyingi duniani haziongei hiyo lugha hasa ukizingatia karne hii yenye utandawazi mkubwa.mtu yeyote anayetaka kujifunza hiyo lugha ataijua tu kama akina diamond,harmonize na wasanii wengine wanaongea lugha hiyo walisoma wapi?ndo maana kuna mjadala wa vyuo vikuu kufundisha kwa lugha ya kiswahili.hii itawasaidia wengi kumudu masomo yao.hata nyie mnaotetea hiyo lugha ni sababu tu wazazi wenu walipata fursa serikalini wakakwapua mali za walalahoi na kuwapeleka shule za kiingereza vinginevyo na nyie hamngekuwa fluent ktk lugha hiyo.
 
Nchi yetu nzuri sana. Kama ukiwa upinzani hata kama sifa zako za kitaaluma ni za kubabaisha lazima utasifiwa sana

BAVICHA OYEEEE.
 
Ingekuwa mimi ndio waziri ngumbaru, ningechukua mitihani ya wanafunzi waliofeli ikasahihishwe upya kwenye mamlaka yenye uwezo kama chuo cha sheria katika nchi nyingine za jumuiya ya madola.
Wakina Mwakyembe hawatakuja na kitu cha maana zaidi ya porojo tu!
 
sema baba sema usiogope
 
mwakyembe na ndumbaro wanatokea UDSM. huyu Ndumbaro mpaka anaondoka pale PSPA alikuwa ameshawafelisha wengi? fikiria DR anafundisha organization Behavior darasa la watu 100 anayefaulu sana anapata B +
 
mwakyembe na ndumbaro wanatokea UDSM. huyu Ndumbaro mpaka anaondoka pale PSPA alikuwa ameshawafelisha wengi? fikiria DR anafundisha organization Behavior darasa la watu 100 anayefaulu sana anapata B +
Duuuuh !! halafu aliwahi pia kupigwa marufuku kujihusisha na soka ndani na nje kutokana na makandokando
 
mtu kasoma KIU katoka na first class anataka na Law school atoke na first class
Kwenye diploma hamna kitu kinaitwa 'first class'

First class inatumika kwenye degree tu.

Law School hawatoi degree bali ni Post Graduate Diploma in Legal Practice, PGDL, na Certificate.

Naona mjadala umejaa kenge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…