Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

Napinga Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza kufeli kwa wanafunzi wengi wa Law School

Sas

Sasa wajameini kumfichia aibu Boss wako kuna Ubaya gani??....kwa sababu alimpenda Boss wake kwanini amgalagaze hovyo?? kwani yeye hana akili??........ni sawa na Baba yako akijamba sebureni eti unacheka...ni laana hiyo!!

Mtoto mdogo wa Nuhu alipo muona Babake uchi alicheka kwa raha na haki zake zoote! akalaaniwa kizazi chake choote mpaka leo bila shaka weye ni kizazi hiko!!

Kumtunzia Boss wako heshima ni Baraka kubwa sana! usijidanganye ndo maana anapeta mpaka leo!! waleee wasema hovyo km Jiwe, Msiba, Makonda wako wapi leo??

Shetani alidai haki Mbinguni na kumsema Mungu eti ana madaraka makubwa, akayatamani leo hii tunasota nae humu mbinguni hatii mguu tena!...anasubiri kupigwa kiberiti! kwani mkubwa hakosei??

wewe hapo hujawahi kukosea....sikia sasa kukosea ni ubinadamu siyo suala la kushikia kidedea! mtu mwingine! unasikia! tena amabaye hakosei ndo hatari zaidi! ya dikteta!!

Drs la saba kuambiwa hivo kuna ubaya gani kwani?? si ndivo walivyo? au!!.......kwani drs la saba ni matusi??...au weye hukupitia huko? uliruka?? basi km ni hivo rudi ukalisomee!.....

kwani kusema ana degree 4, ni tusi?? si ndo alivyo?? na ukweli wenyewe au!! ....kwani kusema nimesoma kihalali ni dhambi/kuvunja katiba?? ya wapi??...wewe ni dhaifu sana!....unataka aambiwe ana vyeti fake! ndo ufurahie au!!

kifupi wee mzee acha chuki za kimusoma musoma ndo maana nyie waruri wachawi sana! mnamsema mutu mpaka anakufa?? sasa nani msafi aende sasa??!!

nenda weye basi make weye! huna dhambi! wkt unaiba mifugo kila siku, tunawajua wote bana! mliiba mifugo ya mbunge Mathayo.... uongo???
Nimesoma weeeee !! lakini sijaelewa ulichoandika yaani !
 
Mwaisa hana credibility.

Hata hivyo lengo la hizi tume za uchunguzi katika mifumo ya serikali sio kupata majibu au ukweli uliojificha.....

....bali ni kuzima mjadala kwa kuonesha kuwa serikali imechukua hatua.

Mnaibiwa ndugu wadanganyika.
Kuna tetesi kwamba hizi tume za uongo zisizo na majibu ndio zitakazoangusha serikali yao
 
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Naunga hoja mkono. Lakini huenda jamaa walivyompukutisha unga wakati ule safari hii atakuwa mkweli.
 
Tume imejaa watumishi wa taasisi za serikali ambao wanawajibika kwa serikali ambayo inaimiliki pia taasisi ya LST chini ya Wizara ya Sheria. Kwa kweli, tunampongeza waziri Ndumbaro kwa kuchukua hatua lakini tunaomba aongeze wajumbe kwenye hiyo tume, aweke wanasheria wa kujitegemea, wajumbe wa bodi nyingine za kitaaluma, waandishi wa habari, wanafunzi waliofeli, na hata mwanafunzi aliyepo darasani sasa.
Mwanafunzi aliyefaulu sio aliyefeli
 
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Duuh acha wapambane na hali yao kama mazombi vile
 
Unaweza kukuta hiyo mitihani hata mtunzi ukimpa masaaa3 nae anaweza asimalize. Issue ya moderation kwenye mitihani unaweza kukuta ni shida pia. Tusubiri kamati itasema nini. Lakini kama kweli darasa la watu 400 wafaulu 4% basi shida ipo mahali. Kinachoshangaza hao wote waliofeli wangeenda nje ungekuta wote wanafaulu!
Hiyo imetokea marekani mwezi huu, prof. Anayehusika na somo alitimuliwa kazi.
 
Lakini kweli, mtu usome digirii zote nne alafu kilaza mmoja akugonge swali kifala tu kisa we mbunge
 
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.
Alile kaakoooooo
 
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza masuala ya Law school, ikiwemo wanafunzi wengi kufeli mitihani, anapaswa kuwa mtu Muungwana, Mtulivu, Msikivu na asiye na makuu, anapaswa kuwa mkweli, Mwakyembe hana sifa hizi.

Napinga uteuzi wa Harisson Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa Tume hii kwa vile Haaminiki, si mkweli na ni mpenda sifa.

Kwa mfano, alipokuwa Mwenyekiti wa Tume ya bunge kuchunguza Richmond, katika Taarifa yake aliyoisoma bungeni ALIFICHA BAADHI YA TAARIFA ILI KUOKOA SERIKALI, maana yake ni kwamba alificha taarifa za Mhusika Mkuu wa Jambo lile na kuangushia jumba bovu wasiohusika, leo huyu awezaje kuaminika na kukabidhiwa tume nyingine? JE, SAFARI HII HATOFICHA TAARIFA ILI KUIOKOA SERIKALI?

Mwakyembe akiwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kupitia CCM, aliwaahidi watu wa Jimbo lake kwamba AMEPATA SOKO LA UHAKIKA LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI (ikumbukwe kwamba mchele wa Kyela ndio unaoongoza kwa utamu duniani)

Lakini hadi anang'olewa kwenye ubunge hakuwahi kusaidia hata kilo 10 za mchele wa Kyela kuuzwa Marekani, Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa kuongoza tume yoyote ile.

UNAPODANGANYA NYUMBANI KWENU HUWEZI KUAMINIKA UGENINI.

Harrison Mwakyembe ni mtu aliyejaa dharau kubwa sana , huyu hawezi kuwatendea haki watu wenye digrii moja wanaopigania haki yao ya matokeo.

ALIWAHI KUKATAA MASWALI KWAO KYELA kwa kisingizio kwamba wanaomhoji ni Darasa la 7, wakati yeye anamiliki digrii 4 na kwamba watu wasio na elimu wanachopaswa kumhoji ni kuhusu kama hawana hela mifukoni mwao na labda awasaidie. Huyu hafai kuongoza Tume ya kufuatilia haki popote duniani.

Tunamuomba Waziri wa Sheria ATENGUE HARAKA UTEUZI WAKE.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.

Nakujibu hivi: Kwanza siyo kweli kuwa mchele wa Kyela ndiyo mchele mtamu duniani. Mchele wa Kyela ya sasa hovi ni kati ya michele ya ovyo sana duniani maana unapandwa kwa kurumia mbolea za chumvi chumvi, kama unabisha njoo hapa mimi nipo Kyela.

Pili kwa kutokumwamini Dr Mwakyembe kwa sababu ulizozitoa inaonesha kabisa wewe ni mmoja wa hao waliofeli mtihani huo maana sababu ulizozitoa za kumkataa Dr aliyebobea katika sheria tena aliuesoma wakati ule na siyo wa sasa, hazina mashiko yoyote!

Uzuri ni kwamba hata kama unapinga uteuzi wake, yeye tayari yupo kazini tunachosubiri ni ripoti yake na tume yake!
 
Tume imejaa watumishi wa taasisi za serikali ambao wanawajibika kwa serikali ambayo inaimiliki pia taasisi ya LST chini ya Wizara ya Sheria. Kwa kweli, tunampongeza waziri Ndumbaro kwa kuchukua hatua lakini tunaomba aongeze wajumbe kwenye hiyo tume, aweke wanasheria wa kujitegemea, wajumbe wa bodi nyingine za kitaaluma, waandishi wa habari, wanafunzi waliofeli, na hata mwanafunzi aliyepo darasani sasa.

Bajeti haitoshi, hao hao wanatosha!
 
Matokeo ya Law School yako sawa mengine ni mihemuko tu!
Wanafunzi wengi ni weupe mno vichwani na wanakariri vitu vya kujibia mitihani tu basi!
Kwanza hata huku mitaani kuna mawakili huwezi hata amini kama wamepita Law School,ni " weupe" mno vichwani na hawasomi !
Kazi zao ni copy, paste na edit basi!
Kiingereza ndo wengi hawajui kabisa!
Msimchoshe Dr.Mwakyembe na kamati zisizo na misingi!
Chukueni Wanafunzi 30 ( randomly) then wapigwe oral interview ( Live on TV) mtaona Tanzania ilivyo na majanga mengi na sote tutaishia kuwapongeza hao Lecturers wa Law School wasiotaka ujinga ujinga katika fani ya Sheria.

Nakupa heko! Umeongea point tupu! Hongera sana, nilitaka nichangie hivyo hivyo ila umeshamaliza aisee!
 
Unaweza kukuta hiyo mitihani hata mtunzi ukimpa masaaa3 nae anaweza asimalize. Issue ya moderation kwenye mitihani unaweza kukuta ni shida pia. Tusubiri kamati itasema nini. Lakini kama kweli darasa la watu 400 wafaulu 4% basi shida ipo mahali. Kinachoshangaza hao wote waliofeli wangeenda nje ungekuta wote wanafaulu!

Nje wapi, Burundi!
 
Kuna tetesi kwamba hizi tume za uongo zisizo na majibu ndio zitakazoangusha serikali yao

Hizo tetesi za kuangusha serikali zipo tangu 1995 lakini cha ajabu hakuna aliyewahi kuiangusha serikali hadi karne ijayo hata kwa mtalimbo!
 
Back
Top Bottom