OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Naona hakuna shida sana kama TFF wameona wana maslahi ya kifedha wakipeleka hiyo final huko ughaibuni Zanzibar.
Nchi za wenzetu makombe kama haya final zinaweza kuchezwa nje ya nchi. Mfano Egypt FA final kwa mwaka jana 2023, ilifanyika uwanja wa Al Awwal uliko Riyadh huko Saudi Arabia.
2023 Egypt Cup final - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hii inasaidia maslahi ya kifedha lakini pia kujenga ushawishi wa timu za Egypt huko Uarabuni penisula
So kwa maoni yangu ni sawa hizi final kufanyika Zanzibar ili kujenga ushawishi wa timu za Tanganyika huko Zanzibar lakini pia kusadia vilabu vyetu kimaslahi.
Acha shobo