Napinga fainali ya FA kufanyika Zanzibar, Kisoka Zanzibar ni Nchi nyingine wala haina timu kwenye michuano hiyo



Acha shobo
 
Lakini pia Kwa maslahi ya Mapato Babati isingekuwa sehemu sahihi maana uwanja wa Babati hauna hata jukwaa la kukaa mashabiki.
Fainali ya muungano kati ya simba vs azam uwanja ulikuwa mweupe kama sembe, mashabiki kisoda,

Unazungumzia maslahi gani?

Tatizo huwa hamuangalii mpira mmetoka jukwaa la siasa mnakimbilia JF SPORTS baada ya kusikia issue za muungano
 
Hao TFF Bodi sijui ujinga gani ni wangese sana mam.........keehhhh.
 
Punguza ujinga bro.
 
Wanajitongozesha.
 
Fainali ya muungano kati ya simba vs azam uwanja ulikuwa mweupe kama sembe, mashabiki kisoda,

Unazungumzia maslahi gani?

Tatizo huwa hamuangalii mpira mmetoka jukwaa la siasa mnakimbilia JF SPORTS baada ya kusikia issue za muungano
Kizimkazi baba! au hujui kama Ikulu imehamia Zenj kutoka Chattco?? Hii nchi ngumu.
 
Wewe ndiye uletae siasa za tundu lissu za zbar na Tanganyika kwenye soka
Kwa akili yako ndogo unadhani ni sahihi kwa ligi ya Tanganyika fainali kufanyika Zanzibar, au utuambie lini Uliona Kipanga na KMKM wakicheza Kwa Mkapa fainali ya Karume Cup?
 
Shida mijitu inajipendekeza mdogomdogo utasikia baadhi ya mechi za ligi kuu kupelekwa Zenji hapa wanatest tu ikikubali utasikia kikao cha TFF kimepitisha sheria ya ligi kuchezwa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…