OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Naona hakuna shida sana kama TFF wameona wana maslahi ya kifedha wakipeleka hiyo final huko ughaibuni Zanzibar.
Nchi za wenzetu makombe kama haya final zinaweza kuchezwa nje ya nchi. Mfano Egypt FA final kwa mwaka jana 2023, ilifanyika uwanja wa Al Awwal uliko Riyadh huko Saudi Arabia.
Hii inasaidia maslahi ya kifedha lakini pia kujenga ushawishi wa timu za Egypt huko Uarabuni penisula
So kwa maoni yangu ni sawa hizi final kufanyika Zanzibar ili kujenga ushawishi wa timu za Tanganyika huko Zanzibar lakini pia kusadia vilabu vyetu kimaslahi.
Fainali ya muungano kati ya simba vs azam uwanja ulikuwa mweupe kama sembe, mashabiki kisoda,Lakini pia Kwa maslahi ya Mapato Babati isingekuwa sehemu sahihi maana uwanja wa Babati hauna hata jukwaa la kukaa mashabiki.
CHAMBA[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Mjinga peke yako
Fainali inakwenda Zenji na huna chakufanya
ππππNatafuta tusi sahih linalo kufaa
Hao TFF Bodi sijui ujinga gani ni wangese sana mam.........keehhhh.
Kuipeleka fainali ya FA Zanzibar ni sawa na kuipeleka fainali hiyo Kenya, Somalia ama Uganda, hakuna timu yoyote kwenye Nchi ya Zanzibar inayosimamiwa na TFF kama zilivyo Nchi nilizozitaja
Wala hakuna sababu yoyote ile iwe ya kijinga au ya maana ya kupeleka fainali hiyo Zanzibar
Sisi wapenda soka wa Tanganyika tuliojiandaa kwenda viwanja vya Tanganyika kuangalia fainali hiyo hatutakubali na kuna mpango wa kwenda Mahakamani kuzuia jambo hilo haramu.
Rais wa TFF hana Mamlaka yoyote ile ya kuamua kuliendesha soka la Tanzania atakavyo yeye kwa sheria za mfukoni mwake
Ni kweli kwamba sisi ni Wajinga lakini siyo Wajinga kiasi hicho.
Chawa wa mama hao.Zanzibar ni nchi na ina shirikisho lake la mpira wa miguu, hivyo TFF kupeleka mashindano Zanzibar ni ujuha na kujipendekeza kusiko na mfano!
Tanganyika kumejaa watu mafala wengi sana!
Nakala kwa Peter KibatalaErythropoietin leo umeongea kitu cha msingi sana. Katika hili nakuunga mkono ni ujinga tu ndio unaliongoza soka letu! Ina Tanganyika yote wamekosa kiwanja cha kuipeleka hiyo fainali? Tena fanyeni haraka kwenda mahakamani! Upumbavu mtupu!
Punguza ujinga bro.Naona hakuna shida sana kama TFF wameona wana maslahi ya kifedha wakipeleka hiyo final huko ughaibuni Zanzibar.
Nchi za wenzetu makombe kama haya final zinaweza kuchezwa nje ya nchi. Mfano Egypt FA final kwa mwaka jana 2023, ilifanyika uwanja wa Al Awwal uliko Riyadh huko Saudi Arabia.
Hii inasaidia maslahi ya kifedha lakini pia kujenga ushawishi wa timu za Egypt huko Uarabuni penisula
So kwa maoni yangu ni sawa hizi final kufanyika Zanzibar ili kujenga ushawishi wa timu za Tanganyika huko Zanzibar lakini pia kusadia vilabu vyetu kimaslahi.
Muulize mbona akitoka na bidhaa Dodoma akifika Geita hatozwi chochote lakini ukitoka Zenji kuja Dar lazima ukamuliwe.Tanzania sio moja acha kuandika upumbavu humu.
Kampeni zimeanza.Karia anajipendekeza tu, mechi tangu preliminary round zimefanyika Bara,halafu fainal inapelekwa nje ya mipaka ya mpira wetu
Wanajitongozesha.Kupitia uzi huu nimegundua kuwa watanganyika ni watu wanalazimisha muungano wakati wazanzibar hawautaki. Wazanzibar wakija bara hakuna masharti na wanaishi vizuri tu ila mtanganyika akienda Zanzibar unakutana na ubaguzi. Watanganyika ni full kujipendekeza kwa wazanzibar huu ni ujinga mwingine.
Hakika Kama ni nchi Moja mbona Kuna TFF na ZFF sijaona sababu ya mechi kupelekwa zenji Sana Sana ni kumfurahisha raise but there is no reason which make sensehilo
Ukilipata lileteNatafuta tusi sahih linalo kufaa
Kizimkazi baba! au hujui kama Ikulu imehamia Zenj kutoka Chattco?? Hii nchi ngumu.Fainali ya muungano kati ya simba vs azam uwanja ulikuwa mweupe kama sembe, mashabiki kisoda,
Unazungumzia maslahi gani?
Tatizo huwa hamuangalii mpira mmetoka jukwaa la siasa mnakimbilia JF SPORTS baada ya kusikia issue za muungano
Wewe ndiye uletae siasa za tundu lissu za zbar na Tanganyika kwenye sokaSi kweli, kama ingekuwa hivyo tungekuwa na chama kimoja cha soka basi, Halafu mkileta siasa kwenye soka mtafeli
Kwa akili yako ndogo unadhani ni sahihi kwa ligi ya Tanganyika fainali kufanyika Zanzibar, au utuambie lini Uliona Kipanga na KMKM wakicheza Kwa Mkapa fainali ya Karume Cup?Wewe ndiye uletae siasa za tundu lissu za zbar na Tanganyika kwenye soka
πππ naendelea kusisitiza tiefuefu ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye uongozi wa soka.TANGANYIKA WAPUUZI SAANA