Napinga GSM kuingia mkataba na NBC ili kuendesha ligi kuu ya soka Tanzania

Napinga GSM kuingia mkataba na NBC ili kuendesha ligi kuu ya soka Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hawa ni wadhamini wa Yanga na kiukweli ndio wamiliki wa Yanga, sasa hii habari kwamba wanaingia mkataba na NBC wa Ushirikiano wa kuendesha ligi kuu ni pigo kubwa sana kwa timu zingine.

Hii ni kwa sababu hawa GSM ni wafia Yanga ambao wako tayari kufanya lolote ili kuibeba Yanga, hawa kwa namna yoyote hawapaswi kudhamini ligi hii, najua kuna baadhi yenu mtasema mbona Azam kadhamini mambo mengi kwenye soka, ni hivi msiifananishe Azam na GSM, hawa GSM ni watu wa mipango ya muda mrefu ya kuibeba Yanga tu, hawawezi kukubali timu nyingine iinuke.

Halafu hawa NBC mbona ni mapema sana kuchemsha, imekuwaje fasta tu waombe kolabo?

Naanza kuutilia shaka mpango huu na naamini hata TFF hawakuujua.
 
Kwa ufala uliofanyika juzi pale ilulu, tutarajie kuona mengi, binafsi maji yakizidi unga naachana kabisa na ushabiki wenyewe naanza kuangalia game za mbele tu ..
Ufala unafanyika kwenye mechi nyingi sana sema tu sababu watu mnafuatilia mechi chache .
 
Inategemea na mazingira lakini Ile ya juzi ilionekana dhahiri jahazi la yanga linazama na ilifanyika namna kuokoa ..
Mkuu kwani hizi kanjanja za simba na yanga ndo zimeanza huu msimu?

Ni kawaida ya hizi timu kupewa mbeleko.

Kuna baadhi ya penalty last season alikua anapewa simba zilikua zinachekesha sana..

Simba alishawahi kushinda magoal ya offside mechi karibia tatu mfululizo,tena ambapo pale zile huenda zingeisha kwa sare.

Kwahyo kwa yanga kubebwa usifanye kususa kuifutilia league yetu pendwa adhimu au kama mpira wa bongo ndo mara yako ya kwanza kuifuatilia hapo ndo haki ya kususa.

"Una susa,Susa" in Manara voice[emoji3][emoji3](jokes)
 
GSM ni Kama maji tu usipoyanywa utayaoga, aya makolo jiandaeni kuwekewa logo ya GSM kwenye jezi zenu, mnabwabwaja na roho zenu za kimaskini wakati amna kitu mfukoni, kutwa nzima kuinanga GSM, sasa yule lopolopo wa fair competition mwambieni ajinyonge maana mzigo ushawekwa kudhamini vilabu vyote au aende fifa kabisa, ukikataa ukatae wewe gsm baba lao
 
GSM ni Kama maji tu usipoyanywa utayaoga, aya makolo jiandaeni kuwekewa logo ya gsm kwenye jezi zenu, mnabwabwaja na roho zenu za kimaskini wakati amna kitu mfukoni, kutwa nzima kuinanga gsm, sasa yule lopolopo wa fair competition mwambieni ajinyonge maana mzigo ushawekwa kudhamini vilabu vyote au aende fifa kabisa, ukikataa ukatae wewe gsm baba lao
Kamlipeni wakili msomi milioni 12 zake acheni kelele
Hata tin number huna
 
Tuwapokee tu, wameleta hela kwenye ligi, hela zifikie vilabu na wachezaji wanufaike, inaongoza ushindani kwa timu na ligi kwa ujumla.
 
GSM ni Kama maji tu usipoyanywa utayaoga, aya makolo jiandaeni kuwekewa logo ya gsm kwenye jezi zenu, mnabwabwaja na roho zenu za kimaskini wakati amna kitu mfukoni, kutwa nzima kuinanga gsm, sasa yule lopolopo wa fair competition mwambieni ajinyonge maana mzigo ushawekwa kudhamini vilabu vyote au aende fifa kabisa, ukikataa ukatae wewe GSM baba lao
Hakuna lolote hapo zaidi ya kupunguza makali ya kushindwa kesi ya B.M, GSM ni makanjanja kama walivyo wengine
 
Back
Top Bottom